Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man u oyeee ,wachezaji wote wa man u ni byuti byuti
 
Nani alaumiwe ?
 
Huyu kocha nae kiazi tu, Maguire + Shaw + + Tomnay sio wa kuanza.

NB: Utd watafute kipa, kiungo mkabaji na namba 9, tofaut na hivyo top 4 ni ndoto.
Nyie nafasi yenu ni kuanzia tano huko...top four sahauni kabisa aisee
 
Nashindwa kuvivaa viatu vyenu

Binafsi sita wakejeli wala kuwakashifu, mnahitaji zaidi faraja.
Ni bora mje kule the gunner kututukana coz unajulikana ni utani tu

Tuwe waungwana kwa washabiki wa vilabu vyote MANCHESTER UNITED anahitaji faraja na ukarimu katika kipindi hiki kigumu.
 
Hiyo game ya Liverpool wanaenda kupanuliwa mpaka makalio yatachanika
 
Pre season ilikuwaje ..mbona mulikuwa munashinda.
Munaliwa kimasikhara Yani kiboya boya tu munapakuliwa🤣🤣🤣🤣

Manjestaa Ni Mandonga aliyechangamka ..mikwara mingi prisezon alafu kwenye ligi kirahissi munaliwa za uso madogo🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…