Siku hizi wako fresh kinoma, lakini sio kwetu.Hii sijaielewa. Najua tuna kanuni zetu za ushindi. Lkn hii ya asernal kuji assure wattatupiga point tatu sijaipata vema, Wana uwezo Gani maana mm hata mechi zao siangaliagi.
Kumbuka kua nyinyi ni kama misukule yetu vile, tunawafanya tutakavyo.Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .
Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0
Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw
Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
Tangu wakupime oil kule gesti uwekuwa wa hovyo sanaHahaha mchizi boti umerejea..litimu lako likifanya vizuri kidogo ndio unaonekana. Au muda wote unakuwa shimoni nini 😀😀😀
3-1Karibuni Emirates. Mje kimya kimya ama Kwa matarumbeta ni juu yenu sisi tunawasubiri. Cha muhimu mfike na mbaki mpaka shughuli iishe.
Weka head to head kwa hii misimu mitano kaka tuone nani mchumba tafadhaliArsenal Wana timu nzuri ok, wako na form nzuri ok , ok !
Wanadhani wanaweza kuifunga utd kirahisi? Tangu enzi na enzi, arsenal kwetu wachumba tu,, hata tuwe wabovu vp tunawapiga !
Recently tuna form nzuri, morale ya wachezaji iko juu Sana ,,,, why tusiwapige pale pale kwao ?
Before arsenal tuna game muhimu na palace, najua ETh hatotaka Mambo ya rotation ataweka full mkoko, tuombe tusipate injury kwa key players ili isiathiri game na Gunners !
Ni kwa sababu mashabiki wao wote wana kelele ndio maana upinzani unakuwa mkaliNimemis enzi Zile Ubingwa unafukuziwa na Man u & Arsenal tu,
Ile miaka ilikuwa Ina vibe sana
This is what i told these losers here, casemiro ni defender, sio kiungo, yule ni centre back.
Maguire, Bailly, Telles, Williams, Martial hawa kwa pamoja hatukosi pound 100M majira ya kiangazi.timu haina hela, kuna tetesi tusipofuzu UCL itabidi tuuze dirisha lijalo, hakutakua na usajili mkubwa
Van Gaal aliuza fringe players wote wa Man united akabaki na wale waliokuwa regular starters tu chini ya Ferguson bila kujua kuwa kundi kubwa sana la wale mabwana lilikuwa limezeeka sana.Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
Wale mashabiki shoga ?Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .
Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0
Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw
Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
Ukimuuza Maguire inabidi tusajili beki mwengine, Angalau wa 4 wanahitajika. Same kwa martial akiondoka tunahitaji striker wawili badala ya mmoja. Bailly, Telles na Williams wote wataingia sokoni, maybe na Elanga pia hasa Sancho akirudi atakua hana Umuhimu.Maguire, Bailly, Telles, Williams, Martial hawa kwa pamoja hatukosi pound 100M majira ya kiangazi.
We jamaa nikikumbuka ulivyosimama na mdogo wako Rashford bega kwa bega kipindi kile tunataka kumla kichwa humu ndani naishia kutabasamu tu. Sasa hivi apewe mkataba wa kudumu yeye na Shaw.
Arsenal kipindi cha Ole ndo mlikuwa vizuri kwetuWeka head to head kwa hii misimu mitano kaka tuone nani mchumba tafadhali
Rekodi za karibuni yani umejichagulia ulipoishia kutufunga haya na me nakupa game 5 za mwisho tulizokutanaRekodi za karibuniView attachment 2483113
Mechi ya mwisho emirates unaikumbuka vzr?Kumbuka kua nyinyi ni kama misukule yetu vile, tunawafanya tutakavyo.