Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona tupo serious hivi mpaka na vibonde hawa.
Screenshot_20221013-195604.jpg
 
Ninausongo sana wa kuiona combo ya kibrazir pale kati. Hope cesa na Fred watatuonyesha chochote cha kutushawishi leo. But Ten hag aanze kujiamini sasa, mechi kama hii tia hivi vitito vikinazidane, garnacho nk viendelee kujiamini. yeye anaweka full mkoko...
20221013_205423.jpg
 
Mwenyewe kanishangaza yuko home, ananafasi nzuri tu ya kusonga mbele na tayari kesha win trust kwa mashabiki na bodi pia but daah kawa mkavu Mno bhanaa..
Nafasi nzuri ya kusonga mbele wapi?

Wakati Sheriff akishinda,Man u akapigwa pressure itakuwa kubwa kwa United
 
Kwa hiyo tumekubaliana pasi na shaka kuwa kipa wa Omo ndo MOTM sio??
Basi sawa!!!
 
Back
Top Bottom