Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

My lineup vs soton

Martial

Ericksen Bruno Sancho

Casemiro Fred

Malacia Martinez Varane dalot

De gea


Seems like partinership ya Casemiro na fred inaweza ku-work, fred ako na attributes za kukaba pia, team itakua more balanced, Ila hapa InAtegemea na approach ya mwalimu kulingana na aina ya mpinzani !!!!!!

#GGMU
 
Wadau, niwatakie kila mmoja wetu moyo wa uvumilivu na furaha huku leo tukienda kushuhudia stage iliyofikia timu yetu katika mchakato wa mabadiliko unaondelea.

My expectations kwa mwaka huu ni kuqualify Champtions league kwa kuingia top four au kushinda Europa league, na kuingia either Quarter or semi finals za FA na Carabao.

Anything below this, will be a further downward trend, and anything beyond will be a surprise.

Otherwise, I wish my Club all the best.

GO GO Man Utd.
 
My lineup vs soton

Martial

Ericksen Bruno Sancho

Casemiro Fred

Malacia Martinez Varane dalot

De gea


Seems like partinership ya Casemiro na fred inaweza ku-work, fred ako na attributes za kukaba pia, team itakua more balanced, Ila hapa InAtegemea na approach ya mwalimu kulingana na aina ya mpinzani !!!!!!

#GGMU
Martial anaumwa tena
 
My lineup vs soton

Martial

Ericksen Bruno Sancho

Casemiro Fred

Malacia Martinez Varane dalot

De gea


Seems like partinership ya Casemiro na fred inaweza ku-work, fred ako na attributes za kukaba pia, team itakua more balanced, Ila hapa InAtegemea na approach ya mwalimu kulingana na aina ya mpinzani !!!!!!

#GGMU
Martial hatokuwepo as per EtH..
 
Wadau, niwatakie kila mmoja wetu moyo wa uvumilivu na furaha huku leo tukienda kushuhudia stage iliyofikia timu yetu katika mchakato wa mabadiliko unaondelea.

My expectations kwa mwaka huu ni kuqualify Champtions league kwa kuingia top four au kushinda Europa league, na kuingia either Quarter or semi finals za FA na Carabao.

Anything below this, will be a further downward trend, and anything beyond will be a surprise.

Otherwise, I wish my Club all the best.

GO GO Man Utd.
Pamoja sana. Ila Man bado wachezaji kama watano hivi ili iweze kufikia kiwango. Kule mbele wingers wote bado mimi roho haijatulia. Sancho kwangu ni overrated. Rashford naye inategema ameamkaje. Martial siyo striker, siyo winger, sijui nimuweke wapi. Kwa kifupi tunahitaji wingers kama wawili, wale ambao wakiwa kwenye situation ya one vs one, au one vs two, wanaleta kizaazaa. Kama Saint-Maximin wa Newcastle alivyokuwa anawasumbua Man City mechi iliyopita.
 
Siku nyingine tena ya furaha kila napopita hapa kitaa watu wana tabasamu tuok

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Southampton 1 Manchester united 2

8:30 mchana

GGMUView attachment 2336031
Leo makarani wa sensa wamekuja home huku wanachekacheka, nikawakaribisha ndani na kuwapatia vinywaji walainishe koo ili zoezi lianze.
Badala ya kuanza kuniuliza maswali namuona karani yuko na furaha kinyama ikabidi nimuulize kulikoni?
Akanijibu kwani we kaka haujui kua leo mchana Manchester United ipo uwanjani?
Nikamjibu nafahamu hilo ila muda huo si mtakua mnaendelea na zoezi la kukusanya takwimu?
Akanijibu kua Tume kwa kutambua uzito wa Manchester United Vishikwambi vyote vinavyotumika kwenye zoezi zima la sensa vimeunganishwa vitakua vinaonyesha mechi live hivyo muda wa mpira ukifika wameambiwa wapumzike waangalie timu kubwa zaidi duniani inavyotoa burudani kwa ulimwengu mzima bila ya kubagua dini, kabila, rangi wala jinsia.
Hapo ndio nikaamini yale maneno ya allypipi

"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha"
 
Leo makarani wa sensa wamekuja home huku wanachekacheka, nikawakaribisha ndani na kuwapatia vinywaji walainishe koo ili zoezi lianze.
Badala ya kuanza kuniuliza maswali namuona karani yuko na furaha kinyama ikabidi nimuulize kulikoni?
Akanijibu kwani we kaka haujui kua leo mchana Manchester United ipo uwanjani?
Nikamjibu nafahamu hilo ila muda huo si mtakua mnaendelea na zoezi la kukusanya takwimu?
Akanijibu kua Tume kwa kutambua uzito wa Manchester United Vishikwambi vyote vinavyotumika kwenye zoezi zima la sensa vimeunganishwa vitakua vinaonyesha mechi live hivyo muda wa mpira ukifika wameambiwa wapumzike waangalie timu kubwa zaidi duniani inavyotoa burudani kwa ulimwengu mzima bila ya kubagua dini, kabila, rangi wala jinsia.
Hapo ndio nikaamini yale maneno ya allypipi

"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha"
Dahhh mashabiki wa nyumbu bana
 
Wadau, niwatakie kila mmoja wetu moyo wa uvumilivu na furaha huku leo tukienda kushuhudia stage iliyofikia timu yetu katika mchakato wa mabadiliko unaondelea.

My expectations kwa mwaka huu ni kuqualify Champtions league kwa kuingia top four au kushinda Europa league, na kuingia either Quarter or semi finals za FA na Carabao.

Anything below this, will be a further downward trend, and anything beyond will be a surprise.

Otherwise, I wish my Club all the best.

GO GO Man Utd.
Top four kwa timu ipi?

Endelea kuota
 
Back
Top Bottom