Ofcourse..as long as naona project ya United nje ya Ronaldo itawork out..Upo tayari mfungwe?
Allypipi hakika unaupiga mwingi sana, mpaka yule kubwa jinga anaejiita raisi wa AssaniWali ameamua kugelezea kale kamsemo kako.Siku nyingine tena ya furaha kila napopita hapa kitaa watu wana tabasamu tuok
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Southampton 1 Manchester united 2
8:30 mchana
GGMUView attachment 2336031
hii kauli ya muda sana mkuu labda kama wewe ndo umeanza kuisikia leo Twitter ndo inatumika mara nyingi.Mkuu naona kauli mbiu yako hii ishabebwa na Edo Kumwembe....Ndio wewe!? Au tumstue Kibatala!!??
hii kauli ya muda sana mkuu labda kama wewe ndo umeanza kuisikia leo Twitter ndo inatumika mara nyingi.Allypipi hakika unaupiga mwingi sana, mpaka yule kubwa jinga anaejiita raisi wa AssaniWali ameamua kugelezea kale kamsemo kako. View attachment 2336318
Ww ni genius sana mkuu Sema timu unayoshabikia mkuuhii kauli ya muda sana mkuu labda kama wewe ndo umeanza kuisikia leo Twitter ndo inatumika mara nyingi.




Fernandes amekuwa mtu wa papara sana..
Relax Bruno
Tulia ww. Yajayo yanafurahishaNacheka lkn naogopa![]()
Pale mbele anaejitahidi ni Sancho tu.Naona gap kusababishwa na mashabiki wa Kiingereza.
Beki yetu imetulia Rashford bana sio mchezaji kabisa.
Pengo lingine ni Hernandez simuoni akisaidia