The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,599
- 98,809
Tuna takataka nyingi sana kwenye timu yetu aisee.
msisahau mnacheza na timu yenye kocha mpya,morali ya wachezaji always i akuwaga juu sana maana hata wachovu na waliosahaulika na starter huwa wanajaribu kujibrand ili kupata nambaMan utd wangese sana pale mbele utoto mwingi, hawaelewi wanataka nini
mech ngapi amewaokoa mkuu?
lakini usisahau emery ni nani katika ulimwengu wa sokaTuna takataka nyingi sana kwenye timu yetu aisee.
mimi naamini ten hag ni elite coach mpe muda aondoe deadwoods wote asajili timu yake na atengeneze chemistry baadae tumuhukumu
mazingira ya kocha mpya na morale mpya ya wachezaji lazima ilitarajiwa mechi kuwa ngumuMkuu wengine mashabiki maandazi wanachojua timu ishinde kila cku
Cku ikipoteza km leo kila mchezaji hovyo
NYINGI SANA..SIJUI KWA NINI WATU HUWA HAWAONI JUHUDI NA UPAMBANAJI WA RASHFORD.mech ngapi amewaokoa mkuu?
POOR SUBSTITUTION..KAMTOA SHAW NA GARNACHO!!!!!
Rashford ana makosa mengi sana ya kiufundi.Mkuu wengine mashabiki maandazi wanachojua timu ishinde kila cku
Cku ikipoteza km leo kila mchezaji hovyo
Imagine hao wote wawili Martial na Rashford waanze, maana ake unakuwa na upungufu wa wachezaji wawili ndani.Me niliwaambia jamani! Man U bado sana, bila ya usajili wa kutosha! TUSIDANGANYIKE
martial so mchezaji
Rashford so mchezaji
Ronaldo kachoka (I respect and appreciate him)
Hayo makosa huwa anayafanya kwa kurudia rudia, yeye na magwayasijui kocha alikula nini leo, kwanza mimi sikutegemea VDB kuanza. Kocha amekuwa na maamuzi mabaya sana leo.
Kingine ni pengo la Varane, Lindelof anakaba kwa macho,goli la tatu limeniuma sana, anamsindikiza mshambuliaji hadi anatoa pasi kama mpumbavu.
Umri umeshamtupa mikono maskini CR 7, astaafu kwa heshima tu kama beki Jerrad PickyTupunguze mahaba jamani, hv Ronaldo Kuna kitu kakifanya zaidi ya faulo anazo fanya baada ya kubanwa