Muda Bado Aondoke. Namlaumu Sana Ferguson. Ndiyo mujaribufu mkubwa
Tumehamia Kwa ferguson. Anatulazimisha tubaki na Ronaldo Ili iwejeYaan mashabiki w nyumbu ni wa hovyo sana, leo hii mnatafuta w kumbebesha lawama, ronald ndio mmeamua awe mbuz w kafara.
Iwapo Ronaldo anataka kuondoka, halafu club ya man u imemzuia, nyinyi mnaodai kulazimishwa kubaki nae , Ni kina Nani??Tumehamia Kwa ferguson. Anatulazimisha tubaki na Ronaldo Ili iweje
Kwa sasa ni #tunatengeneza mfumo kwanza hayo mengine baadae jamani#Bado hajafukuzwa tu
Mkuu tunaanza lini kutumia hii hashtag
Wale wapuuzi sasa hivi hawapo
Uwe unapitia mzee
Wamebaki watukutu wachache sana
Kama Flano amekua mstaarabu na heshima juu kule jukwaani
Dalot na AWB hamna mwenye nafuu..Alex Telles anaondoka pia, left back tunabaki na Shaw na Malacia.. Deal ya Laird kwenda Watford sijailewa kabisa, Dalot na AWB sioni mwenye afadhali basi tu
Naungana na wewe Mkuu, aliyeiharibu timu ni Ferguson wakifuatiwa na Glazers.Muda Bado Aondoke. Namlaumu Sana Ferguson. Ndiyo mujaribufu mkubwa
Klabu gani imeleta ofa akazuiliwa kuondoka?Iwapo Ronaldo anataka kuondoka, halafu club ya man u imemzuia, nyinyi mnaodai kulazimishwa kubaki nae , Ni kina Nani??
Hi timu pia itagharimu Sana morale ya Ronaldo.Hadi tunaitwa wapumbavu asee.
Huyo jamaa atagharimu morale ya timu ikiwa hizi taarifa zinaenea alafu wachezaji wanaziona, ukute mchezaji kajituma alafu unakuta anayechukua pesa ndefu analeta ujinga na ukosefu wa heshima na hafanywi kitu.
Siku hizi ukute Ronaldo anataka afunge bila kujali hali ya timu ili kutuprove wrong, kwa hiyo sisi tunalalamika hafungi au tunalalamika anapoteza timu kuweza kuchukua Ushindi with consistency. Sio kila yeye afunge, tunapoteza muda mwingi kumpa mipira afunge wakati tukitanguliwa goli ndio imeisha hivyo.
Jamaa asepe tulete watu wa kazi kila mchezaji ajisikie kuitumikia kuleta ushindi, sio kila mchezaji akijaribu kufunga akose mara utasikia Angempasia Ronaldo, Madogo wana Dharau hawamheshimu Ronaldo, sasa kwa lawama hizo tutakua na timu inayojituma kweli?
Yaani hata Confidence ya Bruno kwenye penalty ishaisha, now akikosa utasikia Angempa Ronaldo what the f*ck?
Kama vipi Ronaldo aje kusaidiana na Maguire kwenye Ulinzi.
Maana kila kitu yeye.
Matatizo ni mengi ila tunaweza amsha moto kukiwa na morale ya kueleweka.
Morale ikifa kila mchezaji ni takataka.
Narudia swali langu,Klabu gani imeleta ofa akazuiliwa kuondoka?
Waulize waoNarudia swali langu,
Ninyi Ni kina Nani?
Sawa mkuu😅😅Kwa sasa ni #tunatengeneza mfumo kwanza hayo mengine baadae jamani
Kwani ni sisi tunamng'ang'ania au ni wamiliki mafala?Hi timu pia itagharimu Sana morale ya Ronaldo.
Mwenzenu kashasema anataka kuondoka, ninyi mmemng'ang'ania, Sasa lawama za Nini?
Mwacheni aondoke!
Hata demu asiyekutaka, ukimng'ang'ania, tegemea performance mbovu na vituko vya kila aina.
Usijichanganye!Kwani ni sisi tunamng'ang'ania au ni wamiliki mafala?
Hata yeye akiondoka anaondoka hakuna wa kumzuia kwani haoni anajidhalilisha
Tuombe uhai tu mjombami hua napenda tu kuwazingua halafu mnajaa upepo.
Ila msimu huu mko vizuri kinoma mpaka tunawaonea wivu.
Ila Arsenal ni Arsenal tu hata ikipewa kikosi kizima cha Manchester City bado itashindwa kuchukua kombe lolote la maana.
Acha matusi ya kisenge kaka....kama humpendi ni ww na hauna fact yyte....unajikuta kocha wakati mlala njaa tuEti,The king will play on Sunday..ushuzi mtupu.
Ronaldo anataka kuondoka msimu huu.
wow! wow! AT LASTAnatuangusha sn watu tulio nyuma yake tukimpigania kwa hali zote, anatunyima maneno ya kuongea mbele ya wabaya wake. Ni mpumbavu.