Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rabiot has been on United’s list all summer and gained Ten Hag’s full support after being proposed by United’s recruitment team.
Maneno ya Laurie whittwell
---------------------
  1. vitinha - euro million 35 amekwenda PSG
  2. bissouma - paundi million 25 amekwenda totteham
  3. paredes - paundi million 15 anakwenda juventus
  4. Konard laimer - paundi million 25 anagombaniwa na Bayern kutoka leipzig
  5. Ibrahim sangare - euro million 30 yupo psv
  6. Douglas Luis - paundi million 15 hadi 35 yupo Aston villa
  7. Ongeza na wa kwako wewe msomaji

Sajili za ten hag inaonekana zimemalizika baada ya kukawama dili la de jong, kifuatacho sasa ni sajili za timu ya wasaka wachezaji. Timu hii ndio iliomchagua wan bissaka katika mabeki 804 waliokuwepo ndani ya database yao.
Sema mimi Rabiot naona atatufaa, ni Design ya wachezaji kama Fletcher, sio key player wala sio mbovu, anakimbia na kujituma sana, anapiga pasi, anakaba, ananguvu etc.
 
Mkuu wewe unafikiria ki laymen sio mfanyabiashara.

Kwenye Biashara Asset zinatumika kuchukulia mikopo, Kwako wewe laymen unaona kumpa Mchezaji mshahara mkubwa wamejitahidi, Alichofikiria Woodward na Glazzer kumpa mshahara mkubwa Mchezaji kunamuongezea thamani, Thamani ya Mchezaji inapoongezeka na thamani ya Timu inaongezeka, thamani ya timu ikiwa kubwa Asset nayo inakuwa Kubwa, Asset ikiwa kubwa wanaweza wakachukua mikopo kadri wanavyotaka.

Nikukumbushe tu Mkuu 2004 wakati Glazzer wanafanya michakato ya Kununua hisa za Timu Man united ilikuwa haidaiwi hata Sh 10,

Ila Toka Glazzer aje tunadaiwa kama 500M pounds madeni na zaidi ya 1B pound imetoka kulipa riba ya Deni, bila kusahau Dividends, hivyo tunaongelea Around 2B zimetolewa Kwenye Club kuingia kwenye mifuko ya Hao parasite.
Jamaa wafanya wa fundraise 5B nadhani Kwa lengo la kulipa deni nk.

Lkn iki involve grazer off quite
 
Erik ten Hag would like a goalkeeper that can genuinely challenge David de Gea and, if one becomes available, the sanctioned funds of £7m could go higher.
[lauriewhitwell]

----------------
Tuwe wavumilivu mpaka msimu ujao, sidhani kama Onana ataweza kumweka benchi Handanovic huko Inter Milan.

Hivyo msimu ujao tunaweza kumshawishi Kwa urahisi zaidi.
 
Erik ten Hag confirms Anthony Martial and Victor Lindelöf will be out for #mufc's game against Brentford. The squad situation is "still the same"
 
mufc’s initial plan was to pay around £35,000 a week in wages for a new goalkeeper, but the salary cap is now higher to bring in a profile that suits Erik ten Hag’s needs.
 
Raph ni kweli alikua anaongea kuhusu jinsi gani timu inapaswa kubadilishwa.

Lakini kuongea vile public somehow kumewavunja sana moyo wachezaji,including Bruno na types za kina Luke Shaw ambao vipaji vimesizi ghafla.

Kazi tunayo,
 
Lou Macari when asked about Rabiot on MUTV:
“I'd never really heard of him. Clubs spend millions of pounds scouting players across Europe, but nobody else has made a move for this fella. Why do you think this is? I have got a bad feeling about the guy.”
 
Raph ni kweli alikua anaongea kuhusu jinsi gani timu inapaswa kubadilishwa.

Lakini kuongea vile public somehow kumewavunja sana moyo wachezaji,including Bruno na types za kina Luke Shaw ambao vipaji vimesizi ghafla.

Kazi tunayo,
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
 
Ten Hag: "Tumejifunza mengi [baada ya kupoteza] lakini nadhani ni kawaida ukiwa unaanza msimu, unafanya makosa. Mpita ni mchezo wa makosa. Tunatambua tunatakiwa kujiboresha kwenye maeneo mengi hilo lipo wazi." #MUFC
 
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Na hili ndo jibu la kwanini Fernandes amepotea..

Mipira ya haraka haraka anaiweza..hii mifumo mingine ya kuweka mpira chini tutasubiri sana kuona chochote cha maana kutoka kwake
 
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Umemtathimini vizuri sana aise.
 
Bruno alibebwa zaidi na mpira wa counter attack chini ya Ole, mpira wa structure kama huu wan ten hag utamtesa asipobadilika kwa sababu si ball retention, hawezi au hapendi kukaa na mpira, haamini katika utulivu, huamini zaidi katika kufanya maamuzi ya haraka bila ya kuangalia structure ya timu yetu na timu pinzani.

Unajua report ya scouting ilisemaje kuhusiana na bruno kabla klabu haijamsajili

Kwa ufupi repoti Ile ilisema ni mchezaji anayepoteza mipira ovyo ndio maana klabu ikasita kumsajili mwezi August ila ikamrejea tena mwezi January.
Umesema sahihi brother chukua tano
 
Back
Top Bottom