Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona Ajax hawataki kumuachia dogo cheki interview ya dogo hii.


Swahili

π„π—π‚π‹π”π’πˆπ•π„: Mahojiano ya Antony Kipekee: mahojiano na nyota wa Brazil Antony kuhusu mustakabali wake, Man United na zaidi Je, mazungumzo ya uhamisho wako yanaendeleaje? Antony: "Tangu Februari mwaka huu, mawakala wangu walikuja Amsterdam kuwafahamisha Ajax kuhusu nia yangu ya kuondoka kwenye klabu ili kukabiliana na changamoto mpya na kwamba baadhi ya vilabu vinavyovutiwa vingewasili na pamoja nao, bila shaka ofa nzuri". Nini kilifanyika na Ajax? Antony: "Mnamo Juni mwaka huu, nilikatiza likizo yangu na nilikuja binafsi kuwajulisha wasimamizi wa Ajax, akiwemo kocha mpya, kuhusu nia yangu ya kuondoka na kwamba wanapaswa kuzingatia uwezekano huu, kwa sababu ulikuwa mradi wa misimu 2" . Antony, uliiambia nini klabu hivyo? Antony: "Wakati wa miezi ya dirisha, vikao viliendelea na pia nilipokea pendekezo kutoka kwa Ajax la kuongezewa mkataba. Niliweka wazi kwa mara nyingine tena: NATAKA KUONDOKA". Ni nini kimetokea leo, Ijumaa? Antony: "Leo, katika mkutano na klabu, nilionyesha nia yangu ya zamani ya kuondoka - wakati huu nikiwa na ofa kubwa mezani. Wengine walikuwa tayari wamefika! Ajax walikataa kwa hoja kwamba wana siku 5 tu kuchukua nafasi yangu". Kwa nini Ajax haitaki kukuacha uende? Antony: "Siombi Ajax waniachilie, naiomba Ajax waniuzie kwa dau la juu zaidi kuwahi kumnunua mchezaji wa Eredivisie. Nimekuwa nikisisitiza mada hii tangu Februari ili klabu iweze kuijenga upya timu. amani ya akili". Je, una maoni gani kuhusu klabu? Antony: "Nilifurahi sana Amsterdam, nilishinda mataji nikiwa Ajax, nilifanya urafiki na kujenga sehemu ya kazi yangu, lakini sasa NINAIMARISHA kwamba niko tayari na nimejaa motisha ya kufuata hadithi yangu na ndoto zangu". Nini msimamo wako kwa sasa? Antony: "Watu wanahitaji kunisikiliza na kuelewa kwamba motisha yangu inanisukuma kuelekea furaha. Ninahitaji hii ili kuendelea kufanya kwa kiwango cha juu. Ajax daima itakuwa moyoni mwangu!". Nini ujumbe wako kwa mashabiki wa Ajax? Antony: "Natumai mashabiki wa Ajax watanielewa... kwa sababu mustakabali wa mchezaji wa soka ni jambo lisilo na uhakika kabisa na fursa zinaweza kuwa za kipekee!" "Ujumbe wangu ni wa shukrani kwa Ajax, klabu na mashabiki". @antony00 #manunited #mufc #
Soon anakuja kuflop na atataman kurudi ajax ,maana united haijawahi kung'alisha mchezaji yeyote kwa kizazi hiki
 

Hawa Ajax hawataki kumuuza huyu Anthony au?
Man United kuna shida mahali,

Huyo Antony alikuwa ni first targeted,,

Kwann wasubiri hadi deadline?

Walipaswa kumalizana na Ajax muda mrefu..

Matokeo ya kuhusishwa na tetesi za kila mchazaji ndy hayo..
 
Ameandika simon peach

MUFC defender Eric Bailly has completed his loan move to Marseille.

The French club are paying his wages in full & obligated to buy him for €6m subject to appearances & Champions League qualification.

No loan fee
Duuuh ...Anord Schwarzenegger (Jones) Kabaki ...aseee
 
Siku nyingine tena ya furaha kila napopita hapa kitaa watu wana tabasamu tuok

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Southampton 1 Manchester united 2

8:30 mchana

GGMU
1661455432971.jpg
 
My lineup vs soton

Martial

Ericksen Bruno Sancho

Casemiro Fred

Malacia Martinez Varane dalot

De gea


Seems like partinership ya Casemiro na fred inaweza ku-work, fred ako na attributes za kukaba pia, team itakua more balanced, Ila hapa InAtegemea na approach ya mwalimu kulingana na aina ya mpinzani !!!!!!

#GGMU
 
Wadau, niwatakie kila mmoja wetu moyo wa uvumilivu na furaha huku leo tukienda kushuhudia stage iliyofikia timu yetu katika mchakato wa mabadiliko unaondelea.

