Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
United prepare bid for Romelu Lukaku.
Source : The Athletic
Source : The Athletic
Mbona nishascreenshot comment yako, jiandae kuitwa hivoMkibeba Uropa niite Ubwa niko poleeeee
Mtu yeyote alieangalia game vs liver anapata majibu
Man u ya fagasoni imerudi kabisa
Mwisho wa ligi mnakuja na kauli nyingine 😂Mtu yeyote alieangalia game vs liver anapata majibu
Man u ya fagasoni imerudi kabisa
De jong hana nafasi, abaki huko huko.Bado manchester haijawa sawa maana livakuku haiko fom na ina mapungufu sehemu ya katikati ambako keita au tiago wange fit in majeruh pia kuto kuwepo kwa konate au matip kuli week defensive isitoshe tume shinda lakin mechi kwa ujumla tumezidiwa kiasi kikubwa kasoro magori sisi tulicheza kwa kuvizia ndio maana tukapata nafasi zile lakin kwa timu ndogo hatuwezi kuvizia maana nao wanasubili watuvizie (poccession liva 71 man 29 shoot liva17 man 13 coner 8liva man 6 )lakin imeonyesha mwanga ila itakua shrong ikikamilisa antony,dejong, na right back
Mechi moya tuu hiyo...wacha tuone kama kutakkuwa na muendelezo.Mtu yeyote alieangalia game vs liver anapata majibu
Man u ya fagasoni imerudi kabisa
Huyu jamaa alikua shabiki mkuu wa Arsenyeto, baada ya kutendwa huko akajiapiza hatashabikia timu yoyote.Hiyu kunguni mbona anazurula tu kwenye majukwaa hataji timu yake?
De jong hana nafasi, abaki huko huko.
mamaye sijui kwa Nini Dean waliruhusu aondoke,au ndio alikuwa ANATAKA gameplay za kutosha!?De Gea abaki, kama atakubali awe namba 2 na kipa anayekuja msimu huu akubali msimu ujao awe namba 3. Henderson akifanya vizuri awe namba 1 au auzwe kocha anunue kipa atakayemhitaji.
HIKI kila shabiki wa man anahitaji kuona hivi lakini Nina wasi wasi huenda ikawa tofauti kwenye hyo starting line up...nitaamini jamaa anapangiwa kikosiJumamosi hii Casemiro ndani.
Jumamosi ijayo Anthony ndani.
De Gea
Dalot Vanare Martinez Malacia
Casemiro
Bruno Eriksen
Anthony Martial Sancho
niliona Kama kwa pound 6 milioni..Sina kumbukumbu nzuriMarseille waki-qualify UCL msimu ujao wanamnunua.




de jong yupi!?yule wa mbagala market au wa Barcelona!??De jong hana nafasi, abaki huko huko.


Needless to say, FDJ nimemwangalia akiwa na Barcelona aise jamaa ni moto sana.De jong hana nafasi, abaki huko huko.