Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu nimeanza kuishabikia United tangu 1999. Kwa kipindi chote hicho naifahamu United nje ndani.

Nimeona successful transfers nyingi sana pale United na Failed transfers nyingi tu.

Kitu positive pekee kwenye kikosi chetu alichonacho Anthony ni pace pekee na vyenga kwenye ligi yetu wachezaji wa namna hiyo ni nadra sana kuwa na impact kwenye epl.

United na south American players imekuwa ni mbingu na ardhi wengi wanaishia kuwa failed transfers orodha ni ndefu sana wapo waliofanikiwa walau msimu mmoja lakini bado katika jicho la kawaida waliendelea kuonekana kama average performers kikosini.


Man United ilitumia 70€ kumnunua winga wa kulia Jadon Sancho imerudi tena sokoni kumnunua Anthony kwa 100€.

Itakuwa ni jambo la kushangaza kwangu kama Anthony atatupa tunachokitafuta.
Watakupinga na kukuona mamluki, ila sisi wapenda football ,pale hakuna mchezaji ,muda utasema ,

Mashabiki wengi wa man u mara Mia muweke matumain kwa Elanga ,
 
Watakupinga na kukuona mamluki, ila sisi wapenda football ,pale hakuna mchezaji ,muda utasema ,

Mashabiki wengi wa man u mara Mia muweke matumain kwa Elanga ,
Kwa mtazamo wangu mimi kama shabiki wa United timu hii ilihitaji sana mchezaji ambaye anaweza kucheza vizuri kama false 9 mwenye energy badala ya winger.

Kwangu mimi naona tungempata Lautaro Martinez, au Ivan Toney.

Kama striker wetu wangeweza kufanya hata nusu ya wanachokifanya Toney, Lautaro Martinez au Patrick Schick tungekuwa na kikosi tishio sana.
 
Jumapili tunakipiga ugenini na Man City, kama kawaida yetu tunaendeleza kipigo kwa hizi zinazojiita timu kubwa.
Alianza Liverpool akachezea, akaja Arsenyani tukamkanda, jumapili zamu ya city halafu tunasubiria kumshona Chelshit ili tufunge kazi kwenye mzunguko wa kwanza.
 
Mnaofuatilia Bundesliga huyu dogo Bellingham ana nini cha kumfanya awe na thamani ya €150m?

Maana naona media za Uingereza washaanza kutengeneza mazingira ya mtu kupigwa. Dortmund nao ndo michezo yao ukichanganya na hizo media wanaanza kutuhusisha sisi na other top clubs.

Nimejaribu kuangalia comps zake sioni cha zaidi kufanya aongelewe hivi.

Wote tunajua England ni wazee wa hype mpaka kwenye timu yao ya taifa. Rejea Bamford, Calvert-Lewin, Ings, Watkins sasa hivi wapo na Toney kuna mashabiki pia wanataka tumsajili, siwaamini kabisa wachezaji wa Kiingereza, nilitaka kumsahau Grealish daah! tungepigwa tena kama kwa Maguire.
 
Mkuu nimeanza kuishabikia United tangu 1999. Kwa kipindi chote hicho naifahamu United nje ndani.

Nimeona successful transfers nyingi sana pale United na Failed transfers nyingi tu.

Kitu positive pekee kwenye kikosi chetu alichonacho Anthony ni pace pekee na vyenga kwenye ligi yetu wachezaji wa namna hiyo ni nadra sana kuwa na impact kwenye epl.

United na south American players imekuwa ni mbingu na ardhi wengi wanaishia kuwa failed transfers orodha ni ndefu sana wapo waliofanikiwa walau msimu mmoja lakini bado katika jicho la kawaida waliendelea kuonekana kama average performers kikosini.


Man United ilitumia 70€ kumnunua winga wa kulia Jadon Sancho imerudi tena sokoni kumnunua Anthony kwa 100€.

Itakuwa ni jambo la kushangaza kwangu kama Anthony atatupa tunachokitafuta.
First touch tu nikajua hapa hamna kitu na kama uliangalia ile mechi ya r sociedad ni kama ameanza kuwa frustrated
 
First touch tu nikajua hapa hamna kitu na kama uliangalia ile mechi ya r sociedad ni kama ameanza kuwa frustrated
Hata Sancho wengi walishaanza kumkataa, ila wote tunajua uwezo upo. Timu ikiwa vizuri, Kila mtu uwezo wake utaonekana. Tuachane na Antony, tuchukulie mfano wa Scott, amekuwa criticized sana, lakini timu ikielewana kidogo, wote tunasahau ubovu wake. Tumpe muda Antony, yule ni mtu na nusu
 
Hata Sancho wengi walishaanza kumkataa, ila wote tunajua uwezo upo. Timu ikiwa vizuri, Kila mtu uwezo wake utaonekana. Tuachane na Antony, tuchukulie mfano wa Scott, amekuwa criticized sana, lakini timu ikielewana kidogo, wote tunasahau ubovu wake. Tumpe muda Antony, yule ni mtu na nusu
Sancho Bado maji kupwa maji kujaa
 
Eras come to an end.
FB_IMG_16631482068768971.jpg
 
Back
Top Bottom