Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Imekuwa muda mrefu lakini probably nilikuwa ahead of time.

Kama litafanikiwa huenda Bruno akawa huru kidogo kwenye kukaba kama ilivyo sasa.

Japo ball retention itapungua kwenye midfield yetu.
 
Ilikuwa August 31 2021 wakati huo Sabitzer wa moto kweli ameenda Bayern lakini amekosa gametime.

Hata kwenye michuano ya Euro hakuwa kwenye ubora huo na world cup qualifiers hakuwa na ubora huo wa zamani.
 
Ilikuwa August 31 2021 wakati huo Sabitzer wa moto kweli ameenda Bayern lakini amekosa gametime.

Hata kwenye michuano ya Euro hakuwa kwenye ubora huo na world cup qualifiers hakuwa na ubora huo wa zamani.
Ujio wa huyu jamaa utaongeza nini cha kutuweka top4? It seems umemfatlia sana.I wish to know more atafit vp kwenye kikosi chetu hususani kipindi hiki tunachohitaji matokeo tu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nyie hamna maana hata kidogo, mmewapelekea Arsenyani fitna ya Jojinah, sasa hivi huko kwenye jukwaa lao moto unawaka, ni mwendo wa kutukanana wenyewe kwa wenyewe yaani ni hatari mno.
 
Ujio wa huyu jamaa utaongeza nini cha kutuweka top4? It seems umemfatlia sana.I wish to know more atafit vp kwenye kikosi chetu hususani kipindi hiki tunachohitaji matokeo tu?
Huyo jamaa ana mapafu kwl kwl.. naiona man u ndan ya 433 mido ikiwa chini ya casemiro,marcel na bruno.. jamaa anagusa namba zaid ya moja kuanzia DM,CAM,RW na LW
 
Ilikuwa August 31 2021 wakati huo Sabitzer wa moto kweli ameenda Bayern lakini amekosa gametime.

Hata kwenye michuano ya Euro hakuwa kwenye ubora huo na world cup qualifiers hakuwa na ubora huo wa zamani.
Uli-cross kichwani kwangu baada ya kuona jina Sabitzer nakumbuka ulitaja sana jina lake kipindi cha nyuma. Dominik Szoboszlai ni ndoto yangu kumuona siku moja akivaa uzi wa United ana akili nyingi sana uwanjani.
 
Punguza ujuha na ushangingi si nimesema case closed mlikuwa na performance nzuri kama unavyotaka kujiaminisha au unataka nn[emoji23]?
Upo sawa kweli, jibu lako ni tafsiri ya utu wako, unasafari ndefu kuufikia utu wako wenye hekima.[emoji375][emoji375][emoji375]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nyie hamna maana hata kidogo, mmewapelekea Arsenyani fitna ya Jojinah, sasa hivi huko kwenye jukwaa lao moto unawaka, ni mwendo wa kutukanana wenyewe kwa wenyewe yaani ni hatari mno.
[emoji28][emoji28][emoji28] tuna fan base ya ajabu sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nyie hamna maana hata kidogo, mmewapelekea Arsenyani fitna ya Jojinah, sasa hivi huko kwenye jukwaa lao moto unawaka, ni mwendo wa kutukanana wenyewe kwa wenyewe yaani ni hatari mno.
Flano umenichekesha Sana, halafu ukiona natukanwa unaongezea petrol ,huna maana kabisa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…