Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,020
- 28,069
Na uzuri wewe mwenyewe unajua kabisa kuwa tulipiga round ya kwanza, sasa sijui hup mpira wetu una ubaya gani.Uzuri nyie wenyewe mnakiri huu mpira wenu arsenal atawaua nyingi
Na uzuri wewe mwenyewe unajua kabisa kuwa tulipiga round ya kwanza, sasa sijui hup mpira wetu una ubaya gani.Uzuri nyie wenyewe mnakiri huu mpira wenu arsenal atawaua nyingi
Nomaw..😂😍😍💯💯💯🔥🔥Hahahahaaaa lapili aiseee
Kwakweli mm mwenyewe shabiki la Liverpool naomba Arsenal mbebe hili kombeMkuu Sema mabingwa arsenal tu, mbona simple tu[emoji3][emoji3][emoji3]
Nauza sumu za PANYA, unataka??Ndugu zangu nasikitika kuwambia kuwa ugonjwa mlonao siwakupona 2nd half habari yenu inaisha.
Mkuu najua leo washika mtutu mlikuwa upande wetu[emoji847]Mkitumwa mnafanya kazi nzuri, good job.[emoji1787]
Naombeni pongezi zangu kwa kuwatakia ushindi na mmenitendea haki.Man Utd msiniangushe leo nawatakia kisasi cha maana dhidi ya Man City hata 1 - 0 tu, kila la heri Wakulungwa [emoji119]
Trust in processHuyu Makame mbona haileweki huyu, mara ya pili hii anakosa goli