Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mason Greenwood.
20221015_184229.jpg
 
Sancho hawezi Tena kufanikiwa atafute timu ashakuwa flop

Huyu Anthony Mbona Kama mmepigwa ,sijawahi kuona anampita hate beki,sijaona mabeki wakimuogopa kifup Ni chezaji la kawaida tu

Ni swala la muda aingie kwenye listi ya wachezaji flop

Msibabaishwe na magoli hata Sancho alipofunga dhidi ya Liverpool mkasema ndiye Sancho mnayemtaka,Cha ajabu anazidi kuwa flop

Manyumbu mna laana degea hakukosea
 
Sancho hawezi Tena kufanikiwa atafute timu ashakuwa flop

Huyu Anthony Mbona Kama mmepigwa ,sijawahi kuona anampita hate beki,sijaona mabeki wakimuogopa kifup Ni chezaji la kawaida tu

Ni swala la muda aingie kwenye listi ya wachezaji flop

Msibabaishwe na magoli hata Sancho alipofunga dhidi ya Liverpool mkasema ndiye Sancho mnayemtaka,Cha ajabu anazidi kuwa flop

Manyumbu mna laana degea
 
Sancho hawezi Tena kufanikiwa atafute timu ashakuwa flop

Huyu Anthony Mbona Kama mmepigwa ,sijawahi kuona anampita hate beki,sijaona mabeki wakimuogopa kifup Ni chezaji la kawaida tu

Ni swala la muda aingie kwenye listi ya wachezaji flop

Msibabaishwe na magoli hata Sancho alipofunga dhidi ya Liverpool mkasema ndiye Sancho mnayemtaka,Cha ajabu anazidi kuwa flop

Manyumbu mna laana degea hakukosea
United pasi mbili goli. Hahaha, najua ile picha ya 3 - 1 bado inawatesa sana, mnajiuliza tuliwafungaje na mnakosa majibu. Sisi hatuna masuala ya kuremba muandiko na ndiyo kinachowakera.

Tupo kwenye rebuild na kocha anafanya mambo yake taratibu kabisa huku tukijichukulia points 3 kimasihara.

Anthony kwenye mechi zake 3 kaweka 3 wakati wewe unajiuliza ni beki gani kawahi kumpita sasa hivi Nick Pope anajiuliza kesho atailindaje angle yake ya kulia dhidi ya mtaalamu wa Ki-Brazil bwana mdogo Anthony.
 
United pasi mbili goli. Hahaha, najua ile picha ya 3 - 1 bado inawatesa sana, mnajiuliza tuliwafungaje na mnakosa majibu. Sisi hatuna masuala ya kuremba muandiko na ndiyo kinachowakera.

Tupo kwenye rebuild na kocha anafanya mambo yake taratibu kabisa huku tukijichukulia points 3 kimasihara.

Anthony kwenye mechi zake 3 kaweka 3 wakati wewe unajiuliza ni beki gani kawahi kumpita sasa hivi Nick Pope anajiuliza kesho atailindaje angle yake ya kulia dhidi ya mtaalamu wa Ki-Brazil bwana mdogo Anthony.
Mbona pale Emirates ulipigwa 3-1

Hakuna build yoyote hapo Hadi January tutaona mabango yakumtimua
 
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester united 2 vs Newcastle 1

Premier League
Old Trafford, Manchester
Sunday 16th October 2022
16:00 EAT/14:00 BST

Last match

Manchester united 1 vs Newcastle 1
 
  1. Manchester united vs newcastle united = saa 10
  2. leeds united vs Arsenal = Saa 10
  3. aston villa vs chelsea = saa 10
  4. barcelona vs real madrid = saa 11
ulikuwepo uwezekano wa mechi ya chelsea kuchezwa saa 8 mchana
mechi ya arsenal au manchester united kuchezwa saa 10:30
mechi ya liverpool ikachezwa saa 1 usiku
mechi nyengine ikachezwa saa 3 usiku

fanyeni kushare link ya kuangalia mpira live
 
  1. Manchester united vs newcastle united = saa 10
  2. leeds united vs Arsenal = Saa 10
  3. aston villa vs chelsea = saa 10
  4. barcelona vs real madrid = saa 11
ulikuwepo uwezekano wa mechi ya chelsea kuchezwa saa 8 mchana
mechi ya arsenal au manchester united kuchezwa saa 10:30
mechi ya liverpool ikachezwa saa 1 usiku
mechi nyengine ikachezwa saa 3 usiku

fanyeni kushare link ya kuangalia mpira live
Yote hii ni kwasababu ya mechi za katikati ya wiki za UEFA. Ila mechi kama ya Villa v Chelsea ilikuwa na uwezekano wa kuchezwa jana lakini kutokana na sheria za UK wangeiweka jana hiyo mechi mashabiki wa Uingereza nje ya Birmingham wasingeweza kuitazama Live kupitia TV.

Mechi za 3pm (5pm EAT) Jumamosi pale UK haziruhusiwi kuonyeshwa kwenye TV wala kuwa streamed kwenye Pub. Ni sheria ya miaka ya 1960s iliwekwa ili kusaidia vilabu vya ligi za chini ya EPL kupata mapato kwasababu mechi za Championship, League 1, League 2 na National League huchezwa Jumamosi sasa wakiziweka muda mmoja na timu kubwa watu wengi wanaacha kwenda viwanjani wanaangalia mechi kubwa kwenye TV, kitu kinachopunguza mapato ya viingilio uwanjani.
 
  1. Manchester united vs newcastle united = saa 10
  2. leeds united vs Arsenal = Saa 10
  3. aston villa vs chelsea = saa 10
  4. barcelona vs real madrid = saa 11
ulikuwepo uwezekano wa mechi ya chelsea kuchezwa saa 8 mchana
mechi ya arsenal au manchester united kuchezwa saa 10:30
mechi ya liverpool ikachezwa saa 1 usiku
mechi nyengine ikachezwa saa 3 usiku

fanyeni kushare link ya kuangalia mpira live
Muda wa mechi ukifika pitia:

www.totalsportek.com

www.hesgoal.tv
 
Mechi za 3pm (5pm EAT) Jumamosi pale UK haziruhusiwi kuonyeshwa kwenye TV wala kuwa streamed kwenye Pub. Ni sheria ya miaka ya 1960s iliwekwa ili kusaidia vilabu vya ligi za chini ya EPL kupata mapato kwasababu mechi za Championship, League 1, League 2 na National League huchezwa Jumamosi sasa wakiziweka muda mmoja na timu kubwa watu wengi wanaacha kwenda viwanjani wanaangalia mechi kubwa kwenye TV, kitu kinachopunguza mapato ya viingilio uwanjani.
nafahamu kuwepo kwa hiyo sheria ila nakumbuka msimu uliopita tulipocheza dhidi ya newcastle united mechi haikuonyeshwa live nchini Uingereza.
siku aliyotambulishwa cristiano ronaldo ndani ya old trafford
 
Back
Top Bottom