Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_20220811_193132.jpg
 
Tukupe ukocha mkuu maana unaona kama kazi rahisi.
kulikuwa na haja ya kuongea utumbo ? haya Ni maoni as a fun! huo utumbo wako unaongea hapa mara umeoteshwa , sijui dunia ina furaha kuna mtu alishawahi kukupinga??,,,mda mwingine ukiona huna Cha ku-comment u better leave, unajikuta Nani kwenye hili jukwaa? Au kwa vile huoni comment zetu Mara kwa Mara ?!!! just respect man !!
 
kulikuwa na haja ya kuongea utumbo ? haya Ni maoni as a fun! huo utumbo wako unaongea hapa mara umeoteshwa , sijui dunia ina furaha kuna mtu alishawahi kukupinga??,,,mda mwingine ukiona huna Cha ku-comment u better leave, unajikuta Nani kwenye hili jukwaa? Au kwa vile huoni comment zetu Mara kwa Mara ?!!! just respect man !!
Swala la martinez kucheza DM wakati wame msajili kucheza beki mkuu uoni hapo umezingua.

Uyo ni beki.
 
Erik ten Hag would like a goalkeeper that can genuinely challenge David de Gea and, if one becomes available, the sanctioned funds of £7m could go higher.
[lauriewhitwell]

----------------
Tuwe wavumilivu mpaka msimu ujao, sidhani kama Onana ataweza kumweka benchi Handanovic huko Inter Milan.

Hivyo msimu ujao tunaweza kumshawishi Kwa urahisi zaidi.
Kama kuna kosa EtH anaweza kulifanya ni hili la kumbakisha David Degea. Ukimuangalia vizuri David kwa jicho la kiufundi utagundua ana mapungufu mengi sana except shot stopping. (350k/weekly - 1/3 ya huu mshahara tunaweza kumpata mbadala wake bila shida)

Pia kukazia EtH asifanye makosa mwakani wachezaji 10 (Degea, Heaton, Rashford, Shaw, Ronaldo, Fred, Chong, Tuanzebe, Dalot, Jones) wanaomaliza mikataba yao wanapaswa kuondoka regardless ya perfomance watayoweka msimu huu akifanya kosa la kumpa hata mmoja tu mkataba mpya atajutia sana maamuzi yake.
 
Back
Top Bottom