Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The most respectful and peaceful team ever
IMG_20220920_234825_855.jpg
 
Giorgio Chiellini: "I am sad for [Harry] Maguire’s situation because he is a good player. They require too much of him. Just because they paid £80m for him, he has to be the best in the world every match? It’s not right."


#GlazerOUT
#GGMU

manutd
 
Kwa mtazamo wangu mimi kama shabiki wa United timu hii ilihitaji sana mchezaji ambaye anaweza kucheza vizuri kama false 9 mwenye energy badala ya winger.

Kwangu mimi naona tungempata Lautaro Martinez, au Ivan Toney.

Kama striker wetu wangeweza kufanya hata nusu ya wanachokifanya Toney, Lautaro Martinez au Patrick Schick tungekuwa na kikosi tishio sana.
Martial? Ni mzuri kama False 9 kushinda wengi kwenye hio list, Lautaro sijamuangalia sana hivyo ngumu kutoa judgement yangu. Kama tunasajili striker na Martial yupo tunahutaji mtu atakaetupa kitu tofauti na Martial ndio maana ETH alimtaka Arnautovic

Tunahitaji sana winga wa kulia mkuu, hasa kwa Mfumo wa ETH, lengo si tu Antony kufunga ama Kutoa assist, bali ni kukusanya kijiji na kutengeneza magepu ili wengine wayatumie. Kwa hizi mechi 2 nilizomuona pia sio mzigo, anakaba sana na anakaa pembeni kabisa ili iwe rahisi wengine kumuona. Dalot pia atapeform vizuri akipata mwenzake wa kukaba.

Hio €100 tumelipa tu, hana thamani hio.
 
Mnamuamini huyu kocha kwa mpira was kuvizia kaunta? Ana tofaut gan na Ole Gunnar,Jose Mourinho?
Ten Hag aliswitch kutumia Counter baada ya kuona timu yake ilikuwa haipati matokeo mazuri kwenye mfumo alioanza nao.


Lilikuwa ni jambo zuri sana kubadili mfumo ili apate matokeo kujenga confidence ya timu unaweza kuona pamoja na kutumia counter lakini pia ameanza kubadilisha taratibu.

Kingine kinachofanya atumie Counter ni Striker wake aliyetegemea kumtumia kuwa injured hivyo kulazimika kumtumia Rashford kama CS.
 
Martial? Ni mzuri kama False 9 kushinda wengi kwenye hio list, Lautaro sijamuangalia sana hivyo ngumu kutoa judgement yangu. Kama tunasajili striker na Martial yupo tunahutaji mtu atakaetupa kitu tofauti na Martial ndio maana ETH alimtaka Arnautovic

Tunahitaji sana winga wa kulia mkuu, hasa kwa Mfumo wa ETH, lengo si tu Antony kufunga ama Kutoa assist, bali ni kukusanya kijiji na kutengeneza magepu ili wengine wayatumie. Kwa hizi mechi 2 nilizomuona pia sio mzigo, anakaba sana na anakaa pembeni kabisa ili iwe rahisi wengine kumuona. Dalot pia atapeform vizuri akipata mwenzake wa kukaba.

Hio €100 tumelipa tu, hana thamani hio.
Chief-Mkwawa naheshimu sana mapenzi yako binafsi kwa Martial, natambua na kuheshimu ubora wa Martial akiwa fiti.


Tabu yangu ni kwamba Martial huu ni msimu wa tatu sasa anacheza robo tu ya mechi za ligi zingine zote anakuwa injured hili ni tatizo sana kwa timu kubwa kama Man United kuwa na striker ambaye muda mwingi anatumia kitandani na familia yake akiuguza majeraha.

Kwa msimu huu tulihiataji mno striker kuliko ilivyo kawaida Patrick Schick, Lautaro Martinez au Andrea Belloti.

Unasema tulihitaji winger wa kulia hivi Sancho tulimsajili kuja kucheza nafasi ipi ??
 
Ukweli mchungu, Sancho Ni another flop hapo man u kataa kubali ,

Sancho amekuwa Leo anacheza vzr kesho ovyo ,mech mbili ovyo mech 1 angalau

Mwingine mjiandae kumkaribisha kwenye kundi la flop Ni Anthony .

Mchezaji mzuri anajulikana tu, haihitaji ramli kumjua

Anthony Ni mchezaji wa jukwaa , visigino, udambwidambwi wa kibrazili , sio mchezaji wa kusaidia timu ,ndio maana katika Ligi ya wakulima anatoka na G/A 12,

Amezidiwa hata na kina Berwijin, Gapko, Ziyech , waliyotoka hiyo Ligi
Izi ndio akili zetu fans wa bongo hata ukienda kule majukwaa ya simba na yanga utazikuta zimejaa tele
 
Hata Sancho wengi walishaanza kumkataa, ila wote tunajua uwezo upo. Timu ikiwa vizuri, Kila mtu uwezo wake utaonekana. Tuachane na Antony, tuchukulie mfano wa Scott, amekuwa criticized sana, lakini timu ikielewana kidogo, wote tunasahau ubovu wake. Tumpe muda Antony, yule ni mtu na nusu
Ok bruh ngoja tuone kama atabadilika 👍
 
Glazzers washafanya mambo yao, net loss £115M
Mishahara minono itawapasua (Sancho, Varane na Ronaldo). Na ile fukuza-fukuza ya Ole na Rangnick ndiyo imechangia ku-spend zaidi ya mapato.

Dirisha hili tena wamemwaga pesa za kutosha ukiongeza na mishahara ya wachezaji wapya hesabu ijayo kuna net loss tena.
 
Chief-Mkwawa naheshimu sana mapenzi yako binafsi kwa Martial, natambua na kuheshimu ubora wa Martial akiwa fiti.


Tabu yangu ni kwamba Martial huu ni msimu wa tatu sasa anacheza robo tu ya mechi za ligi zingine zote anakuwa injured hili ni tatizo sana kwa timu kubwa kama Man United kuwa na striker ambaye muda mwingi anatumia kitandani na familia yake akiuguza majeraha.

Kwa msimu huu tulihiataji mno striker kuliko ilivyo kawaida Patrick Schick, Lautaro Martinez au Andrea Belloti.

Unasema tulihitaji winger wa kulia hivi Sancho tulimsajili kuja kucheza nafasi ipi ??
Kifupi mkuu Sancho ni inside forward na Antony ni winger. Kabla Antony hajaja Sancho kacheza chini ya ETH hapo kulia. Eth anataka mtu atakaye hold width.

Mfumo wa kisasa Mtu kama Sancho ndio anatumika sana ila ETH anatumia mfumo wa kizamani hasa huko kulia.

Sema mechi ni nyingi sana wote watacheza na kutumiwa Sancho atacover nafasi zote 2, bila Antony na Greenwood ina maana tungeanza msimu na Rashofrd na Sancho tu, akipata injury mmoja tu ni disaster.
 
Mishahara minono itawapasua (Sancho, Varane na Ronaldo). Na ile fukuza-fukuza ya Ole na Rangnick ndiyo imechangia ku-spend zaidi ya mapato.

Dirisha hili tena wamemwaga pesa za kutosha ukiongeza na mishahara ya wachezaji wapya hesabu ijayo kuna net loss tena.
Timu imepata faida (hata uki include mishahara) hasara imetokana na makando kando

Kuna 60m operation cost, 24M kulipa waliotimuliwa na 35M pocket money ya kina Glazzer.
 
Back
Top Bottom