Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Casemiro’s game by numbers vs. Reading:

82% pass accuracy
71 touches
8 ground duels won
4 tackles won
3 key passes
2/2 dribbles completed
2 goals

Two beauties.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230129_013459_669.jpg
 
Kwa ratiba tuliyokua nayo mwezi huu wote January ya game mbili mbili kwa wiki,tumejitahidi saaaana hapa tulipo,nawaza tu wale wenye kelele wangekuaje....
 
Timu inaimarika siku hadi siku. The future is bright. Glory glory Manchester United.
Mkicheza na kina reading ,Charlton , forest , na timu Kariba hii mnadanganyana timu imeimarika

Timu kariba hii ambazo hazipress ziliwadanganyeni mnagombea EPL
 
ANTHONY NI MCHEZAJI WA YOUTUBE

Mshambuliaji wa zamani wa Tottenham Hotspur, Sunderland, Aston Villa, Fulham na Timu ya Taifa ya England Darren Bent, amesema winga wa Manchester United Anthony Matheus dos Santos ni mchezaji wa Youtube...

Anasema "Anafanya vitu vingi lakini anashindwa kumpita mtu, sio kama anapiga chenga na kuuchezea mpira kumpoteza mpinzani ila anafanya vitu hivyo bila malengo yoyote"

"Ni kama vilikatwa vipande bora vya video halafu vikawekwa youtube na kuwapagawisha Man United huku akiwaacha wengine wasiamini kama kweli wamemsajili...
 
Aise tuna shida aise eriksen injury na kaonekana jana anatembea na magongo kabisa na hapo kumbuka na DVB naye out hadi mwisho wa msimu.

Tunaitaji kiungo mwingine haraka iwezekanavyo maana hapo kiungo aliyebaki ni fred tu na tuna wimbi la mechi nyingi kweli na hatuna backup ya viungo wa kutosha.

na hatuwezi tena kupata mchezaji mwingine wa mkopo maana mwisho ni wawili tu na tayari tunao.

Tuna wakati mgumu kweli tuombe asiwe amepata majeraha ya muda mrefu maana ratiba yetu ya February tutacheza mechi nyingi kweli hafu wachezaji wameanza kupata injury.

Screenshot_20230129-120246.jpg
 
Aise tuna shida aise eriksen injury na kaonekana jana anatembea na magongo kabisa na hapo kumbuka na DVB naye out hadi mwisho wa msimu.

Tunaitaji kiungo mwingine haraka iwezekanavyo maana hapo kiungo aliyebaki ni fred tu na tuna wimbi la mechi nyingi kweli na hatuna backup ya viungo wa kutosha.

na hatuwezi tena kupata mchezaji mwingine wa mkopo maana mwisho ni wawili tu na tayari tunao.

Tuna wakati mgumu kweli tuombe asiwe amepata majeraha ya muda mrefu maana ratiba yetu ya February tutacheza mechi nyingi kweli hafu wachezaji wameanza kupata injury.

View attachment 2499116
Apandishwe mmoja au wawili kutoka academy.
 
Back
Top Bottom