christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.LVG ni bonge la kocha, ila kufanya kazi na woodward ni kitu kigumu sana, ameprove sehemu nyingi tu kuwa yeye ni top coa
Waliowauza wachezaji wazuri time ya kina rvg, hovyo sanaHuyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
Mzee alikuwa hovyo sana eti anamtoa Chicharito kwa mkopo kamuuza na Van persi yaan alikuwa balaa tupu.Waliowauza wachezaji wazuri time ya kina rvg, hovyo sana
sababu hajapewa watu wake anaowataka, in real life mpira sio kama Fifa na Pes unachukua timu unacheza,Huyu mzee hapana kwa kweli sio kwa style ya man u yule hafai kabisa huwezi kumuuza Rafaeli halafu ukatumia mabeki kama kina Blanket, kazi yao kurudisha mpira nyuma. Kwangu mimi hakuna kipindi nilikuwa nachukia kuangalia mpira kama kipindi cha Van gal yaan mpira mnacheza na kumiliki nyie haladfu mwishowe mnafungwa.
RVP alivyoondoka United alifanya nini?Mzee alikuwa hovyo sana eti anamtoa Chicharito kwa mkopo kamuuza na Van persi yaan alikuwa balaa tupu.
Unamaanisha nini? Wewe ungependa afanye nini zaidi ya kucheza.RVP alivyoondoka United alifanya nini?
Kila la kheri, cha umuhimu ni kuombea uhaiNatumai mna watch game yetu next week tutawaua
Yani mkichezaa hivii tunawalaaa mapemaa tuuNatumai mna watch game yetu next week tutawaua
Sio wapuuzi. Uwezo wao ni huo, wamekutana na timu boraSpurs wapuuzi Sana, wanachapika tu hapa !
Conte ameishiwa mbinu ? Kule mbele amna kitu kabisa ,,,,,, zile mishe mishe za son na kane ku-exchange position siku hizi hazionekani kabisa,,, wapo wapo tu
Goal la Kwanza la kizembe Sana ,,,, kule mbele Amna amsha amsha !!!!Sio wapuuzi. Uwezo wao ni huo, wamekutana na timu bora
Kweli mkuu.Mimi nilisema humu..Spurs sio timu ya kuitumainia kabisa..sisi tuendelee kushinda mechi zetu tu mdogo mdogo.
Huna akili.Uyu kocha munampamba apa akipoteza mechi mbili tu mutaanza mponda, ndio maana tunawaita manyumbu
Hahaha mchizi boti umerejea..litimu lako likifanya vizuri kidogo ndio unaonekana. Au muda wote unakuwa shimoni nini πππHuna akili.
Endelea kuvuta bangi hapo mitaa ya unga limitedi.
Sema kesi yake inasikilizwa, ukiangalia na umri wake ni kuombea kama atakutwa na hatia apewe nyundo chache akitoka atacheza tu tena, ila wenzetu wapo makini sana kwenye sheria, ngoja tusubiriYaani huyu Greenwood tumepoteza mashine ya mabao yule dogo akilitizama goli ni either kipa adake au kamba. Ni mara chache sana kipa akadaka shuti lake au kupaiza.