My expectations kwa mwaka huu ni kuqualify Champtions league kwa kuingia top four au kushinda Europa league, na kuingia either Quarter or semi finals za FA na Carabao.

Anything below this, will be a further downward trend, and anything beyond will be a surprise.

Otherwise, I wish my Club all the best.

GO GO Man Utd.
 
My lineup vs soton

Martial

Ericksen Bruno Sancho

Casemiro Fred

Malacia Martinez Varane dalot

De gea


Seems like partinership ya Casemiro na fred inaweza ku-work, fred ako na attributes za kukaba pia, team itakua more balanced, Ila hapa InAtegemea na approach ya mwalimu kulingana na aina ya mpinzani !!!!!!

#GGMU
Martial anaumwa tena
 
My lineup vs soton

Martial

Ericksen Bruno Sancho

Casemiro Fred

Malacia Martinez Varane dalot

De gea


Seems like partinership ya Casemiro na fred inaweza ku-work, fred ako na attributes za kukaba pia, team itakua more balanced, Ila hapa InAtegemea na approach ya mwalimu kulingana na aina ya mpinzani !!!!!!

#GGMU
Martial hatokuwepo as per EtH..
 
Wadau, niwatakie kila mmoja wetu moyo wa uvumilivu na furaha huku leo tukienda kushuhudia stage iliyofikia timu yetu katika mchakato wa mabadiliko unaondelea.

My expectations kwa mwaka huu ni kuqualify Champtions league kwa kuingia top four au kushinda Europa league, na kuingia either Quarter or semi finals za FA na Carabao.

Anything below this, will be a further downward trend, and anything beyond will be a surprise.

Otherwise, I wish my Club all the best.

GO GO Man Utd.
Pamoja sana. Ila Man bado wachezaji kama watano hivi ili iweze kufikia kiwango. Kule mbele wingers wote bado mimi roho haijatulia. Sancho kwangu ni overrated. Rashford naye inategema ameamkaje. Martial siyo striker, siyo winger, sijui nimuweke wapi. Kwa kifupi tunahitaji wingers kama wawili, wale ambao wakiwa kwenye situation ya one vs one, au one vs two, wanaleta kizaazaa. Kama Saint-Maximin wa Newcastle alivyokuwa anawasumbua Man City mechi iliyopita.
 
Siku nyingine tena ya furaha kila napopita hapa kitaa watu wana tabasamu tuok

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Southampton 1 Manchester united 2

8:30 mchana

GGMUView attachment 2336031
Leo makarani wa sensa wamekuja home huku wanachekacheka, nikawakaribisha ndani na kuwapatia vinywaji walainishe koo ili zoezi lianze.
Badala ya kuanza kuniuliza maswali namuona karani yuko na furaha kinyama ikabidi nimuulize kulikoni?
Akanijibu kwani we kaka haujui kua leo mchana Manchester United ipo uwanjani?
Nikamjibu nafahamu hilo ila muda huo si mtakua mnaendelea na zoezi la kukusanya takwimu?
Akanijibu kua Tume kwa kutambua uzito wa Manchester United Vishikwambi vyote vinavyotumika kwenye zoezi zima la sensa vimeunganishwa vitakua vinaonyesha mechi live hivyo muda wa mpira ukifika wameambiwa wapumzike waangalie timu kubwa zaidi duniani inavyotoa burudani kwa ulimwengu mzima bila ya kubagua dini, kabila, rangi wala jinsia.
Hapo ndio nikaamini yale maneno ya allypipi

"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha"
 
Leo makarani wa sensa wamekuja home huku wanachekacheka, nikawakaribisha ndani na kuwapatia vinywaji walainishe koo ili zoezi lianze.
Badala ya kuanza kuniuliza maswali namuona karani yuko na furaha kinyama ikabidi nimuulize kulikoni?
Akanijibu kwani we kaka haujui kua leo mchana Manchester United ipo uwanjani?
Nikamjibu nafahamu hilo ila muda huo si mtakua mnaendelea na zoezi la kukusanya takwimu?
Akanijibu kua Tume kwa kutambua uzito wa Manchester United Vishikwambi vyote vinavyotumika kwenye zoezi zima la sensa vimeunganishwa vitakua vinaonyesha mechi live hivyo muda wa mpira ukifika wameambiwa wapumzike waangalie timu kubwa zaidi duniani inavyotoa burudani kwa ulimwengu mzima bila ya kubagua dini, kabila, rangi wala jinsia.
Hapo ndio nikaamini yale maneno ya allypipi

"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha"
Dahhh mashabiki wa nyumbu bana
 
Back
Top Bottom