Mkuu wewe unafikiria ki laymen sio mfanyabiashara.
Kwenye Biashara Asset zinatumika kuchukulia mikopo, Kwako wewe laymen unaona kumpa Mchezaji mshahara mkubwa wamejitahidi, Alichofikiria Woodward na Glazzer kumpa mshahara mkubwa Mchezaji kunamuongezea thamani, Thamani ya Mchezaji inapoongezeka na thamani ya Timu inaongezeka, thamani ya timu ikiwa kubwa Asset nayo inakuwa Kubwa, Asset ikiwa kubwa wanaweza wakachukua mikopo kadri wanavyotaka.
Nikukumbushe tu Mkuu 2004 wakati Glazzer wanafanya michakato ya Kununua hisa za Timu Man united ilikuwa haidaiwi hata Sh 10,
Ila Toka Glazzer aje tunadaiwa kama 500M pounds madeni na zaidi ya 1B pound imetoka kulipa riba ya Deni, bila kusahau Dividends, hivyo tunaongelea Around 2B zimetolewa Kwenye Club kuingia kwenye mifuko ya Hao parasite.