Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,637
Jimmie Vardy haamimi kama kavamia mtumbwi wa vimbwengo kwa mbeleMartinez ni mfupi sana, hafai kua beki wa kati maana mipira ya juu hawezi kuizuia.
Huyo Martinez mwenyewe sasaView attachment 2343032
Atapewa kandarasi mpya kwa dhumuni la kulinda thamani yake, kuhusu kiwango chake bado hakiridhishi japokuwa mechi ya liverpool aliamka vizuri.1.Rashford
Bodi inataka kumuondoa kwa heshima ndio maana haijishughulishi sana na kuondoka kwake.2.Phil Jones
Maamuzi yapo kwa malacia na alvaro fernandez aliyetolewa kwa mkopo.5.Shaw
Atapewa mkataba mpya lakini ataongezwa mlinzi mwengine wa kulia.6.Diogo Dalot
Hatopewa mkataba mpya7.Tom Heaton
NO COMMENT4.Ronaldo
Hivi wewe huyiogopi Chelsea wewe?Koulibaliy Anavyoshika watu
Namuona Rashford akiongezewa mkataba, kama akiondoka Heaton, Jones, Shaw, Bissaka, Tuanzebe na kuna uwezekano tukamuuza Williams tutabakiwa na homegrown players watano na katika sheria za FA lazima tuwe nao angalau 8.June 2023 wachezaji wafuatao watakuwa out of contract.
1.Rashford
2.Phil Jones
3.Fred
4.Ronaldo
5.Shaw
6.Diogo Dalot
7.Tom Heaton
8.De Gea
And to be honest mimi nitambakisha tu De Gea tena kuwa golikipa namba mbili na kwa mshahara wa chini..wengine wote ningefagilia mbali.
How about you?
Akiongezewa mkataba kwako itakuwa sawa tu sio??NO COMMENT
Nikimuangalia namkumbuka Patrice EvraMalacia yuko vizur anajua kumiliki mpira shaw yeye mbio tu
Yap dogo akijitahidi atafika mbali
Defence kuna umoja..hata mmoja akilala wengine wanacover fasta..Ndo spirit tunayotaka.So far kuna improvement kwenye defence ya United,partneship ya Martinez & Varane wamekuwa wanaelewana sana na wanajipanga vizuri na defence yote (back four) wamekuwa unit ,mmoja akifanya kosa wenzake wanawahi ku-clear .Only weakness kwenye defence ni Dalot na amekuwa ana-improve na wenzake wanamsaidia .Casemiro akishasettlle huenda katikati patatulia Erikson akisogea mbele tuweze ku-dictate midfield na ku-create more chance
Ikiwa atakubaliana na uamuzi wa mwalimu wa kumhukumu kwa mujibu wa kiwango chake na si umaarufu wake.Akiongezewa mkataba kwako itakuwa sawa tu sio??
Na mtamwaga dam kweli sio kwa vichapo mtavyo pokeaSkizeni nyie takataka ..mumeona usajili tulofanya? Nani ayiogopi Chelsea hahahaha nacheka uku naogopa ..maana tunaenda kumwaga damu EPL ..hahaha aise mutupe kombe letu tu Yani