
majira ya saa 4Taarifa imetoka kaumia. Yeye na Isak hawatacheza.Jamaa anayenitisha Newcastle ni Allan Saint-Maximin, jamaa ni hatari sana.
Afadhali.Taarifa imetoka kaumia. Yeye na Isak hawatacheza.
Kama Isak na Maximin hawatacheza basi itawapunguzia Newcastle nguvu..Taarifa imetoka kaumia. Yeye na Isak hawatacheza.
daaa dogo alisahau lile andiko tuliloambiw na Muumba kuwa tuishi kwa akili na hawa viumbe wanaomiliki papuchi..Mason Greenwood.View attachment 2388157
Nyumbu hamna uwezo wakupiga mpira mwingi , tuacheni kudanganya ,kila Mechi mnasubiri miujiza tututawapigia newcastle mpira mwingi sana kama tu martial atakuwa fiti.. combination yake na dogo Rashidi huwa inakuwa safi sana...
United pasi mbili goli. Hahaha, najua ile picha ya 3 - 1 bado inawatesa sana, mnajiuliza tuliwafungaje na mnakosa majibu. Sisi hatuna masuala ya kuremba muandiko na ndiyo kinachowakera.Sancho hawezi Tena kufanikiwa atafute timu ashakuwa flop
Huyu Anthony Mbona Kama mmepigwa ,sijawahi kuona anampita hate beki,sijaona mabeki wakimuogopa kifup Ni chezaji la kawaida tu
Ni swala la muda aingie kwenye listi ya wachezaji flop
Msibabaishwe na magoli hata Sancho alipofunga dhidi ya Liverpool mkasema ndiye Sancho mnayemtaka,Cha ajabu anazidi kuwa flop
Manyumbu mna laana degea hakukosea
Mbona pale Emirates ulipigwa 3-1United pasi mbili goli. Hahaha, najua ile picha ya 3 - 1 bado inawatesa sana, mnajiuliza tuliwafungaje na mnakosa majibu. Sisi hatuna masuala ya kuremba muandiko na ndiyo kinachowakera.
Tupo kwenye rebuild na kocha anafanya mambo yake taratibu kabisa huku tukijichukulia points 3 kimasihara.
Anthony kwenye mechi zake 3 kaweka 3 wakati wewe unajiuliza ni beki gani kawahi kumpita sasa hivi Nick Pope anajiuliza kesho atailindaje angle yake ya kulia dhidi ya mtaalamu wa Ki-Brazil bwana mdogo Anthony.