D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Raha sanaETH atoe ELANGA na Rash hii game aweke Sancho+CR+Martial ninahasira sana na awa Arsenali walitukanda 3-1 kwel na ubovu wao wa msimu uliopita Aseno ni wakutukanda 3 sisi???.....Ngoja tuone
Mm De Gea na Fredy only.June 2023 wachezaji wafuatao watakuwa out of contract.
1.Rashford
2.Phil Jones
3.Fred
4.Ronaldo
5.Shaw
6.Diogo Dalot
7.Tom Heaton
8.De Gea
And to be honest mimi nitambakisha tu De Gea tena kuwa golikipa namba mbili na kwa mshahara wa chini..wengine wote ningefagilia mbali.
How about you?
Nakubaliana na ww kwenye hiliFred bado ana Kitu mguuni,,,, !!! Ni box to box mzuri,,, tatzo watu wanaomzunguka wanamuangusha anaonekana kiazi !!!!!
Muangalie akiwa timu ya Brazil utaona potential yake,,, ! Alafu Ni aina flani ya mchezaji ambaye anapambana mpk tone la mwisho,,,,
Hana record za majeruhi,,,,, sio mbaya akawa squad player !!
SawasawaNyumbu mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale
Tulishambandua goli nane hiyo bikira nakuja kuichanaManjestaa kesho mukishindwa kula uroda wa ma gaygooners fc aka arse8 aise nitawashusha vyeo. Nategemea kesho muwakate utepe wale watoto.
#CFC
Kesho tunaikata bikiraTunawakanda Tena ,hamna timu ya kucheza na Arsenal
Hivi Kuna mchezaji wa nyumbu anaingia kwenye kikos Cha Arsenal kwasasa?
Kesho tunawapigia samba
Na vile mnarukaruka pale Kati ,Xhaka lazima amsalimie degea
Una shobo kali sana dogo kwa timu kubwakubwa zinazoongoza ligi,Manjestaa kesho mukishindwa kula uroda wa ma gaygooners fc aka arse8 aise nitawashusha vyeo. Nategemea kesho muwakate utepe wale watoto.
#CFC