The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kuna siku uliulizwa wewe ndiye yule ARV tumjuaye au tumsubiri mwingine?Hatimaye Ronaldo kafunga..
3-0
Kuna siku uliulizwa wewe ndiye yule ARV tumjuaye au tumsubiri mwingine?Hatimaye Ronaldo kafunga..
3-0
Sema mlaini sasa akiguswa kidogo chali uyu afundishwe ROHO ngumu kama Gavi ni mdogo lakini kakichezewa kiatu kanaendelea tu labda aumie sana ndo atasimama...Foul kama 7+ zote kachezewa gnacho tu..BtW ni kafundi sana shida ndo iyoGernacho kanifurahisha sana huyu dogo ana mguu mmoja safi sana apate mechi nyingi kama kina sancho hawataki kucheza wakae benchi.
Hakuna anayemchukia Ronaldo kama ata act proffessional,na atatanguliza maslahi ya Man utd mbele na kujua kwamba timu ipo kwenye stage ya rebuild.Christiano Ronaldo haters are u still here.
Jibu zuri sana.Hakuna anayemchukia Ronaldo kama ata act proffessional,na atatanguliza maslahi ya Man utd mbele na kujua kwamba timu ipo kwenye stage ya rebuild.
Hakuna anayemchukia Ronaldo kama ata act proffessional,na atatanguliza maslahi ya Man utd mbele na kujua kwamba timu ipo kwenye stage ya rebuild.