Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Van Gaal aliuza fringe players wote wa Man united akabaki na wale waliokuwa regular starters tu chini ya Ferguson bila kujua kuwa kundi kubwa sana la wale mabwana lilikuwa limezeeka sana.

Mbaya zaidi wachezaji wote aliowasajili walishindwa kudeliver mpaka msimu wake wa pili ndiyo walianza angalau kuingia kwenye mfumo wake.

Kuna kipindi aliamua kumchezesha Rooney kwenye midfield it was so painful.
 
Wale mashabiki shoga ?
 
Ukimuuza Maguire inabidi tusajili beki mwengine, Angalau wa 4 wanahitajika. Same kwa martial akiondoka tunahitaji striker wawili badala ya mmoja. Bailly, Telles na Williams wote wataingia sokoni, maybe na Elanga pia hasa Sancho akirudi atakua hana Umuhimu.

Cha muhimu ni timu iuzwe kabla ya dirisha kubwa na Tufuzu UEFA, itasaidia dirisha lijalo.
 
Tusitishike kwa arsenal kupata, ushindi dhidi ya totenham jana, sie tuombe wachezaji wetu waendelee na spirit ya kunyoosha kila timu inayokutana na sisi ili tuendelee kubeba point 3.

Naamini kabisa baada ya crystal palace msiba mzito tunauacha pale pale emirates. Mda unavyodhidi kwenda i believe anything can happen and time will tell.
 
Kuna aina ya wachezaji hawafai kuwa backup hasa hasa mtu kama Maguire in-longrun anaweza kuleta shida ktk dressing room. Spurs inaweza kuwa timu sahihi sana kwake endapo pande zote mbili zitaelewana. Namuona akifanikiwa sana kiuchezaji wake endapo atajiunga nao.

Tayari alishapewa mamlaka makubwa sana ndani ya kikosi tokea 2020 mpaka 2022 chini ya Ole halafu ghafla anapoteza ushawishi ndani ya muda mfupi kuanzia dressing room mpaka uwanjani. Sio mtu sahihi kuendelea kuwepo kikosini kuanzia msimu ujao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…