Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

sijui kocha alikula nini leo, kwanza mimi sikutegemea VDB kuanza. Kocha amekuwa na maamuzi mabaya sana leo.

Kingine ni pengo la Varane, Lindelof anakaba kwa macho,goli la tatu limeniuma sana, anamsindikiza mshambuliaji hadi anatoa pasi kama mpumbavu.
Hayo makosa huwa anayafanya kwa kurudia rudia, yeye na magwaya
 
Back
Top Bottom