Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wadau, niwatakie kila mmoja wetu moyo wa uvumilivu na furaha huku leo tukienda kushuhudia stage iliyofikia timu yetu katika mchakato wa mabadiliko unaondelea.

My expectations kwa mwaka huu ni kuqualify Champtions league kwa kuingia top four au kushinda Europa league, na kuingia either Quarter or semi finals za FA na Carabao.

Anything below this, will be a further downward trend, and anything beyond will be a surprise.

Otherwise, I wish my Club all the best.

GO GO Man Utd.
Top four kwa timu ipi?

Endelea kuota
 
Kosi la ushindi
Screenshot_20220827-123524.jpg
 
Siku nyingine tena ya furaha kila napopita hapa kitaa watu wana tabasamu tuok

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Southampton 1 Manchester united 2

8:30 mchana

GGMUView attachment 2336031
Mkuu naona kauli mbiu yako hii ishabebwa na Edo Kumwembe....Ndio wewe!? Au tumstue Kibatala!!??
 
Back
Top Bottom