Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,789
Hongera mkuuManchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester united 3 vs Aston Villa 1
GGMUView attachment 2300752
Sisi tayari tulishakaguliwa na liverfoolMan u ilitakiwa tuombe friend match na nyie tuwakague mpo vzr
Ilitakiwa mkaguliwe Wakiwa full na nyie full, Sasa wamekuja kuweka kikos Cha kwanza mmeshawapiga 3-0Sisi tayari tulishakaguliwa na liverfool
Usijali sana kesho kutwa tu hapo ligi itaanza, kikubwa muwe wavumilivu kwa matokeo mtakayoyapata.Ilitakiwa mkaguliwe Wakiwa full na nyie full, Sasa wamekuja kuweka kikos Cha kwanza mmeshawapiga 3-0
Hawa wachezaji Ten hag anapaswa awaburuze kwelikweli, ni wachovu wa mwili na akili, na awasiwasikilize sababu kila nikisoma comment zao wanamsifu sana kocha na kujipiga piga vifua, maneno yao mengi ni near non sense, awaburuze mwanzo mwisho.Vijana wanatamani kufariki huku 😂😂View attachment 2294737View attachment 2294736
Usitarajie chochote kutoka kwa hawa wachezaji wa Social Media FC aliowakuta EtH hakuna cha maana watafanya. EtH akaze tu mpaka atengeneze timu anayoitaka, ni safari ndefu mpaka kufikia malengo yake.Hawa wachezaji Ten hag anapaswa awaburuze kwelikweli, ni wachovu wa mwili na akili, na awasiwasikilize sababu kila nikisoma comment zao wanamsifu sana kocha na kujipiga piga vifua, maneno yao mengi ni near non sense, awaburuze mwanzo mwisho.
nimeangalia goli la pili mechi ya friendly jana, ni desturi ya magoli tuliyokuwa tukifungwa msimu jana, yaani ni exact weak point yetu, mabaki watatu wote wako chini wanauangalia mpira juu ambako wachezaji wawili wa aston villa wameruka kuufuata.
Degea na kama kawaida haruki.
alafu wanasema wanafuata maelekezo ya cocha, au cocha hajaelekeza namna ya kucheza hiyo mipira.
DeJong inabidi aje mapema mno.Usitarajie chochote kutoka kwa hawa wachezaji wa Social Media FC aliowakuta EtH hakuna cha maana watafanya. EtH akaze tu mpaka atengeneze timu anayoitaka, ni safari ndefu mpaka kufikia malengo yake.
De Jong siyo priority ila tunahangaika kumfanya awe priority.Ikitokea tukazingua basi shida siyo kocha. It's either wachezaji wawe inconsistent au board ishindwe kusajili wachezaji anaowataka kochi.
De Jong ni priority aisee. Tunahangaika sana kutoa mpira nyuma kupeleka mbele.
Inashangaza anang'ang'aniwa mtu mmoja utadhani ni yy pekee ndio anaweza kucheza hiyo nafasDe Jong siyo priority ila tunahangaika kumfanya awe priority.
Kuna wachezaji wengi sana wenye uwezo sawa naye au zaidi yake sokoni lakini hatuwaoni kwa sababu United haina recruitment team nzuri.
Wachezaji wa kufanana na De Jong au zaidi yake ni
1. Marco Verrati
2. Sergej Millinkovic Savic
3. Nicolo Barella
4. Rodrigo DePaul.
Babu unamkubali sana huyu jamaa.Patrick Schick
Alex TellesBack in the business, mpka sahivi ni players gan uhakika kutoka pale Ot,
Lngard deal done--
Who are the next after the dancer lingardinho!??
His managerial and technical acumen-ship will be measured by how he handles his knowledge of this reality. Ralf Rangnick obtained similar knowledge and instead of making the best use of it, IT destroyed him, he used this knowledge to act like a TV Pundit.Erik ten Hag's assessment of the #mufc squad was that it is grossly imbalanced, lacking technically astute thinkers and players were way off the conditioning needed to play his high-tempo style
[@MelissaReddy_]