Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester Evening News (MEN) moja kati ya credible source kuhusu habari za United na Sky Sports wameripoti kuhusu Ortega na Apple ku explore possibility ya kununua klabu ya United

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Aisee, Men ni Credible source? Si gazeti la udaku hilo? Na sky ni average si Credible kivile na hawajareport, kama wamereport weka source. Nikipata muda nitaweka Tier 1 source za Man united zote, ama kama kuna mtu anao karibu aweke ila source kama Men ni takataka mkuu.

Ni kama Mtu wa uingereza Aseme habari za Diamond na source yake iwe gazeti la ijumaa.

Men inamilikiwa na Mirror, wanare use tu habari zao
 
Kwa hiyo Chief-Mkwawa hoja yakoni ipi haswa?
Na unachotaka kama mshabiki wa United ni nini?
Why thIS negativity over the team that you claim to support?

As a fan, no matter the price or the buyer, as we long United gets out of the Glazers, that is ALL I WANT.
 
Kwa hiyo Chief-Mkwawa hoja yakoni ipi haswa?
Na unachotaka kama mshabiki wa United ni nini?
Why thIS negativity over the team that you claim to support?

As a fan, no matter the price or the buyer, as we long United gets out of the Glazers, that is ALL I WANT.
Negativity kwa media uchwara? Ni kama tu wakati wa usajili media zinatumia jina la Man U ku generate views, wanatunga habari zisizo na kichwa wala miguu.

As far as i understand watu pekee waliojitokeza na interest za kununua Man U ni Sir Jim Ratcliffe na Martin Oneill wa Red knight, wote hawa kwa vipindi tofauti walitangaza hadharani.

Pia wote hawa wameikataa hio valuation ya Glazzers,

Na sababu hatuwataki Glazzer haimaanishi tuchukue akili zetu tuweke mfukoni tuamini kila tunachokiona online.
 
Negativity kwa media uchwara? Ni kama tu wakati wa usajili media zinatumia jina la Man U ku generate views, wanatunga habari zisizo na kichwa wala miguu.

As far as i understand watu pekee waliojitokeza na interest za kununua Man U ni Sir Jim Ratcliffe na Martin Oneill wa Red knight, wote hawa kwa vipindi tofauti walitangaza hadharani.

Pia wote hawa wameikataa hio valuation ya Glazzers,

Na sababu hatuwataki Glazzer haimaanishi tuchukue akili zetu tuweke mfukoni tuamini kila tunachokiona online.
Sawa
 
Aisee, Men ni Credible source? Si gazeti la udaku hilo? Na sky ni average si Credible kivile na hawajareport, kama wamereport weka source. Nikipata muda nitaweka Tier 1 source za Man united zote, ama kama kuna mtu anao karibu aweke ila source kama Men ni takataka mkuu.

Ni kama Mtu wa uingereza Aseme habari za Diamond na source yake iwe gazeti la ijumaa.

Men inamilikiwa na Mirror, wanare use tu habari zao
Apple isn’t planning to buy #mufc. [@rsgnl]

Maelezo ya huyo reporter wa Apple , account yake Twitter Ni @rsgnl

For #ManUtd fans landing on my profile today: I'm an Apple reporter, not a sports reporter. Feel free to roast me if you don't believe me, but I have it on very good authority that Apple is not planning to buy the club. Sorry to ruin the fun! 🥲
 
Apple isn’t planning to buy #mufc. [@rsgnl]

Maelezo ya huyo reporter wa Apple , account yake Twitter Ni @rsgnl

For #ManUtd fans landing on my profile today: I'm an Apple reporter, not a sports reporter. Feel free to roast me if you don't believe me, but I have it on very good authority that Apple is not planning to buy the club. Sorry to ruin the fun! 🥲
Jamaa hataki shobo wala mihemko. Amepiga penye ukweli na kuondoka zake.
 
Anayehitaji uzi Kama huu anione inbox
IMG-20221024-WA0004.jpg
 
Mliokuwa mnalalamika kwanini Degea hajaitwa SPAIN mtakuwa mmeona jinsi Unai Simon anavyocheza
 
Wanaolalamika sio kwamba wana Mcompare De gea na Unai, bali De gea hayupo kwenye kikosi cha watu 55 na kuna makipa wa 5 mbele yake.
Bado wale makipa watano , footwork zao Ni nzuri Sana kuzidi De gea, angalia Unai simon, Robert Sanchez, Hata Kepa Arizabalaga , now Chelsea wanatajwa kutaka kumuacha Mendy,

Ukiona jinsi Unai simon alivyokuwa anarudishiwa mipira mita chache tu, na Hana presha , unaona kabisa ile Spain ,Degea haimfai
 
Aisee, Men ni Credible source? Si gazeti la udaku hilo? Na sky ni average si Credible kivile na hawajareport, kama wamereport weka source. Nikipata muda nitaweka Tier 1 source za Man united zote, ama kama kuna mtu anao karibu aweke ila source kama Men ni takataka mkuu.

Ni kama Mtu wa uingereza Aseme habari za Diamond na source yake iwe gazeti la ijumaa.

Men inamilikiwa na Mirror, wanare use tu habari zao
Moja ya mashabik wa man u mwenye habari za ndani kabisa ,umeelezea vizuri Sana hili swala la man u kuwekwa sokoni ,Kuna mashabiki hawataki ukweli, Kuna wanaoamini Apple wanaitaka man u ,

Mwisho wa siku Grazzer Family watawauzia wamarekani wenzao nao wachote pesa ....
 
Bado wale makipa watano , footwork zao Ni nzuri Sana kuzidi De gea, angalia Unai simon, Robert Sanchez, Hata Kepa Arizabalaga , now Chelsea wanatajwa kutaka kumuacha Mendy,

Ukiona jinsi Unai simon alivyokuwa anarudishiwa mipira mita chache tu, na Hana presha , unaona kabisa ile Spain ,Degea haimfai
Makocha wengi mould za Barcelona hawana Plan B thats why De gea hayumo.

Na unai jana alimpasia Gnabry sema tu akatoa nje, ni sweeper mzuri ila sio kivile.
 
Hivi musiala alikataliwa Chelsea au arsenal ??

dah Bayern wamelamba dume! Dogo Ni pure talent,, ! Ndo kwanza yupo under 25, Bado ana mengi ya kujifunza na ku-prove !
 
Under 20. Alikuwa academy ya Chelsea. Sema Chelsea ni kawaida yao tu.
Hatari Sana mkuu ,,, !

Kuna huyu mwamba sergej mil-savic nilikuwa sijawahi kumtazama vizuri kule Italy,,, kwenye hizi mechi mbili za WC ndio nimemtizama kwa ukaribu zaidi ,,, anajua Sana aisee top top talent !

Timu kubwa hazimuoni ? Ama lazio wanammbania !
 
Hatari Sana mkuu ,,, !

Kuna huyu mwamba sergej mil-savic nilikuwa sijawahi kumtazama vizuri kule Italy,,, kwenye hizi mechi mbili za WC ndio nimemtizama kwa ukaribu zaidi ,,, anajua Sana aisee top top talent !

Timu kubwa hazimuoni ? Ama lazio wanammbania !
Lazio pia timu kubwa mkuu, kama Spurs vile ligi ya uingereza. Ana bei ndefu sana kwa timu zinazomhitaji kama unavyoona Harry kane.
 
Back
Top Bottom