Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2022-11-30-17-04-13-044-edit_com.android.chrome.jpg
 
United are hopeful Amad can establish himself in the first-team squad when he returns from his loan spell with Sunderland.

#samuelluckhurst
#RonaLdoFinallYOUT
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221202_001927_500.jpg
 
Martinelli
  1. maamuzi sahihi pindi anapokuwa na mpira ndio yaongoze kipaji chake.
  2. Ameshaathiriwa na mpira wa ulaya a.k.a. mpira wa kufundishwa ubaoni.
  3. Martinelli tayari ameshapevuka kimpira wa ushindani barani ulaya, kwa maana ana uwezo wa kufanya kazi na kocha yeyote
Antony
  1. Anaamini Kipaji chake ndio kiongoze maamuzi yake pindi anapokuwa na mpira.
  2. Ameathiriwa na mpira wa uswahilini kwao, nikiwa na maana chenga za maudhi, dribbling na vyenginevyo kwake ni jambo la kawaida haijalishi yupo phase ipi ya uwanja.
  3. Anahitaji kufunzwa zaidi ili aweze kubalanzisha kipaji na maamuzi sahihi kwa wakati mmoja mfano wa gaucho.
Mawazo ya mwanadamu anayeishi katika nchi inayotegemea umeme wa mvua za masika
 
FIFA wamethibitisha kua mashindano ya kombe la dunia mwaka huu yameng'arishwa zaidi na wachezaji wa Manchester United.
Wamesema wanaanda utaratibu ili mashindano yajayo ya World Cup Manchester United ishiriki kama taifa linalojitegemea.

Hakika nimeanza kuamini Man United ni timu ya dunia maana sio kwa kupendwa kiasi hiki na walimwengu.
Hahahaha Dah
 
Back
Top Bottom