Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,297
Luna sehu tumekuuliza kwamba tulicheza mpira? Mlete Arteta...mlete Arteta...mlete ArtetaHakuna mpira wowote mliocheza leo bali mlikamia mechi kilichowasaidia wachezaji wenu walijitoa mhanga coz ni big match ila hali yenu ya vipigo itarudi palepale
Hamna cha kujisifu mmecheza na Liverpool ambayo haijakamilika kuanzia beki kiungo mpaka mshambuliaji mmetumia energy kubwa sana sidhani kama mtaionesha mkicheza na midtable timu
Endelea kuotaHakuna mpira wowote mliocheza leo bali mlikamia mechi kilichowasaidia wachezaji wenu walijitoa mhanga coz ni big match ila hali yenu ya vipigo itarudi palepale
Hamna cha kujisifu mmecheza na Liverpool ambayo haijakamilika kuanzia beki kiungo mpaka mshambuliaji mmetumia energy kubwa sana sidhani kama mtaionesha mkicheza na midtable timu
Ukweli lazima usemwe timu yenu ya kawaida sana huyo Arteta hatakuacha salama kwa mpira anaocheza Arsenal now labda muendelee kucheza mpira wa nguvu nyingi kuliko akiliLuna sehu tumekuuliza kwamba tulicheza mpira? Mlete Arteta...mlete Arteta...mlete Arteta
Sasa mbona unaongea huku unalia!? Chukua kitambaa, futa machozi yako boss!Hakuna mpira wowote mliocheza leo bali mlikamia mechi kilichowasaidia wachezaji wenu walijitoa mhanga coz ni big match ila hali yenu ya vipigo itarudi palepale
Hamna cha kujisifu mmecheza na Liverpool ambayo haijakamilika kuanzia beki kiungo mpaka mshambuliaji mmetumia energy kubwa sana sidhani kama mtaionesha mkicheza na midtable timu
Nakunya mafungu mafungu posta had I mbagalaRaundi ya kwanza arsenal anashinda game 16 (ikiwamo ya utd) na sare tatu.
Hats off aisee kwa hawa vijana..Sensa njema wadau
View attachment 2331765
View attachment 2331766
Hivi vyuma leo vimeleta heshima ya UTD.
Nyumba ni choo.🤣 Huko kwenu hakuna vyoo mpaka uchafue jiji?Nakunya mafungu mafungu posta had I mbagala
Emu tulia 😂😂😂 watu tuone mbio za sakafuniNitag basi mpenzi
EPL haitabiriki babe!! kwamba tusubiri 5W ndo tufurahi?? subutuuuu...Emu tuliawatu tuone mbio za sakafuni
Unaijua nyumba weweKama kuna wa kubeti humu weka liverpool to score 3 goals weka nyumba kabisa kmmke..
Yaani, Gernacho pellistri, Garner, iqbal awajaribuAlikuwa anazingua Sana kuwatumia wachezaji walioflop akiamini yeye atawarudisha kwenye form
Hawa akina maguire, Ronaldo, shaw, macfred, rashford na Bruno ni kuwapiga bench then ingiza wachezaji wako mwenyewe then wakishakaa bench wataanza kurudi mmoja mmoja baada ya kujifunza. Create your own TEAM.
Hata yule donny nashangaa kwanini hamtumii wakati ni mchezaji anayemjua vizuri kabisa
Ndiyo mafanye Chap deal la magwayaMartinez the wall
Saturday gari itazimika hiiARV ndiyo umesusia uzi kabisa, rudi sasa gari limewaka mzee.