Van Gaal aliuza fringe players wote wa Man united akabaki na wale waliokuwa regular starters tu chini ya Ferguson bila kujua kuwa kundi kubwa sana la wale mabwana lilikuwa limezeeka sana.Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
Wale mashabiki shoga ?Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .
Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0
Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw
Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
Ukimuuza Maguire inabidi tusajili beki mwengine, Angalau wa 4 wanahitajika. Same kwa martial akiondoka tunahitaji striker wawili badala ya mmoja. Bailly, Telles na Williams wote wataingia sokoni, maybe na Elanga pia hasa Sancho akirudi atakua hana Umuhimu.Maguire, Bailly, Telles, Williams, Martial hawa kwa pamoja hatukosi pound 100M majira ya kiangazi.
We jamaa nikikumbuka ulivyosimama na mdogo wako Rashford bega kwa bega kipindi kile tunataka kumla kichwa humu ndani naishia kutabasamu tu. Sasa hivi apewe mkataba wa kudumu yeye na Shaw.
Arsenal kipindi cha Ole ndo mlikuwa vizuri kwetuWeka head to head kwa hii misimu mitano kaka tuone nani mchumba tafadhali
Rekodi za karibuni yani umejichagulia ulipoishia kutufunga haya na me nakupa game 5 za mwisho tulizokutanaRekodi za karibuniView attachment 2483113
Mechi ya mwisho emirates unaikumbuka vzr?Kumbuka kua nyinyi ni kama misukule yetu vile, tunawafanya tutakavyo.
Ana bao lake moja kwa asenoWout Weghorst [emoji837]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]
man utd |View attachment 2483973View attachment 2483974
[emoji23][emoji23]Tukishashinda mechi ya arsenal baada ya hapo natabiri mechi zote 17 zilizobakia ni win win
Na tunataka aanze [emoji23]Ana bao lake moja kwa aseno
[emoji3581] uhakika mKuu[emoji3581]Ana bao lake moja kwa aseno
Rashford,we have to cook..
&EvertonBorussia Dortmund are interested in Anthony Elanga.
#FabrizioRomano
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]
man utd |View attachment 2483993
Kuna aina ya wachezaji hawafai kuwa backup hasa hasa mtu kama Maguire in-longrun anaweza kuleta shida ktk dressing room. Spurs inaweza kuwa timu sahihi sana kwake endapo pande zote mbili zitaelewana. Namuona akifanikiwa sana kiuchezaji wake endapo atajiunga nao.Ukimuuza Maguire inabidi tusajili beki mwengine, Angalau wa 4 wanahitajika. Same kwa martial akiondoka tunahitaji striker wawili badala ya mmoja. Bailly, Telles na Williams wote wataingia sokoni, maybe na Elanga pia hasa Sancho akirudi atakua hana Umuhimu.
Cha muhimu ni timu iuzwe kabla ya dirisha kubwa na Tufuzu UEFA, itasaidia dirisha lijalo.