Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

......mkiyashikilia na kuyabaana kisawasawa mananihii.... Huenda goli zikarudi hizi

Jaribuni wazee....
Hehehhheehh
 
moyes na yeye ni mzigo kama mawaziri wa bongo,dirisha hili litafungwa hajasajili,dirisha kubwa likifunguliwa mwe julai hadi litafungwa hatasajili...ni mzigo kwa kweli
wenye timu hawaoni kama ni mzigo.
 


View attachment 91228





hdwallpapers2302.jpg

Naomba wale wenzangu wa kutoka Old Trafford tuendelee kushangilia ushindi. Tuendelee kuzibua vizibo.

Kanyaga twende.

kanyaga tweeeendee
 
.....told you! Let the best diver win!!!
Chk Hazzard alivyo dive pale....
Hehheehhehhh
 
7th defeats....I guess that sums up our title challenge....focus now on UCL place.....

Still a staunch #ManUnited supporter....

Now let's make it to Wembley for the league cup final vs. Shitty....

Bring on Sunderland....
 
Bingwa bingwa eateeeelii[rudia mara2] Man u bingwa kie kie kie eti étoo babu.
 
wenye timu kina nani?hata sisi mashabiki tunasehemu yetu katika timu,waulize hao akina Glazer kama hawawatambui washabiki na wanachama?

Ulaya si sawa na bongo kwenye Simba na Yanga zenu wanaosikiliza wanachama kina mzee akilimali. kama unaona Moyes ni mzigo hamia kwenye makocha wazuri
 
Back
Top Bottom