Translator and 97 others
Member
- Oct 8, 2020
- 46
- 98
Mimi kukufunga wewe siku hiyo ni lazima kama maraisi wa Afrika kupanda daladala msiba wa malkia, ushindi wako msimu huu wa papatu papatuKama rashford na martial hawatakiwepo sijaona mbwa mwingine wa kutusumbua ...maana nilikuwa nawaza counter attack za rashford ,toka yupo ole huyu kimbwengo alikuwa anatusumbua

