- Newcastle united - tulikosa umakini
- Chelsea - tulikosa umakini
- Tottenham - waliomba mpira umalize
- Masharifu- hawajapiga shuti golini
Naendelea kusimama na kauli yangu:
Sikhofii kufungwa kwa manchester united ila nakhofia kutokufunga magoli kwa manchester united.
Karibuni jikoni west ham united,
Ukimuondoa manchester city, hakuna timu nyengine kwa premier league inayonipa khofu kwa sasa.
Nafahamu mpira una matokeo matatu ila hakuna timu inayoingia uwanjani wakiwa na malengo ya kupoteza mchezo au kutoa suluhu.