D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
mna safari ndefu sanaGlazers ni moja ya matatizo ya United. Pesa yote unayoona inanunua wachezaji ni pesa inayotokana na mapato ya timu. On top of that Glazers waliinunua United baada ya kuchukua mkopo na deni lake wakalihamishia kwenye timu. Bado wakaona haitoshi wakaiweka Manchester United kwenye soko la hisa la NYSE, miezi michache nyuma walichukua gawio lao wakaweka mfukoni.
Budget inayowekwa kusajili wachezaji ni pesa timu inayotengeneza na siyo uwekezaji wa Glazers hata senti 5. Wao ndiyo wameweka structure za kusajili wachezaji wenye majina au ushawishi mkubwa ili timu ipate mapato zaidi bila kujali timu inafanya nini uwanjani.
Glazers ni tatizo kubwa sana kwa United walinunua timu ikiwa haina deni hata la sh 1. Sasa hivi wameibebesha mzigo wa madeni na bado wanachukua pesa kutoka kwenye timu, bado pia hawataki kununua wachezaji kwa wakati wanapohitajika pamoja na pesa yote timu inayotengeneza timu ni kwasababu mapato mengi wanachukua wao.
Wanavyoiendesha timu hao Glazers tajiri yoyote anaweza kufanya, Manchester United inajiendesha lakini inahitaji mtu mwenye mapenzi na timu, biashara ni sehemu ya football lakini wanachofanya Glazers ni kuitumia United kwa faida zao binafsi.
Maneno ya Mourinho, van Gaal na Rangnick yataishi milele.
Taratibu anatafutwa wa kubeba makosa.Asiondoke Ronaldo pekee. Kuna wachezaji wanatakiwa kumfuata nyuma yake.View attachment 2324951
Man cute ya nini sadaTaratibu anatafutwa wa kubeba makosa.
Ronaldo ndiyo anasababisha mabeki wawe hovyo? Ambao ni hovyo hata kabla hajaja. Ndiyo anasababisha Sancho na Rashford wasiperform?
Ni kweli siyo sawa kulazimisha mchezaji abaki lakini mashabiki wa hii timu ndiyo maana wanaitwa nyumbu. Juzi wanafungwa wanalaumu hawana DM, zinakuja hizi tetesi wanasahau DM wanaona wanafungwa kisa Ronaldo.
Balotelli alikua anacheza City huku hataki. Lakini kaangalie kama City ilikua inafanya hovyo.
KirusiTaratibu anatafutwa wa kubeba makosa.
Ronaldo ndiyo anasababisha mabeki wawe hovyo? Ambao ni hovyo hata kabla hajaja. Ndiyo anasababisha Sancho na Rashford wasiperform?
Ni kweli siyo sawa kulazimisha mchezaji abaki lakini mashabiki wa hii timu ndiyo maana wanaitwa nyumbu. Juzi wanafungwa wanalaumu hawana DM, zinakuja hizi tetesi wanasahau DM wanaona wanafungwa kisa Ronaldo.
Balotelli alikua anacheza City huku hataki. Lakini kaangalie kama City ilikua inafanya hovyo.
Wachukue tu. tena na chenchi. Sis hatuna haja na hiyo biashara, tunataka tuhame huko. Upande wa biashara grazer ndiye mnufaika. Wakaumane huko.Imefahamika kuwa wachezaji wa Man U wako kwenye mgomo baridi wakishinikiza uongozi umruhusu Cristiano Ronaldo aondoke. Kufuatia huo ukweli sasa uongozi wa Man U pamoja na kocha Errick Ten Hag kwa pamoaj wamekubali kuukatiza mkataba wa Ronaldo ili aondoke mchezaji huru
Chelsea inaaminika kuwa watashawishika kumsajili mchezaji huyo aliyejizolea sifa nyingi kwa kuingia kwenye orodha ya wachezaji maarfu duniani kwa nyakati zote yaani GOAT.
Pamoja na kuwa kocha wa Chelsea hamtaki mshambuliaji huyo mkongwe ila wamiliki wapya wa timu wakiongozwa na Todd Boehly ambaye ndio msimamizi mkuu wa timu wanataka kumsajili Ronaldo sio tu kwa sababu za kusaidia safu ya ushambuliaji wa Chelsea ambayo kwa sasa ni butu, ila pia kwa sababu za kibiashara
Kama unamcheza mwanao vile.Zile 4-0 mlizompiga Liverpool pre-season zinaenda kuwatokea puani wiki ijayo..
Si mliongea sana, tena mbele ya Klopp!