ETH haondoki kirahisi hivyo.
Matatizo ya United yapo kwenye management.
Kama unashindwa kuuza wachezaji unategemea kocha afanye nini.?
RR alisema tunahitaji kufanya open heart surgery kwenye usajili.
Leo tunaanza msimu hatujagusa maeneo muhimu. Miezi mitatu tunahusishwa na mchezaji mmoja tu.