D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
mufc’s initial plan was to pay around £35,000 a week in wages for a new goalkeeper, but the salary cap is now higher to bring in a profile that suits Erik ten Hag’s needs.
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.Raph ni kweli alikua anaongea kuhusu jinsi gani timu inapaswa kubadilishwa.
Lakini kuongea vile public somehow kumewavunja sana moyo wachezaji,including Bruno na types za kina Luke Shaw ambao vipaji vimesizi ghafla.
Kazi tunayo,
Yani mimi sioni kabisa rabiot kama hatatufaa kabisa yani kama jamaa kalegea hivi.Sema mimi Rabiot naona atatufaa, ni Design ya wachezaji kama Fletcher, sio key player wala sio mbovu, anakimbia na kujituma sana, anapiga pasi, anakaba, ananguvu etc.
Busquet kalegea ila shuguli yake unaijua nadhaniYani mimi sioni kabisa rabiot kama hatatufaa kabisa yani kama jamaa kalegea hivi.
Na hili ndo jibu la kwanini Fernandes amepotea..Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.
Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili
Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Umemtathimini vizuri sana aise.Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.
Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili
Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Rabiot hajalegea, labda Appearence yake. Ukitaka Kumuona peak Rabiot angalia Highlight za PSG 4 barcelona 0 alivyowanulify Messi na Suarez.Yani mimi sioni kabisa rabiot kama hatatufaa kabisa yani kama jamaa kalegea hivi.
Umesema sahihi brother chukua tanoBruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.
Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili
Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Man Utd third kitView attachment 2321732



bora huyu alieregea kuliko lile choko la scotlandYani mimi sioni kabisa rabiot kama hatatufaa kabisa yani kama jamaa kalegea hivi.
Penalty zilikuwa nyingi huyo bruno mnaemuongelea na msimu mzur wa sosha n penalt alikuwa anazipiga ndio zilimpa stat kubwaBruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.
Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili
Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.


Nacheka lkn naogopaAise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekachekayani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Brentford 1 Manchester united 3
Time:1:30View attachment 2322609



Mkishinda niite mbwaAise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekachekayani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Brentford 1 Manchester united 3
Time:1:30View attachment 2322609