Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Chukia tuKwaiyo unaumia ukiwa wapi mwenzetu huyo dogo akipambwa? Au ulitaka upambwe wewe
Bado hamuna timu ya kuifunga Newcastle fainali
Mwaka wa 6 bila kikombe Loading........
Chukia tuKwaiyo unaumia ukiwa wapi mwenzetu huyo dogo akipambwa? Au ulitaka upambwe wewe
Mwaka wa sita mbona mdogo, liverpool kakaa miaka 20Chukia tu
Bado hamuna timu ya kuifunga Newcastle fainali
Mwaka wa 6 bila kikombe Loading........
OhooMwaka wa sita mbona mdogo, liverpool kakaa miaka 20

Yaani naandika ndio anatolewa. Asije akapata Red maana ana Yellow tayari.Casemiro angepumzishwa
YesMachine Ganacho anapumzishwa.
Hapa naona kocha wa man u ni kama yupo mazoezini akikipanga kikosi chake
FT 2-0Bado goli moja la Rashidi kisha mpira uishe. Hawa jamaa leo wanapigwa 3 tena
Newcastle star Bruno Guimaraes won't be suspended for the Carabao Cup final despite getting sent off against SouthamptonYaani naandika ndio anatolewa. Asije akapata Red maana ana Yellow tayari.
Kocha kajifunza match vs C Palace.
Na ukizingatia Newcastle mchezajj wao Guimares amekula Red.