Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbuka kua nyinyi ni kama misukule yetu vile, tunawafanya tutakavyo.
 
Weka head to head kwa hii misimu mitano kaka tuone nani mchumba tafadhali
 
Fred na Casemiro wana 4 yellow cards ,

Wanaenda kucheza mechi ya 19 jumatano na Palace , , means wapo kwenye risk ya kukosa mech na Arsenal

Arsenal wiki nzima hatuna mechi tumekaa paleeee tunawasubiri tukiwa fresh kabisa
 
timu haina hela, kuna tetesi tusipofuzu UCL itabidi tuuze dirisha lijalo, hakutakua na usajili mkubwa
Maguire, Bailly, Telles, Williams, Martial hawa kwa pamoja hatukosi pound 100M majira ya kiangazi.

We jamaa nikikumbuka ulivyosimama na mdogo wako Rashford bega kwa bega kipindi kile tunataka kumla kichwa humu ndani naishia kutabasamu tu. Sasa hivi apewe mkataba wa kudumu yeye na Shaw.
 
Van Gaal aliuza fringe players wote wa Man united akabaki na wale waliokuwa regular starters tu chini ya Ferguson bila kujua kuwa kundi kubwa sana la wale mabwana lilikuwa limezeeka sana.

Mbaya zaidi wachezaji wote aliowasajili walishindwa kudeliver mpaka msimu wake wa pili ndiyo walianza angalau kuingia kwenye mfumo wake.

Kuna kipindi aliamua kumchezesha Rooney kwenye midfield it was so painful.
 
Wale mashabiki shoga ?
 
Ukimuuza Maguire inabidi tusajili beki mwengine, Angalau wa 4 wanahitajika. Same kwa martial akiondoka tunahitaji striker wawili badala ya mmoja. Bailly, Telles na Williams wote wataingia sokoni, maybe na Elanga pia hasa Sancho akirudi atakua hana Umuhimu.

Cha muhimu ni timu iuzwe kabla ya dirisha kubwa na Tufuzu UEFA, itasaidia dirisha lijalo.
 
Tusitishike kwa arsenal kupata, ushindi dhidi ya totenham jana, sie tuombe wachezaji wetu waendelee na spirit ya kunyoosha kila timu inayokutana na sisi ili tuendelee kubeba point 3.

Naamini kabisa baada ya crystal palace msiba mzito tunauacha pale pale emirates. Mda unavyodhidi kwenda i believe anything can happen and time will tell.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…