Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,638
- 47,685
Hata Sancho wengi walishaanza kumkataa, ila wote tunajua uwezo upo. Timu ikiwa vizuri, Kila mtu uwezo wake utaonekana. Tuachane na Antony, tuchukulie mfano wa Scott, amekuwa criticized sana, lakini timu ikielewana kidogo, wote tunasahau ubovu wake. Tumpe muda Antony, yule ni mtu na nusuFirst touch tu nikajua hapa hamna kitu na kama uliangalia ile mechi ya r sociedad ni kama ameanza kuwa frustrated




