Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chelsea tunaendelea tu kusumbua ulimwengu kwa kufuru za usajili.

Kimombo tuwaachie Arse8 ambao wanatamba na harakati za kunyanyua ubingwa wa EPL 2022 - 2023.

Liverkuku Fans ni mwendo wa kisandawe kuchambua karanga badala ya kuchambua mpira kwa kimombo chao kileeee.

Kweli kutesa kwa zamu na kila kitabu na zama zake
 
Acha kuleta upuuzi humu.
 
Acha ujinga
 
Imekuwa muda mrefu lakini probably nilikuwa ahead of time.

Kama litafanikiwa huenda Bruno akawa huru kidogo kwenye kukaba kama ilivyo sasa.

Japo ball retention itapungua kwenye midfield yetu.
 
Ilikuwa August 31 2021 wakati huo Sabitzer wa moto kweli ameenda Bayern lakini amekosa gametime.

Hata kwenye michuano ya Euro hakuwa kwenye ubora huo na world cup qualifiers hakuwa na ubora huo wa zamani.
 
Ilikuwa August 31 2021 wakati huo Sabitzer wa moto kweli ameenda Bayern lakini amekosa gametime.

Hata kwenye michuano ya Euro hakuwa kwenye ubora huo na world cup qualifiers hakuwa na ubora huo wa zamani.
Ujio wa huyu jamaa utaongeza nini cha kutuweka top4? It seems umemfatlia sana.I wish to know more atafit vp kwenye kikosi chetu hususani kipindi hiki tunachohitaji matokeo tu?
 
nyie hamna maana hata kidogo, mmewapelekea Arsenyani fitna ya Jojinah, sasa hivi huko kwenye jukwaa lao moto unawaka, ni mwendo wa kutukanana wenyewe kwa wenyewe yaani ni hatari mno.
 
Ujio wa huyu jamaa utaongeza nini cha kutuweka top4? It seems umemfatlia sana.I wish to know more atafit vp kwenye kikosi chetu hususani kipindi hiki tunachohitaji matokeo tu?
Huyo jamaa ana mapafu kwl kwl.. naiona man u ndan ya 433 mido ikiwa chini ya casemiro,marcel na bruno.. jamaa anagusa namba zaid ya moja kuanzia DM,CAM,RW na LW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…