Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Watakupinga na kukuona mamluki, ila sisi wapenda football ,pale hakuna mchezaji ,muda utasema ,Mkuu nimeanza kuishabikia United tangu 1999. Kwa kipindi chote hicho naifahamu United nje ndani.
Nimeona successful transfers nyingi sana pale United na Failed transfers nyingi tu.
Kitu positive pekee kwenye kikosi chetu alichonacho Anthony ni pace pekee na vyenga kwenye ligi yetu wachezaji wa namna hiyo ni nadra sana kuwa na impact kwenye epl.
United na south American players imekuwa ni mbingu na ardhi wengi wanaishia kuwa failed transfers orodha ni ndefu sana wapo waliofanikiwa walau msimu mmoja lakini bado katika jicho la kawaida waliendelea kuonekana kama average performers kikosini.
Man United ilitumia 70€ kumnunua winga wa kulia Jadon Sancho imerudi tena sokoni kumnunua Anthony kwa 100€.
Itakuwa ni jambo la kushangaza kwangu kama Anthony atatupa tunachokitafuta.
Mashabiki wengi wa man u mara Mia muweke matumain kwa Elanga ,
daah! tungepigwa tena kama kwa Maguire.


