Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hivi Antony anashida gani? mbona mdanwote Tu anarudisha mpira nyuma....hajaribu take ons kabisa bora 7 ya Sancho pre season
Mm niliongea humu nikashambuliwa , eti kisa ana magoli 3

Scholes alisema kila mpira anarudisha nyuma

Niliwaambia humu hata magoli nicolas Pepe pale Arsenal alifunga sana kuliko saka , but mwenye impact kubwa Ni saka

Leo epl sidhan kama kuna timu inacheza na man u mabeki pinzani wamuhofie Anthony.
 
Kikubwa tushukuru kwa kutokuwepo kwa Allan Saint-Maximin pamoja na Isak maana ingekua ni fedheha kubwa mno.

Man United sisi ni kama ManDonga tu jina kubwa, mashabiki kibao ila uwanjani hamna la maana.

GGMU Tukipiga tumepiga, tukipigwa kama tumepiga.
 
Kikubwa tushukuru kwa kutokuwepo kwa Allan Saint-Maximin pamoja na Isak maana ingekua ni fedheha kubwa mno.

Man United sisi ni kama ManDonga tu jina kubwa, mashabiki kibao ila uwanjani hamna la maana.

GGMU Tukipiga tumepiga, tukipigwa kama tumepiga.
Yani angekuwepo Maximin na Isak tungepigwa na kwa hali ile tusingerudisha. Safu yetu ya ushambuliaji mpaka wapate nafasi 20 ndiyo wafunge goli 1, wakipata nafasi chache zote watakosa.

Mashabiki wengi bado tunaishi kwa kuamini tuna timu nzuri, United bado ni timu kubwa lakini kwa kikosi tulichonacho hatuna tofauti na mid-table clubs tofauti yetu na wao, sisi tuna historia kubwa tu basi.

Tuna timu ya kawaida sana yani hizi timu ndogo zinapokosea zikicheza na sisi ni kupaki basi lakini zina uwezo wa ku-battle na wachezaji wa United na kuwamudu.

Hii timu ina-survive kwasababu ya jina lake tu lakini sioni cha ajabu wachezaji wanachofanya kuwazidi wachezaji wa Newcastle, Brighton, Brentford au West Ham.
 
Kikubwa tushukuru kwa kutokuwepo kwa Allan Saint-Maximin pamoja na Isak maana ingekua ni fedheha kubwa mno.

Man United sisi ni kama ManDonga tu jina kubwa, mashabiki kibao ila uwanjani hamna la maana.

GGMU Tukipiga tumepiga, tukipigwa kama tumepiga.
Taratibu mnaanza kuongea uhalisia

Casimiro huyu hatawapa, alichokua anafanya pale Madrid
Umri pia ndio hivyo jua limezama
Kivupi huyu mchizi amekuja kula mafao yake ya uzeeni

Fred kama kichaa leo mzima kesho anapiga watu mawe

Anthony na Elanga mwalimu inabidi awapike kweli kweli

Bruno na Eriksen gari likiwaka nawao watawaka. Trust me

Martinez bado yupo njema, inabidi apate combo. Malacia potential ipo



Wafuatao inabidi muwafukuze
Varane,
lindelof
magwaya
dalot
shaw
Sancho
Martial
Rashford
Cr7
Wan bisaka
 
Mm niliongea humu nikashambuliwa , eti kisa ana magoli 3

Scholes alisema kila mpira anarudisha nyuma

Niliwaambia humu hata magoli nicolas Pepe pale Arsenal alifunga sana kuliko saka , but mwenye impact kubwa Ni saka

Leo epl sidhan kama kuna timu inacheza na man u mabeki pinzani wamuhofie Anthony.
Waambie kuna msimu Pepe alifikisha mpk goli 11 kwahyo wasitishike na goli 3... huyo n Daniel James Tu WA pauni mil. 100

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Yani angekuwepo Maximin na Isak tungepigwa na kwa hali ile tusingerudisha. Safu yetu ya ushambuliaji mpaka wapate nafasi 20 ndiyo wafunge goli 1, wakipata nafasi chache zote watakosa.

Mashabiki wengi bado tunaishi kwa kuamini tuna timu nzuri, United bado ni timu kubwa lakini kwa kikosi tulichonacho hatuna tofauti na mid-table clubs tofauti yetu na wao, sisi tuna historia kubwa tu basi.

Tuna timu ya kawaida sana yani hizi timu ndogo zinapokosea zikicheza na sisi ni kupaki basi lakini zina uwezo wa ku-battle na wachezaji wa United na kuwamudu.

Hii timu ina-survive kwasababu ya jina lake tu lakini sioni cha ajabu wachezaji wanachofanya kuwazidi wachezaji wa Newcastle, Brighton, Brentford au West Ham.
United mnachekesha sana, juzi hapa mlikuwa mnasema timu imekamilika baada ya kumleta Antony, casemiro, Martinez na eriksen. Hapo kuna malacia pia.

Tatizo la united kwa maoni yangu ni kwamba mnaamini kusajili ndio kuwa na timu. Tangu Ferguson aondoke mmekuwa na kazi moja tu ya kusajili kuridhisha mashabiki na kufanya biashara bila mipango mahsusi ya kutengeneza timu.
 
Huyu jamaa mnamuandama Sana🤣🤣🤣🤣
IMG-20221017-WA0067.jpg
 
United mnachekesha sana, juzi hapa mlikuwa mnasema timu imekamilika baada ya kumleta Antony, casemiro, Martinez na eriksen. Hapo kuna malacia pia.

Tatizo la united kwa maoni yangu ni kwamba mnaamini kusajili ndio kuwa na timu. Tangu Ferguson aondoke mmekuwa na kazi moja tu ya kusajili kuridhisha mashabiki na kufanya biashara bila mipango mahsusi ya kutengeneza timu.
Tatizo litimu lao linasajili kwa kuangalia majina.

Eti juzi nipo kibanda umiza nikamsikia shabiki mmoja wa nyumbu anataka asajiliwe Jamaal Musiala, hivi Musiala atawasaidia nini kwenye timu yenu?
 
Back
Top Bottom