Huyu dogo Ten amuonye mambo ya kucheza ba jukwaa..anapoteza sana muda.. Hayo mambi afanyage timu ikiwa inaongoza goli nne uko.. aache upuuzi.
Na kaingia aisee hii balaa ss1. Ronaldo ni kama anawaambia "msije mkaniweka benchi tena" "msije mkasema mimi ni mzee tena"
2. Naona Maguire anapasha ataingia na inaonekana atafunga goli la kichwa leo.
1-0 Man inaongozangap ngap hukoo
Kweli kabisa jukwaa hili la kipekee huwa hakuna matusi kama Arsenyeto na kwengine ,mpuuzi mmoja asiharibu Cv ya humu.Mashabiki wa AsaniWali wamevamia Jukwaa na kujifanya ni mashabiki wa Man United kisha wanaanzisha matusi.
Hili ni Jukwaa la watu wastaarabu wenye staha na heshima, nitaanza rasmi kuwapiga Ban kila anaenzisha matusi humu.
Kwa yoyote anaejisikia kutukana aende kwenye lile jukwaa la watoto waliokosa malezi ya pande mbili.
2-01-0 Man inaongoza
Ni kweli kbsa ni kamoto sanaaa[emoji95]2-0
Huyu dogo Garnacho nadhani ndio wakati sahihi wa kumuweka Sancho benchi la milele. Nadhani dogo ndio man of the match kwa leo.
Kuna siku uliulizwa wewe ndiye yule ARV tumjuaye au tumsubiri mwingine?Hatimaye Ronaldo kafunga..
3-0
Nilimuuliza hakujibu .Kuna siku uliulizwa wewe ndiye yule ARV tumjuaye au tumsubiri mwingine?
Sema mlaini sasa akiguswa kidogo chali uyu afundishwe ROHO ngumu kama Gavi ni mdogo lakini kakichezewa kiatu kanaendelea tu labda aumie sana ndo atasimama...Foul kama 7+ zote kachezewa gnacho tu..BtW ni kafundi sana shida ndo iyoGernacho kanifurahisha sana huyu dogo ana mguu mmoja safi sana apate mechi nyingi kama kina sancho hawataki kucheza wakae benchi.