Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Only three clubs have scored 600 goals under one manager.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221027_125042_773.jpg
 
De jong,Timber wote limewakuta jambo..

Walijidai nye nye nye hatuwezi kwenda kucheza Europa lig.. kiko wapi?? Matimu mechi tano.. hili point 4, jingine point 3..!! Tena naomba sana tukutane na Barca robo au nusu tumkalishe vizuri de jong mkosa adabu..!!
 
De jong,Timber wote limewakuta jambo..

Walijidai nye nye nye hatuwezi kwenda kucheza Europa lig.. kiko wapi?? Matimu mechi tano.. hili point 4, jingine point 3..!! Tena naomba sana tukutane na Barca robo au nusu tumkalishe vizuri de jong mkosa adabu..!!
Unajifurahisha tu, unauwezo wa kumfunga Barca wewe
 
1. Ronaldo ni kama anawaambia "msije mkaniweka benchi tena" "msije mkasema mimi ni mzee tena"

2. Naona Maguire anapasha ataingia na inaonekana atafunga goli la kichwa leo.
 
Mashabiki wa AsaniWali wamevamia Jukwaa na kujifanya ni mashabiki wa Man United kisha wanaanzisha matusi.
Hili ni Jukwaa la watu wastaarabu wenye staha na heshima, nitaanza rasmi kuwapiga Ban kila anaenzisha matusi humu.
Kwa yoyote anaejisikia kutukana aende kwenye lile jukwaa la watoto waliokosa malezi ya pande mbili.
Kweli kabisa jukwaa hili la kipekee huwa hakuna matusi kama Arsenyeto na kwengine ,mpuuzi mmoja asiharibu Cv ya humu.
 
Back
Top Bottom