Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ETH atoe ELANGA na Rash hii game aweke Sancho+CR+Martial ninahasira sana na awa Arsenali walitukanda 3-1 kwel na ubovu wao wa msimu uliopita Aseno ni wakutukanda 3 sisi???.....Ngoja tuone
Raha sana
Leo mnapigwa misumsli minne heavy, kaa kwa kutulia tu teacher
 
Nilishasema, usiku wa deni haukawii nyie nyumbu.. mkae mkijua leo lazima niwale kichwa!
 
Mm De Gea na Fredy only.
 
Nakubaliana na ww kwenye hili
 
Tunawakanda Tena ,hamna timu ya kucheza na Arsenal
Hivi Kuna mchezaji wa nyumbu anaingia kwenye kikos Cha Arsenal kwasasa?

Kesho tunawapigia samba

Na vile mnarukaruka pale Kati ,Xhaka lazima amsalimie degea
Kesho tunaikata bikira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…