OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,939
- 25,269
Mchizi boti niaje ..muna timu mbovu sana yani munacheza na wachovu kama everton alafu munashinda tubao tuwili tu??! Nyie bado ni matakataka sanaKumbe jana tulishinda, sio?
Mchizi boti niaje ..muna timu mbovu sana yani munacheza na wachovu kama everton alafu munashinda tubao tuwili tu??! Nyie bado ni matakataka sanaKumbe jana tulishinda, sio?
Wakati tunacheza na Everton ndiyo ilikuwa timu iliyoruhusu magoli machache katika ligi. Walikuwa waneruhusu magoli 7 tu, tatizo umekariri jinsi Everton walivyomaliza msimu wa 2021/22 sasa hivi defensively wanafanya vizuri.Mchizi boti niaje ..muna timu mbovu sana yani munacheza na wachovu kama everton alafu munashinda tubao tuwili tu??! Nyie bado ni matakataka sana
Kylian Mbappé, not happy with Paris Saint-Germain as current situation is really tense. He wants to leave the club, as soon as possible.


#Mbappé
Jamaa wajanja sana walimlaghai ili asaini tu mkataba mpya na wamefanikiwa sasa ivi ili umpate mwaga mihelaNasikia Dogo anataka kuchomoa Pale PSG haraka iwezekanavyo vP tukimchukua huyu?..?Kylian Mbappé, not happy with Paris Saint-Germain as current situation is really tense. He wants to leave the club, as soon as possible.#Mbappé
#FabrizioRomano




hahahahahaMechi tatu zijazo za Manchester United
Newcastle (Home)
Tottenham (Home)
Chelsea (Away)
Wanakuja tu kutuvulugia huku kakombe ketu wakaze tu huko huko.Europe league loading........
- Barcelona
- Ajax
- Juventus
Europa msimu huu itakuwa tough kiasi..Europe league loading........
- Barcelona
- Ajax
- Juventus
Mwenyewe kanishangaza yuko home, ananafasi nzuri tu ya kusonga mbele na tayari kesha win trust kwa mashabiki na bodi pia but daah kawa mkavu Mno bhanaa..Mbona tupo serious hivi mpaka na vibonde hawa.View attachment 2386204
Kibondee kivipii wakati United alishinda ki bahati bahati tuu mechi iliyo pitaMbona tupo serious hivi mpaka na vibonde hawa.View attachment 2386204
Nafasi nzuri ya kusonga mbele wapi?Mwenyewe kanishangaza yuko home, ananafasi nzuri tu ya kusonga mbele na tayari kesha win trust kwa mashabiki na bodi pia but daah kawa mkavu Mno bhanaa..