Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sina makengeza ila Anthony hatafikia hata kile alichotupatia Depay.
Daaaahhhhh broo una ugomvi wowote na huyu jamaa?
Mimi nakuhakikishia huyu dogo akitulia utakuja mwenyewe kuungama na kutubu dhambi ya kumsemea uongo Anthony.
Achana na zile kelele za kina Edo Kumwembe, hawa jamaa ni wapinzani wetu lazima watafute maneno ya kuwaponda wachezaji wetu.
 
Hiyo mechi ya United na Leeds huwa inahitaji askari wengi kutokana na vurugu za mashabiki wa hizo timu.

Hapo ni askari 900 walishindwa kuzuia vurugu za kwenye mechi ya Leeds vs United. Sasa hivi askari wengi wa Uingereza wapo London na wasingeweza kutuma askari wengi zaidi kwenye mechi huku kuna tukio kubwa la muhimu kitaifa.View attachment 2360279
Hapa nimekuelewa mkuu
 
When you realise there's no Manchester United games for 2 weeks.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20220917_231120_591.jpg
 
Ten hag, Dec 2021.
"Satisfaction is also a danger, as the moment you get satisfied, you get lazy," he said. "Laziness is a big threat, for me as a coach -- when I have that feeling, it'll come to my players and if my players get lazy, then we're killed."
 
Back
Top Bottom