Unajifurahisha tu, unauwezo wa kumfunga Barca weweDe jong,Timber wote limewakuta jambo..
Walijidai nye nye nye hatuwezi kwenda kucheza Europa lig.. kiko wapi?? Matimu mechi tano.. hili point 4, jingine point 3..!! Tena naomba sana tukutane na Barca robo au nusu tumkalishe vizuri de jong mkosa adabu..!!

Dembele akiwa na mechi mbaya tunawakung'uta kama mbwa kokoUnajifurahisha tu, unauwezo wa kumfunga Barca wewe![]()
Hata awe na mechi nzuri mkuu... wanabamizwa kikawaida sana.Dembele akiwa na mechi mbaya tunawakung'uta kama mbwa koko
Dembele tokea afunge ndoa amekuwa mkorofi sana na ndio injini ya barcelona.Hata awe na mechi nzuri mkuu... wanabamizwa kikawaida sana.
Huyu dogo Ten amuonye mambo ya kucheza ba jukwaa..anapoteza sana muda.. Hayo mambi afanyage timu ikiwa inaongoza goli nne uko.. aache upuuzi.
Na kaingia aisee hii balaa ss1. Ronaldo ni kama anawaambia "msije mkaniweka benchi tena" "msije mkasema mimi ni mzee tena"
2. Naona Maguire anapasha ataingia na inaonekana atafunga goli la kichwa leo.
1-0 Man inaongozangap ngap hukoo
Kweli kabisa jukwaa hili la kipekee huwa hakuna matusi kama Arsenyeto na kwengine ,mpuuzi mmoja asiharibu Cv ya humu.Mashabiki wa AsaniWali wamevamia Jukwaa na kujifanya ni mashabiki wa Man United kisha wanaanzisha matusi.
Hili ni Jukwaa la watu wastaarabu wenye staha na heshima, nitaanza rasmi kuwapiga Ban kila anaenzisha matusi humu.
Kwa yoyote anaejisikia kutukana aende kwenye lile jukwaa la watoto waliokosa malezi ya pande mbili.
2-01-0 Man inaongoza
Ni kweli kbsa ni kamoto sanaaa2-0
Huyu dogo Garnacho nadhani ndio wakati sahihi wa kumuweka Sancho benchi la milele. Nadhani dogo ndio man of the match kwa leo.
