Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
I doubt mkuu, ujue Gapko ni Kama Rashford na Garnacho anatokea kushoto, kwa kiwango anachoonesha Garnacho sidhani kama atakuja mtu. Labda kama ETH anataka ambadili awe striker wa kati, maana ndio eneo ambalo tunatakiwa tusajili sababu Martial majeruhi na Ronaldo tia maji tia maji.Unafikiri Gapko atakuja january?
Sijui hata kama unaelewa unachoandika anyway humu ni uzi wa mpira.Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
Utajuwa wewe ila mm ndonajua nmefika level Gani ya maisha na pia tupo humu utakuja kunisikia hii wazako wakiwa mbaliJamaa kasema Ni ushauri tu ingetosha kuuchukua au kuacha Sasa Kama umepanic hivi Mambo ya kulisha familia yake Tena yanatoka wapi,,huwezi kua na hela ukabehave hivo
Jifunze kuandika vizuriWewe kujua kwingi alafu ujui ata napokwambia nafany eci na ewd ujui ni kitu gani we umekalia kupinga hya masoko yanatoa price yke high volatility ndoma wanapenda kuyatumia Sasa wewe FX yenyewe umeadisiwa unataka kujifanya mjuaji we unajua kw siku naingiza bei Gani ysna chin nying km Afghanistan Nigeria south Africa Canada USA UK na mataifa mengine we watu wake we unawazid akiri wewe umeridhika kuw masikin anayetaka kupiga hatua Moja kwenda hatua nyingine atanitafuta na uzuri watu 6 washanitafuta na nishawapa maelekezo wameelewa na uthibitisho na research zao wameona hiki kitu ni Cha kweli we Kaa kimya kama utak usipoteshwe uma
Blocked..Vijana weng na mtfe inaenea kwa Kasi watoto wadogo manamilik magari nyumba za kifahari kwajili ya mtfe Sasa wewe Kaa hivyo hivyo kujifanya mjuajiView attachment 2413321View attachment 2413323View attachment 2413325View attachment 2413326View attachment 2413327View attachment 2413330View attachment 2413331View attachment 2413332View attachment 2413334View attachment 2413335View attachment 2413336
Toa upuuzi wako hapa jukwaani, Kama unapiga hela si zako ? Wewe Dada vpVijana weng na mtfe inaenea kwa Kasi watoto wadogo manamilik magari nyumba za kifahari kwajili ya mtfe Sasa wewe Kaa hivyo hivyo kujifanya mjuajiView attachment 2413321View attachment 2413323View attachment 2413325View attachment 2413326View attachment 2413327View attachment 2413330View attachment 2413331View attachment 2413332View attachment 2413334View attachment 2413335View attachment 2413336
Toa upuuzi wako hapa jukwaani, Kama unapiga hela si zako ? Wewe Dada vp
Unapewa usharudi unapanic, kuandika kwenyewe hujui !
Me nimesoma Sweden kiswahili ndiyo sijui tatizo liko wapToa upuuzi wako hapa jukwaani, Kama unapiga hela si zako ? Wewe Dada vp
Unapewa usharudi unapanic, kuandika kwenyewe hujui !
Vijana weng na mtfe inaenea kwa Kasi watoto wadogo manamilik magari nyumba za kifahari kwajili ya mtfe Sasa wewe Kaa hivyo hivyo kujifanya mjuajiView attachment 2413321View attachment 2413323View attachment 2413325View attachment 2413326View attachment 2413327View attachment 2413330View attachment 2413331View attachment 2413332View attachment 2413334View attachment 2413335View attachment 2413336
Unamanisha ni kilazaJifunze kuandika vizuriView attachment 2413402
We kipindi wenzako wanasoma ulikuwa unaangalia chuchu konziYani hyu mjuaj anizid maisha ata robo hii hii trade bayofanya nalisha familia yako nzima
StupidUtajuwa wewe ila mm ndonajua nmefika level Gani ya maisha na pia tupo humu utakuja kunisikia hii wazako wakiwa mbali
Duuhhh wavivu wote wapo uwanjani aisee.Kwaichi kikosi bora ni lale tu.View attachment 2412707
Vizuri na sijui lile goli waliojifunga angekua yeye pale sijui ingekuaje Leo...sometime Mitandao imekuja kuharibu ladha ya soka kwa hype za ajabu..mnyonge mnyongeni haki yake mpeni raha ya beki upigwe na kakadi maguire kacheza vzuri banaMaguire amecheza vizuri sio..Okay.
Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.Magwaya ana nini ambacho sie fans hatukioni ?
Pia ETH hamuelewi pia ndo maana anampiga benchi!
Huyu mwamba timu ya taifa hakosekani na anapangwa ,,,, ! Au ni aina ya watu anaocheza nao ? Ni sawa na Fred kwa Brazil!
Kina Mings, Tomori n.k Wana viwango kumzidi jamaa lakini hawaitwi Mara kwa Mara national team !, Hata Smalling kule roma anafanya vizuri Sana chini ya mourhinho
Chief-Mkwawa
Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.
Na mechi zote toka arudi majeruhi kama Jana, West ham etc amecheza vizuri.
Na Maguire sio kinda kwamba ameanza leo, ni CB bora wa Uingereza World cup 2018 na Euro iliopita kuna maajabu gani akienda na World cup hii?.
Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!
VP tomori na Smalling ? Sio kwamba Gareth anafanya gambling ?
ok ok najaribu kukuelewa. !!!!Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.
Southgate tunajua fika anaenda paki basi la maana huko Qatar, Maguire anafit sana huu mfumo sababu unaficha weakness yake ya kutokua na speed, pia Southgate anatumia beki wa 3 sometime wa kati, inakuwa rahisi hata Maguire akipanda kunakuwa na cover.
Flop wetu wote wameshine ligi ya Italia mkuu, sio necessary kwamba Smalling na Tomori ni wachezaji wazuri kuliko Maguire.