Mm niliongea humu nikashambuliwa , eti kisa ana magoli 3hivi Antony anashida gani? mbona mdanwote Tu anarudisha mpira nyuma....hajaribu take ons kabisa bora 7 ya Sancho pre season
Afu kana anguka anguka tu sijui kana shida gani?..?hivi Antony anashida gani? mbona mdanwote Tu anarudisha mpira nyuma....hajaribu take ons kabisa bora 7 ya Sancho pre season
Afu kana anguka anguka tu sijui kana shida gani?..?hivi Antony anashida gani? mbona mdanwote Tu anarudisha mpira nyuma....hajaribu take ons kabisa bora 7 ya Sancho pre season
Mkuu NtYga mpaka umeongea swahili kweli tony anazinguaAfu kana anguka anguka tu sijui kana shida gani?..?
Kocha kazingua sn kumuanzisha ronaldo na fredNdio maana mie nimeamua nitulie na kuacha kwanza kucheki gemu zetu coz kuna mambo wachezaji wanayofanya uwanjani yanakera saana.
Angeanza nani sasa mkuu sub ilikuwa aina wachezaji wakueleweka.Kocha kazingua sn kumuanzisha ronaldo na fred
Every touch ya Fred ilkua ni kituko,ndo maana kuna jamaa alisema as a joke: scout team ya utd ilifanya kazi ya ziada sana kumpata Fred maana brazil hakuna mchezaji mbovu wa namna ile kama wapo ni wachache sana!!Angeanza nani sasa mkuu sub ilikuwa aina wachezaji wakueleweka.
Yani angekuwepo Maximin na Isak tungepigwa na kwa hali ile tusingerudisha. Safu yetu ya ushambuliaji mpaka wapate nafasi 20 ndiyo wafunge goli 1, wakipata nafasi chache zote watakosa.Kikubwa tushukuru kwa kutokuwepo kwa Allan Saint-Maximin pamoja na Isak maana ingekua ni fedheha kubwa mno.
Man United sisi ni kama ManDonga tu jina kubwa, mashabiki kibao ila uwanjani hamna la maana.
GGMU Tukipiga tumepiga, tukipigwa kama tumepiga.
Taratibu mnaanza kuongea uhalisiaKikubwa tushukuru kwa kutokuwepo kwa Allan Saint-Maximin pamoja na Isak maana ingekua ni fedheha kubwa mno.
Man United sisi ni kama ManDonga tu jina kubwa, mashabiki kibao ila uwanjani hamna la maana.
GGMU Tukipiga tumepiga, tukipigwa kama tumepiga.