Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila hawa UEFA siyo wa kuwaamini kabisa, hii draw ni ya mchongo si mnakumbuka msimu uliopita walitengeneza mazingira Ronaldo na Messi wakutane!

Hata hii ya Barca na United imekaa kibiashara maana ndiyo timu zinazoongelewa sana Europa na mashabiki wengi walitamani hii draw. Hata Madrid na Liverpool ni mchongo tu maana ni mechi ina ka-uhasama ndani yake. Bayern na PSG pia mchongo tu walishakutana fainali, wanajua kwenye draw ndiyo njia pekee ya kutengeneza mechi za pesa.
 
Ila hawa UEFA siyo wa kuwaamini kabisa, hii draw ni ya mchongo si mnakumbuka msimu uliopita walitengeneza mazingira Ronaldo na Messi wakutane!

Hata hii ya Barca na United imekaa kibiashara maana ndiyo timu zinazoongelewa sana Europa na mashabiki wengi walitamani hii draw. Hata Madrid na Liverpool ni mchongo tu maana ni mechi ina ka-uhasama ndani yake. Bayern na PSG pia mchongo tu walishakutana fainali, wanajua kwenye draw ndiyo njia pekee ya kutengeneza mechi za pesa.
Ipo wazi Mbona ,Ni zimekaa kibiashara , Man u vs Barca wameona wapige pesa mapema kabisa, asije mmoja akatolewa
 
Ila hawa UEFA siyo wa kuwaamini kabisa, hii draw ni ya mchongo si mnakumbuka msimu uliopita walitengeneza mazingira Ronaldo na Messi wakutane!

Hata hii ya Barca na United imekaa kibiashara maana ndiyo timu zinazoongelewa sana Europa na mashabiki wengi walitamani hii draw. Hata Madrid na Liverpool ni mchongo tu maana ni mechi ina ka-uhasama ndani yake. Bayern na PSG pia mchongo tu walishakutana fainali, wanajua kwenye draw ndiyo njia pekee ya kutengeneza mechi za pesa.
Nimekuwa nikiongea na wadau wangu wa soka kuhusu hizi draw kuwa zinapangwa wakawa wanabisha,ila huwa kuna mazingira ya kibiashara yanatengenezwa.

Kumbuka chelsea ya Mourinho dhidi ya barca ya Pep walikuwa kila hatua wanakutana,Arsenal na Barcelona hadi Wenger akapiga kelele ndio kuachiwa,Arsenal dhidi ya Bayern nayo ilifululiza sana. Sasa kuna mfululizo wa Liverpool dhidi ya Madrid.

Hili la man utd dhidi ya Barcelona endapo dili la De Jong halitapoa,basi kutakuwa na mfululizo wa hii combination hadi tutachoka.
 
Nimekuwa nikiongea na wadau wangu wa soka kuhusu hizi draw kuwa zinapangwa wakawa wanabisha,ila huwa kuna mazingira ya kibiashara yanatengenezwa.

Kumbuka chelsea ya Mourinho dhidi ya barca ya Pep walikuwa kila hatua wanakutana,Arsenal na Barcelona hadi Wenger akapiga kelele ndio kuachiwa,Arsenal dhidi ya Bayern nayo ilifululiza sana. Sasa kuna mfululizo wa Liverpool dhidi ya Madrid.

Hili la man utd dhidi ya Barcelona endapo dili la De Jong halitapoa,basi kutakuwa na mfululizo wa hii combination hadi tutachoka.
Kwa Europa ,game ya kuingiza pesa ndefu Ni ya man u vs Barcelona , kila mdau wa soka alijua lazima wakutanishwe tu,

Niamini anayepita hapo anaenda kucheza fainal na Arsenal au Juventus

Kuna mech ya Nusu fainal Europa itakuwa Kati ya Juve na Arsenal , na mshindi wa Man u vs Barcelona atakutanishwa na Ajax
 
Kwa Europa ,game ya kuingiza pesa ndefu Ni ya man u vs Barcelona , kila mdau wa soka alijua lazima wakutanishwe tu,

Niamini anayepita hapo anaenda kucheza fainal na Arsenal au Juventus

Kuna mech ya Nusu fainal Europa itakuwa Kati ya Juve na Arsenal , na mshindi wa Man u vs Barcelona atakutanishwa na Ajax
Nyie failed shark wa champion league mnabonga Sana , Kwa taarifa yako ni kuwa Europa League kamwe haiwez twaliwa na loosers champion league
 
Kama timu yako haipo kwenye msimamo wa ligi
Marufuku kupigia watu kelele
IMG_20221109_113544.jpg
 
Luke Shaw is hoping for a new contract at Old Trafford and claims to have held talks with both Leicester and Everton over the summer.

#MEN
#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221109_113942_264.jpg
 
Raphaël Varane has resumed running on the grass in recent days and will be fit for the World Cup.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221109_113346_296.jpg
 
KermitManchester United have put 19-year-old Slovenian striker Benjamin Sesko on their shortlist to replace Cristiano Ronaldo.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221109_113129_321.jpg
 
Back
Top Bottom