Ghana yupo naniUkitaka timu yako iende kwenye 16 bora ni lazima iwe na mchezaji wa Manchester United japo mmoja tu.
Garnacho kushoto, Diallo kulia hawachezi no 1. Namba ya Diallo anacheza Antony.Diallo yupo wapi dogo huyu mpaka garnacho anachukua namba aiseee
Sunderland..Diallo yupo wapi dogo huyu mpaka garnacho anachukua namba aiseee
Sio kwamba anarudi Madrid au kwenda Bayern or Chelsea??..Uarabuni??
Anaenda Uarabuni, wanasheria wanapitia vifungu vya mkataba nimeona updateSio kwamba anarudi Madrid au kwenda Bayern or Chelsea??..Uarabuni??
Kuna jamaa humu alisema Ronaldo timu kubwa bado zinamtaka na akitoa United ataenda timu bora zaidi ya United..We are still waiting it to happen.
Hivi David Raum anacheza position gani ?====≈===
- Frimpong - beki mbili
- Frankie de jong - kiungo
- Gakpo - mshambuliaji
- Timber - beki wa kati
- Ronaldo
- Tuanzebe
- Brandon williams
- Wan bissaka
- Telles
Namba tatuHivi David Raum anacheza position gani ?
Wacha kuota Mzee , kwahiyo unakata kusema kwa Anthony tumepigwa au?Pesa walizotumia kumsajili Anthony bora wangemchukua Gakpo.
HahahahaFIFA wamethibitisha kua mashindano ya kombe la dunia mwaka huu yameng'arishwa zaidi na wachezaji wa Manchester United.
Wamesema wanaanda utaratibu ili mashindano yajayo ya World Cup Manchester United ishiriki kama taifa linalojitegemea.
Hakika nimeanza kuamini Man United ni timu ya dunia maana sio kwa kupendwa kiasi hiki na walimwengu.

DahNafikir United wawekeze nguvu kwa Robin Gossen kwa upande wa kulia hii huyu ataleta ushindani halisi upande wa kulia.Namba tatu