Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Striker sio sifa bali ni nafasi ndani ya pitch, hata Mwamnyeto amaweza kupangwa hiyo nafasi japo hana sifa.
Bro strikers wanasifa zao soma maelezo mpaka mwisho
Screenshot_20220829-090216.png
usually a striker must be tall and physically stronger than.... Muangalie haaland beki wanajigonga miguuni na kupepesukia mbali
 
Huwa hatuna watu kabisa wenye uwezo wa kutembea na mpira sana kwa uwezo wa juu..Anthony atasiadia kiasi kwenye hili
United nyie muda si mrefu mtaanza kumponda huyo jamaa.. hamna uvumilivu. Vipaji vingi vimeshindwa kuwika hapo united tangu alipoondoka Ferguson.
 
Nitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?
Samahani Mkuu.....akikujibu naomba unistue
 
Nitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?
Paul Pogba

Alivyotoka United Kwa mara ya Kwanza kwenda juventus
 
Back
Top Bottom