The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Striker sio sifa bali ni nafasi ndani ya pitch, hata Mwamnyeto amaweza kupangwa hiyo nafasi japo hana sifa.4-4-2 haichezeshi striker? Man u huwa wanampanga rashfd kama mmaliziaji lakini kwa sifa za striker hana hata moja. Lakini akichezeshwa anaitwa striker.
