Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii game haikupaswa kufika kwenye penati na inaonekana Moyes hakuandaa timu kwa penati.Now nguvu zote tuhamishie EPL,Moyes tayari ameanza vizuri kwenye usajili naamini mwisho wa msimu tutapata viungo wanaotufaa.Nilipendelea sana kumpata Vidal au Cabaye

Mwaka huu mtamtamani mpaka mbuyi twite na chuji
 
Yaani moyes hamna kitu galasa kupita maelezo anamwacha mchezaji mdogo mwenye miaka 18,acheze dk 120 (januzaj)anamtoa kagawa experienced player,ambae alikuwa ana dictacte game kiasi kikubwa walau na kuanzisha mashambulizi.kwa sasa kilichobakitujiliwaze na kumchukua mata tu ila kocha kwa kweli hatuna tukubali tukatae,kocha hajui kupanga kikosi,kocha hajui kufanya sub,kocha hajui kusajili,kocha hajui kuwatia wachezaji morali,kocha hajui kupangwa wapigaji penlaty(usiniulize nilitaka apige yy??,ilibidi awatrain haiwezekani wachezaji wa4 wote wakose penalt huo ni us...) anchojua yy ni kumnyima namba kagawa tu na kujaza waingereza ndani poor him,in moyes i dont trust.

Hahaaa vumilieni hamjazoea kubanduliwa eeeh
 

Attachments

  • 1390444174359.jpg
    1390444174359.jpg
    22.6 KB · Views: 91
Dah hata sijui nifanye nini ili usingizi uweze kuja huyu ---- anayeitwa moyes amenitibua sana kila nikiwaza nawaza kipigo cha leo hata sijui niwaze nini nijipooze na machungu haya.-oh nimepata jibu ngoja niwaze party ya jumamosi tu escape one.

Bora tukazibubue vizibo tu njombaaaa huku OT siko Huyu jamaa Moyes atatuua kwa presha...nshagombana na mke wangu hapa home saa 11 alfajir nshaondoka kiguu na njia kazini
 
man utd kichefuchefu,hii gemu haikuwa ya kufika kwenye matuta,haya wamefika kwenye matuta wapigaji kama wamefungwa mawe kwenye miguu....kwa upande mwingine Moyes bado ni tatizo...ingekuwa maamuz yangu angeshaondoka siku nyingi sana

Kama si maamuzi yako nyosha goti...Man U ikifungwa one is happy around the street
 
Hahahaha nasikia JUAN MATA KAJIFELISHA medical eti alisahau peni na karatasi hii yote ni kuwa hataki kuchezea timu mbovu

Hii ni Breaking News ama? Tuletee source plz...hatutaki habari za hewani hewani
 
Sasa utaona maajabu pale watu watakaposema DM aondoke!!

Wachezaji wanakosa penati, sasa kocha ana kosa gani?!

Ebu mlete Juan United Mata.....

We una akili sana! The only Manure fan ninauemkubali hapa Jukwaa letu
 
Bora tukazibubue vizibo tu njombaaaa huku OT siko Huyu jamaa Moyes atatuua kwa presha...nshagombana na mke wangu hapa home saa 11 alfajir nshaondoka kiguu na njia kazini
kuna baadhi ya mashabiki wa jabu eti
hawataki kumlaumu dm kwa kuwa wachezaji wenyewe ndo wamekosa penlaty sasa umemtoa kagawa umemuacha januzaj alitegemea timu icheze vipi vizuri na wakata januzaj alikuwa kachoka sana,anajipigia tu mashuti sehemu za kutoa pasi,game haikupaswa kufika penalty wachezaji wanajifanyia tu makosa mengine ya makusudi anwaacha hawafanyi mabadiliko mtu kama fletcher na carrick(bahati yake aliumia) walikuwa floppy of the match
 
Dah hata sijui nifanye nini ili usingizi uweze kuja huyu ---- anayeitwa moyes amenitibua sana kila nikiwaza nawaza kipigo cha leo hata sijui niwaze nini nijipooze na machungu haya.-oh nimepata jibu ngoja niwaze party ya jumamosi tu escape one.

Pole kaka.
Tuendelee kuwa wavumilivu kama wenzetu huku tukisubiri maamuzi magumu
 
kuna baadhi ya mashabiki wa jabu eti
hawataki kumlaumu dm kwa kuwa wachezaji wenyewe ndo wamekosa penlaty sasa umemtoa kagawa umemuacha januzaj alitegemea timu icheze vipi vizuri na wakata januzaj alikuwa kachoka sana,anajipigia tu mashuti sehemu za kutoa pasi,game haikupaswa kufika penalty wachezaji wanajifanyia tu makosa mengine ya makusudi anwaacha hawafanyi mabadiliko mtu kama fletcher na carrick(bahati yake aliumia) walikuwa floppy of the match

Ndugu yangu utapata tabu sana,mambo hayatakuwa rahisi kama unavyofikiri.Hii sababu ya Kagawa ni nonsense Januzaj ni mmoja ya wachezaji wanaoibeba timu kwa sasa pamoja na umri mdogo Kagawa anapata nafasi lakini still hajatoa msaada wowote kwenye timu
 
Ndugu yangu utapata tabu sana,mambo hayatakuwa rahisi kama unavyofikiri.Hii sababu ya Kagawa ni nonsense Januzaj ni mmoja ya wachezaji wanaoibeba timu kwa sasa pamoja na umri mdogo Kagawa anapata nafasi lakini still hajatoa msaada wowote kwenye timu

Huyu jamaa sijui wa wapi...Januzaj ndio Man on fire currently...anawabeba mno, na pekee ndiye anayecheza kwa moyo ... Siku ya kufa mzee kwikwi ni dalili tu...the whole team was floppy mkuu
 
Ndio kiwango Cha Kocha msimlaymu jamani da

Naona Sunderland anavyosubiria 5
 
Back
Top Bottom