Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wale wapuuzi sasa hivi hawapo
Uwe unapitia mzee

Wamebaki watukutu wachache sana

Kama Flano amekua mstaarabu na heshima juu kule jukwaani
mi hua napenda tu kuwazingua halafu mnajaa upepo.
Ila msimu huu mko vizuri kinoma mpaka tunawaonea wivu.
Ila Arsenal ni Arsenal tu hata ikipewa kikosi kizima cha Manchester City bado itashindwa kuchukua kombe lolote la maana.
 
Alex Telles anaondoka pia, left back tunabaki na Shaw na Malacia.. Deal ya Laird kwenda Watford sijailewa kabisa, Dalot na AWB sioni mwenye afadhali basi tu
Dalot na AWB hamna mwenye nafuu..

Ila yule AWB wa msimu wa kwanza atleast alikuwa kisiki..one on one hizi alikuwa haachwi kibwege na blocks alikuwa anazifanya sana.. sijui amepatwa na nini.

Tunahitaji some improvements on RB..
 
Hi timu pia itagharimu Sana morale ya Ronaldo.
Mwenzenu kashasema anataka kuondoka, ninyi mmemng'ang'ania, Sasa lawama za Nini?
Mwacheni aondoke!
Hata demu asiyekutaka, ukimng'ang'ania, tegemea performance mbovu na vituko vya kila aina.
 
Hi timu pia itagharimu Sana morale ya Ronaldo.
Mwenzenu kashasema anataka kuondoka, ninyi mmemng'ang'ania, Sasa lawama za Nini?
Mwacheni aondoke!
Hata demu asiyekutaka, ukimng'ang'ania, tegemea performance mbovu na vituko vya kila aina.
Kwani ni sisi tunamng'ang'ania au ni wamiliki mafala?

Hata yeye akiondoka anaondoka hakuna wa kumzuia kwani haoni anajidhalilisha
 
Kwani ni sisi tunamng'ang'ania au ni wamiliki mafala?

Hata yeye akiondoka anaondoka hakuna wa kumzuia kwani haoni anajidhalilisha
Usijichanganye!
Anaondokaje wakati anang'ang'aniwa.
Kama Ni kudhalilika Ronaldo anadhaliliahwa na hao wanaomng'ang'ania.
Hivyo hao ndo wanaoshusha morale ya Ronaldo,
Wamwache aondoke.
Sio swala la kumlaumu Ronaldo,wakati yeye pia amewekwa kwenye wakati mgumu.!
Nyie wengine tulieni tu, wenye timu wanaamua.
 
Kweli wakati ukuta, Ronaldo amefikia hatua ya kukataliwa na team karibia zote.

Hakuna atakayesalia chini ya jua, Mungu kweli ametuweza.
 
Tuombe uhai tu mjomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…