Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rashford: “I overslept and I missed the pre game meeting. I was a little bit late. It's the team rules and I understand the decision”,
10 Hag hana masihara ukijifanya una unausingizi sana mpaka ukachelewa mazoezini au kwenye pre game meeting unakula bench bila kuangaliwa usoni hata kama ndio mchezaji tegemeo kwenye timu.

Kocha simamia hapohapo kwenye ni nidhamu ya timu maana kuna michezaji ilikua ishaanza kujiona mifaza hapo OT.
 
Short tempered huyo manager kibonde wenu
 

Kuna wakati namuangalia Casemiro natamani angekuwa na umri wa Garnacho.
Are you serious Jombaa? Huwezi kuwa na uwezo wa Casemiro ktk umri wa miaka 18.

Uchezaji wa Casemiro ni mjumuisho wa uzoefu wa kucheza michezo mingi sana ktk ngazi ya ushindani.

Hata yeye mwenyewe Casemiro ktk miaka 18 hafikii hata asilimia 25 ya uwezo wake wa sasa.
 
MUFC have won all 10 games when they've been leading this season.

7 cleans sheets so far, only #NUFC with 9 have more.
Daemushin, Tunza hii comment yangu, nitafute tarehe 28 mwezi wa 5, 2023 saa mbili usiku.

Tofauti yetu na Arsenal mpaka leo siku ya mwisho wa mwaka 2022 ni alama 11 tumefanana michezo wote tumecheza mechi 16.
 
Hawakati kodi huko
 
Dah. Hili jibu ni too technical.

Ni kocha anayejielewa na anajua nini anafanya.

Tukipata management nzuri, tuna kocha atakayeweka msingi mzuri kwa United imara ya miaka 10 ijayo.
 
Kama aliweza mnyoosha Ronaldo na ustaa wake, hakuna mbuzi mwingine wa kunyanyua mdomo.

Tulihitaji kocha wa aina hii toka muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…