Makyuma kama hawa msiwe mnawajib.. mnawapa airtym tuu achana nae hajui mpiraWe kenge nyie si mlilombwa mkatoka
Kinachonshangaza gemu na man city rashford alikua offside wakat pass inapigwa ila kwa kuwa hakugusa mpira ikawa onside.. ila hapa weghost alkua offside wakat pass inapgwa ila hakuugusa mpira, aliyegusa mpira ni beki wa reading ndo mpira ukamkuta weghost akatoa assist ila imechukuliwa ni offsideduh! Offside eti. VAR ni shida.
Mechi kama hzi unashangaa inafka dk ya 90+ tunapigwa kimoja mechi inaishaHawa watapigwa tu wanasumbua mahakama tu hukumu ipo pale pale


