Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Skizeni nyie takataka ..mumeona usajili tulofanya? Nani ayiogopi Chelsea hahahaha nacheka uku naogopa ..maana tunaenda kumwaga damu EPL ..hahaha aise mutupe kombe letu tu Yani
Tushawapeni kombe la gahawa, kachukueni kwa mzee Jaah pale mwembe hanga.
 
ETH atoe ELANGA na Rash hii game aweke Sancho+CR+Martial ninahasira sana na awa Arsenali walitukanda 3-1 kwel na ubovu wao wa msimu uliopita Aseno ni wakutukanda 3 sisi???.....Ngoja tuone
Tunawakanda Tena ,hamna timu ya kucheza na Arsenal
Hivi Kuna mchezaji wa nyumbu anaingia kwenye kikos Cha Arsenal kwasasa?

Kesho tunawapigia samba

Na vile mnarukaruka pale Kati ,Xhaka lazima amsalimie degea
 
Huu ni mtihani mujarab kwa DOF na Coach.

Usishangae Phill Jones akaongezewa mkataba.
 
Hata mie degea naona anastahili kubaki pia na babu Ronaldo kwa mkataba wa mwaka mmoja mbele.
Hao wawili mishahara yao unaleta wachezaji wazuri hata watano.

Sometimes tujifunze kwa Real Madrid na Man City, wanabaki na majembe tu.

Wakiona utamu unakwisha wanakuonyesha mlango wa kutokea.

Sisi United tunawashikilia wachezaji ambao hawapati namba hata 'mid table' teams.
 
Siku wamiliki walipozuia kuuzwa kwa phill jones ndo nikajua tuna wamiliki wathenge sijawahi ona.
 
Tunahitaji 'casemiro' mwingine.

Tuna michuano mingi, sio siku akiumia tuanze kushika vichwa.
 
Arsenal kwa kifupi wame yakanyaga wanaingia kinyume nyume kwenye ghetto la OT, lazima arsenal awe wa mfano leo kujua tupo serious arsenal mje kabisa na jeneza.

Mmeya kanyaga wakina@Arone Ramsey leo lazima mdeki bahari leo lazima mpigwe dog style.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha



Prediction

Man united 3 vs Arsenal 0

12:30 jioni

Mpapaso leo ni lazima

#GGMU

 
Ally pipi

Hi picha imepigwa Leo saa 1 jion
 
Ten Hag kuhusu Lisandro Martinez: "Nilimtaka kwa ajili ya kuanzisha mpira lakini pia ubora wake wa kukaba, ugumu wake, uzuri wa kujiweka mahali sahihi, akili yake, na upambanaji wake. Anafanya vizuri ila anatakiwa kufanya vyema zaidi.

====≈===
Imetafsiriwa na ukurasa wa man utd swahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…