Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani, Gernacho pellistri, Garner, iqbal awajaribu

Ona arsenal odegaard baada ya kuaminiwa anachofanya
 
Kwa mara ya kwanza baada ya kipindi kirefu Jana nimeangalia mpira huku natabasamu !!!

[emoji2788]malacia akiendelea kuwa hivi sioni shaw akirudi kwenye xi siku za karibuni

[emoji2788]Licha"Martinez" what a baller, brilliant, anakaba kwa staha , hapanic

[emoji2788]Elanga mpuuzi tu, jezi ya utd ni nzito kwake,,,, !

[emoji2788]dalot, Ni yule Yule ,,Leo ataparfom, wiki ijayo anaharibu,,, we need proper RB

[emoji2788] Anthony akija, ule upande unaovuja ataziba ziba walau

[emoji2788] Casemiro, proper addition, ngoja tuone ETH atakavyomtumia,,, !

[emoji2788]Fred zile ndo dakika zake, timu tayari inaongoza anaingia kuongeza balance na kutibua mipango ,,,,

#GGMU, bado tuna safari ndefu Sana !!


Liverpool,,,

dah,,, salah Hana Yale makali+shabaha, mpaka first half hawakuwa na on target!

Kiungo Chao kinatia huruma !

Hata huyu vvd wanaemsifia sometimes Ni maji kupwa na kujaa !

Firmino, legend kwa Sasa jezi ya Liverpool hatakiwi kuivaa Tena !!!

Majogoo bado mzimu wa Super Sadio unawaandama ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…