Martial? Ni mzuri kama False 9 kushinda wengi kwenye hio list, Lautaro sijamuangalia sana hivyo ngumu kutoa judgement yangu. Kama tunasajili striker na Martial yupo tunahutaji mtu atakaetupa kitu tofauti na Martial ndio maana ETH alimtaka ArnautovicKwa mtazamo wangu mimi kama shabiki wa United timu hii ilihitaji sana mchezaji ambaye anaweza kucheza vizuri kama false 9 mwenye energy badala ya winger.
Kwangu mimi naona tungempata Lautaro Martinez, au Ivan Toney.
Kama striker wetu wangeweza kufanya hata nusu ya wanachokifanya Toney, Lautaro Martinez au Patrick Schick tungekuwa na kikosi tishio sana.
Timu yetu bado haichezi kwa flow nzuri hivyo ni ngumu sana kuficha makosa ya mchezaji mmoja mmoja hasa hao wanaobebwa na mfumo tu.First touch tu nikajua hapa hamna kitu na kama uliangalia ile mechi ya r sociedad ni kama ameanza kuwa frustrated
Aseno akitoboa mwezi wa 10 kileleni, apewe kombe.October Games
![]()
1 Oct
Arsenal vs Tottenham
2 Oct
Man City Vs Man U
08 Oct
Arsenal vs Liverpool
15 Oct
Liverpool vs Man City
18 Oct
Arsenal vs Man City
Man U vs Tottenham
Liverpool vs Westham
22 Oct
Chelsea vs Man U
Terrorism in October!!!
Benchi kuna Patrick Vieira na Joe BurtonThe most respectful and peaceful team everView attachment 2364688
Ten Hag aliswitch kutumia Counter baada ya kuona timu yake ilikuwa haipati matokeo mazuri kwenye mfumo alioanza nao.Mnamuamini huyu kocha kwa mpira was kuvizia kaunta? Ana tofaut gan na Ole Gunnar,Jose Mourinho?
Chief-Mkwawa naheshimu sana mapenzi yako binafsi kwa Martial, natambua na kuheshimu ubora wa Martial akiwa fiti.Martial? Ni mzuri kama False 9 kushinda wengi kwenye hio list, Lautaro sijamuangalia sana hivyo ngumu kutoa judgement yangu. Kama tunasajili striker na Martial yupo tunahutaji mtu atakaetupa kitu tofauti na Martial ndio maana ETH alimtaka Arnautovic
Tunahitaji sana winga wa kulia mkuu, hasa kwa Mfumo wa ETH, lengo si tu Antony kufunga ama Kutoa assist, bali ni kukusanya kijiji na kutengeneza magepu ili wengine wayatumie. Kwa hizi mechi 2 nilizomuona pia sio mzigo, anakaba sana na anakaa pembeni kabisa ili iwe rahisi wengine kumuona. Dalot pia atapeform vizuri akipata mwenzake wa kukaba.
Hio €100 tumelipa tu, hana thamani hio.
Izi ndio akili zetu fans wa bongo hata ukienda kule majukwaa ya simba na yanga utazikuta zimejaa teleUkweli mchungu, Sancho Ni another flop hapo man u kataa kubali ,
Sancho amekuwa Leo anacheza vzr kesho ovyo ,mech mbili ovyo mech 1 angalau
Mwingine mjiandae kumkaribisha kwenye kundi la flop Ni Anthony .
Mchezaji mzuri anajulikana tu, haihitaji ramli kumjua
Anthony Ni mchezaji wa jukwaa , visigino, udambwidambwi wa kibrazili , sio mchezaji wa kusaidia timu ,ndio maana katika Ligi ya wakulima anatoka na G/A 12,
Amezidiwa hata na kina Berwijin, Gapko, Ziyech , waliyotoka hiyo Ligi
Ok bruh ngoja tuone kama atabadilika 👍Hata Sancho wengi walishaanza kumkataa, ila wote tunajua uwezo upo. Timu ikiwa vizuri, Kila mtu uwezo wake utaonekana. Tuachane na Antony, tuchukulie mfano wa Scott, amekuwa criticized sana, lakini timu ikielewana kidogo, wote tunasahau ubovu wake. Tumpe muda Antony, yule ni mtu na nusu
Mishahara minono itawapasua (Sancho, Varane na Ronaldo). Na ile fukuza-fukuza ya Ole na Rangnick ndiyo imechangia ku-spend zaidi ya mapato.Glazzers washafanya mambo yao, net loss £115M
Kifupi mkuu Sancho ni inside forward na Antony ni winger. Kabla Antony hajaja Sancho kacheza chini ya ETH hapo kulia. Eth anataka mtu atakaye hold width.Chief-Mkwawa naheshimu sana mapenzi yako binafsi kwa Martial, natambua na kuheshimu ubora wa Martial akiwa fiti.
Tabu yangu ni kwamba Martial huu ni msimu wa tatu sasa anacheza robo tu ya mechi za ligi zingine zote anakuwa injured hili ni tatizo sana kwa timu kubwa kama Man United kuwa na striker ambaye muda mwingi anatumia kitandani na familia yake akiuguza majeraha.
Kwa msimu huu tulihiataji mno striker kuliko ilivyo kawaida Patrick Schick, Lautaro Martinez au Andrea Belloti.
Unasema tulihitaji winger wa kulia hivi Sancho tulimsajili kuja kucheza nafasi ipi ??
Dividend wamechukua aisee.Glazzers washafanya mambo yao, net loss £115M
Timu imepata faida (hata uki include mishahara) hasara imetokana na makando kandoMishahara minono itawapasua (Sancho, Varane na Ronaldo). Na ile fukuza-fukuza ya Ole na Rangnick ndiyo imechangia ku-spend zaidi ya mapato.
Dirisha hili tena wamemwaga pesa za kutosha ukiongeza na mishahara ya wachezaji wapya hesabu ijayo kuna net loss tena.