Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Uzoho alishasema mapema.
Screenshot_20221014-002057_Twitter.jpg
 
Trust the process,matokeo ts not big deal,Ten hag namuelewa sana anapopanga kikosi cha kwanza kwa kila game.

Mdogo mdogo ataanza kujua nani apigwe chini,kama alivofanywa Maguire.Nadhan anayefuata hapo ni Degea na Sancho.

Ndo maana nasema tunahitaji misimu atleast miwili kuwa complete team.
 
Sancho hawezi Tena kufanikiwa atafute timu ashakuwa flop

Huyu Anthony Mbona Kama mmepigwa ,sijawahi kuona anampita hate beki,sijaona mabeki wakimuogopa kifup Ni chezaji la kawaida tu

Ni swala la muda aingie kwenye listi ya wachezaji flop

Msibabaishwe na magoli hata Sancho alipofunga dhidi ya Liverpool mkasema ndiye Sancho mnayemtaka,Cha ajabu anazidi kuwa flop

Manyumbu mna laana degea hakukosea
 
Sancho hawezi Tena kufanikiwa atafute timu ashakuwa flop

Huyu Anthony Mbona Kama mmepigwa ,sijawahi kuona anampita hate beki,sijaona mabeki wakimuogopa kifup Ni chezaji la kawaida tu

Ni swala la muda aingie kwenye listi ya wachezaji flop

Msibabaishwe na magoli hata Sancho alipofunga dhidi ya Liverpool mkasema ndiye Sancho mnayemtaka,Cha ajabu anazidi kuwa flop

Manyumbu mna laana degea
 
Sancho hawezi Tena kufanikiwa atafute timu ashakuwa flop

Huyu Anthony Mbona Kama mmepigwa ,sijawahi kuona anampita hate beki,sijaona mabeki wakimuogopa kifup Ni chezaji la kawaida tu

Ni swala la muda aingie kwenye listi ya wachezaji flop

Msibabaishwe na magoli hata Sancho alipofunga dhidi ya Liverpool mkasema ndiye Sancho mnayemtaka,Cha ajabu anazidi kuwa flop

Manyumbu mna laana degea hakukosea
United pasi mbili goli. Hahaha, najua ile picha ya 3 - 1 bado inawatesa sana, mnajiuliza tuliwafungaje na mnakosa majibu. Sisi hatuna masuala ya kuremba muandiko na ndiyo kinachowakera.

Tupo kwenye rebuild na kocha anafanya mambo yake taratibu kabisa huku tukijichukulia points 3 kimasihara.

Anthony kwenye mechi zake 3 kaweka 3 wakati wewe unajiuliza ni beki gani kawahi kumpita sasa hivi Nick Pope anajiuliza kesho atailindaje angle yake ya kulia dhidi ya mtaalamu wa Ki-Brazil bwana mdogo Anthony.
 
United pasi mbili goli. Hahaha, najua ile picha ya 3 - 1 bado inawatesa sana, mnajiuliza tuliwafungaje na mnakosa majibu. Sisi hatuna masuala ya kuremba muandiko na ndiyo kinachowakera.

Tupo kwenye rebuild na kocha anafanya mambo yake taratibu kabisa huku tukijichukulia points 3 kimasihara.

Anthony kwenye mechi zake 3 kaweka 3 wakati wewe unajiuliza ni beki gani kawahi kumpita sasa hivi Nick Pope anajiuliza kesho atailindaje angle yake ya kulia dhidi ya mtaalamu wa Ki-Brazil bwana mdogo Anthony.
Mbona pale Emirates ulipigwa 3-1

Hakuna build yoyote hapo Hadi January tutaona mabango yakumtimua
 
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester united 2 vs Newcastle 1

Premier League
Old Trafford, Manchester
Sunday 16th October 2022
16:00 EAT/14:00 BST

Last match

Manchester united 1 vs Newcastle 1
 
Back
Top Bottom