Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mufc’s initial plan was to pay around £35,000 a week in wages for a new goalkeeper, but the salary cap is now higher to bring in a profile that suits Erik ten Hag’s needs.
 
Raph ni kweli alikua anaongea kuhusu jinsi gani timu inapaswa kubadilishwa.

Lakini kuongea vile public somehow kumewavunja sana moyo wachezaji,including Bruno na types za kina Luke Shaw ambao vipaji vimesizi ghafla.

Kazi tunayo,
 
Lou Macari when asked about Rabiot on MUTV:
“I'd never really heard of him. Clubs spend millions of pounds scouting players across Europe, but nobody else has made a move for this fella. Why do you think this is? I have got a bad feeling about the guy.”
 
Raph ni kweli alikua anaongea kuhusu jinsi gani timu inapaswa kubadilishwa.

Lakini kuongea vile public somehow kumewavunja sana moyo wachezaji,including Bruno na types za kina Luke Shaw ambao vipaji vimesizi ghafla.

Kazi tunayo,
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
 
Ten Hag: "Tumejifunza mengi [baada ya kupoteza] lakini nadhani ni kawaida ukiwa unaanza msimu, unafanya makosa. Mpita ni mchezo wa makosa. Tunatambua tunatakiwa kujiboresha kwenye maeneo mengi hilo lipo wazi." #MUFC
 
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Na hili ndo jibu la kwanini Fernandes amepotea..

Mipira ya haraka haraka anaiweza..hii mifumo mingine ya kuweka mpira chini tutasubiri sana kuona chochote cha maana kutoka kwake
 
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Umemtathimini vizuri sana aise.
 
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Umesema sahihi brother chukua tano
 
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Penalty zilikuwa nyingi huyo bruno mnaemuongelea na msimu mzur wa sosha n penalt alikuwa anazipiga ndio zilimpa stat kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekacheka yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Brentford 1 Manchester united 3

Time:1:30
1660053927214.jpg
 
Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekacheka yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Brentford 1 Manchester united 3

Time:1:30View attachment 2322609
Nacheka lkn naogopa
 
Back
Top Bottom