Na mpira uishe tu
Ili baadae waanze kutuita old trashford?Acha City warudishe kwanza ili iwe sare
Ulijua game imeisha?
Uzuri nyie wenyewe mnakiri huu mpira wenu arsenal atawaua nyingiUchezaji wetu leo bure kabisa.
Ili mpunguze kasi kidogo. mmepata momentum kali hivi karibuni. hongereni pia lakini,Ili baadae waanze kutuita old trashford?
Na uzuri wewe mwenyewe unajua kabisa kuwa tulipiga round ya kwanza, sasa sijui hup mpira wetu una ubaya gani.Uzuri nyie wenyewe mnakiri huu mpira wenu arsenal atawaua nyingi
Nomaw..😂😍😍💯💯💯🔥🔥Hahahahaaaa lapili aiseee
Kwakweli mm mwenyewe shabiki la Liverpool naomba Arsenal mbebe hili kombeMkuu Sema mabingwa arsenal tu, mbona simple tu![]()