Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ETH muda wake unaisha kwa speed kali mno, huenda Christmas akawa ameshatimuliwa. Makosa ya ETH kutobadilisha kikosi. Hao vijana walishashindwa toka msimu uliopita. Inasikitisha sana.
ETH haondoki kirahisi hivyo.

Matatizo ya United yapo kwenye management.

Kama unashindwa kuuza wachezaji unategemea kocha afanye nini.?

RR alisema tunahitaji kufanya open heart surgery kwenye usajili.

Leo tunaanza msimu hatujagusa maeneo muhimu. Miezi mitatu tunahusishwa na mchezaji mmoja tu.
 
Manchester United haina mpango wa kupigania ubingwa kwa misimu ya hivi karibuni. Mashabiki muhamie timu nyingine kwa muda kama walivyokuwa mashabiki wa Asernal.
 
Huyu kocha nae kiazi tu, Maguire + Shaw + + Tomnay sio wa kuanza.

NB: Utd watafute kipa, kiungo mkabaji na namba 9, tofaut na hivyo top 4 ni ndoto.
Msimu uliopita tulikuwa na tatizo la DM sasa hivi limeongezeka la fullbacks na left wing
 
Ondoeni management
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…