Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani naandika ndio anatolewa. Asije akapata Red maana ana Yellow tayari.
Kocha kajifunza match vs C Palace.
Na ukizingatia Newcastle mchezajj wao Guimares amekula Red.
Newcastle star Bruno Guimaraes won't be suspended for the Carabao Cup final despite getting sent off against Southampton
 
Chukia tu
Bado hamuna timu ya kuifunga Newcastle fainali
Mwaka wa 6 bila kikombe Loading........
mwaka wa 10 huu Arsenyani bila kushiriki Uefa, mwaka wa 20 bila kombe la Epl.
Tokea kuumbwa kwa dunia Arsenyani haijawahi kubeba kombe la Uefa.
Mpaka hawa tuliotoka kuwabonda muda huu Nottingham Forest pamoja na Aston Villa wamewapiga bao kwenye makombe ya Uefa.
tapatalk_-2068780980_360x451.jpg
 
Back
Top Bottom