Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Point yangu ni kwamba Ten hag alisema hatoentertain big price signing. alikuwa anamaanisha bei gani?

Pili, hajapewa blank cheque, kapewa Badget, very limited ndio maana tunaona speed na namba ya wachezaji wanaosajiliwa na watakaoishia kusajiliwa, sasa unaoperate under such a limited budget, bado £85M inaendelea kuwa hela ya kawaida?

ukumbuke Man utd hii inahitaji kuwa overhauled? at least wachezaji saba wanapaswa kuwa replaced kwenye first timu yetu? tunaweza fanya hivyo kwa bei za namna hiyo?

kuna taarifa, wachezaji wote wamekatwa mishahara between 20-30%, maana ake hatuko vizuri kifedha, sasa inakuwaje tutoe hela ndefu namna hiyo?

Kama huku wachezaji wanakatwa mishahara tunamng'angania de jong wa nini wakati ishajulikana hayuko tayali kupunguzwa mshahara huko aliko? we want to make him the highest paid?

bei ya kwanza ya de jong ilikuwa pound 55, mi nilijua imeongezwa kufikia pound 85 sababu baca wameomba wapewe na hela ya kumlipa madeni yake, kumbe sio, sasa bei imepanda kwa msingi gani?
Una uhakika ni £85M?
 
De Jong haitaki hata kuisikia Manure
Kasema akilazimishwa kutoka Camp Nou basi ni darajani.
Kukosa UCL kitawagharimu sana
 
De Jong haitski hata kuisikia Manure
Kasema akilazimishwa kutoka Camp Nou basi ni darajani.
Kukosa UCL kitawagharimu sana
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
 
Timu yetu haiko serious tu tusubiri msimu basi. Hizo sajili 2 hazitufikishi popote hata de jong akija atacheza msimu mzima?? Siku akiumia miezi miwili tunarudi na kina macfred hehehe okay tulihitaji watu wapya hata watano au 6 kuanza kua serious na ligi. Tunashangilia mechi za pre season sijui wacha tuonee.
 
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
Na Ronaldo exit he, nayo sio UCL
 
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
Madai yake yanahusija Nini na kuhamia Man ?
 
Madai yake yanahusija Nini na kuhamia Man ?
Hawezi kuondoka Barca bila kulipwa pesa yake ila pia De Jong mwenyewe anapendelea kubaki Barca.

Pia Barca hawamuuzi De Jong kwa kupenda kwasababu Xavi bado anamhitaji abaki. Tatizo lipo kwa Barca kwenye masuala ya kifedha.

Barca wao wanamtumia De Jong kama sehemu ya kutatua matatizo yao. Ni lazima wamuuze De Jong au wapunguze mshahara wake wa msimu ujao kwa 50% ili waweze kusajili wachezaji wao wapya kwenye kikosi cha msimu ujao.

Kwa De Jong options alizonazo sasa ni mbili tu, akubali kuondoka Barca alipwe deni lake na Barca wachukue pesa ya United ambayo itawasaidia kwenye mambo mengi lakini pia kuondoka kwa De Jong watapunguza mshahara mkubwa anaotakiwa kulipwa msimu ujao 100% ambao unaweza kutumika kulipa wachezaji wawili au zaidi.

Option nyingine ni De Jong akubali kukatwa mshahara wake kwa 50% ili abaki Barca, kitu ambacho De Jong mwenyewe hataki na ana kila haki ya kukataa vyote hivyo kwasababu ana mikataba inayompa haki kuamua anachoona kitafaa.

Mwisho wa siku lazima De Jong na Barca watafute ufumbuzi wa hili suala kupitia hizo njia mbili au la wapate njia nyingine tofauti na hizo. Zote zipo tricky, De Jong abaki 50% ya mshahara ikatwe huku bado anawadai pesa kibao au aondoke alipwe deni lake apate mkataba mpya Manchester United.

 
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
De jong hayupo tayari kwenda Man huo ndo ukweli ni bora aendelee kubaki Barca hata wakimpunguzia mshahara wake
 
De jong hayupo tayari kwenda Man huo ndo ukweli ni bora aendelee kubaki Barca hata wakimpunguzia mshahara wake

Sio kwamba hayupo tayari nilivyosoma gazeti la Marca ni kuwa hayupo tayari kukatwa hela zake na kama kwenda Man U ni mpaka sloped usd 17m anazowadai Baraca ambao wanataka waktupoe Man U bila kumlipa chochote
 
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
Wapi alisema haipendi United? Zaidi ni vyanzo vingi vya habari vinasema De Jong anapendelea kubaki Barca kwasababu ni club ya ndoto yake tokea alipokuwa mdogo, pia anataka kucheza UCL.

Ila pia alipoulizwa kuhusu yeye kuhamia United alipokuwa kambi ya timu ya taifa ya Netherlands alisema hana shida kuhamia timu nyingine na hawezi kusema kwasababu anapenda kubaki Barca kuwa akienda timu tofauti hatacheza kwa 100%

De Jong ni professional player kusema haipendi tu United ni uongo. Suala la pesa hata United wanampa mkataba mzuri tu ila kikubwa anaipenda Barca.

FDJ mapenzi yake kwa Barca ni kama Paul Scholes kwa United.

"If you want me to play for you, you'd have to buy this club." -Paul Scholes
 
Back
Top Bottom