We jamaa asiyekuelewa atakuwa na matatizo ya akiliMkuu hii hali ya timu kucheza vizuri kwa vipindi imeanza kwa Ole.
Msimu wa kwanza wa Ole timu ilikuwa tia maji tia maji mpaka alipomsajili Bruno.
Msimu wa pili wa Ole timu ilicheza vizuri mechi 18 za mwanzo baada ya hapo tukapoteana january na february nzima mpaka Man City akatupita.
Chini ya Ralf timu ilicheza vizuri mechi moja tu baada ya hapo ikarudi kwenye default setting yake.
Unazungumzia wakati wa Van Gaal by the way mpaka sasa ni wachezaji watatu kikosini walioachwa na Van Gaal ukiondoa Phil Jones ambaye mimi simweki kwenye kundi la wachezaji wa timu.
Hii timu yetu imekuwa kama mgonjwa wa Erection Dysfunction akipata viagara inasimama baada ya hapo inalala tena mpaka upate dose tena.
Erik ten Hag akitaka kufanikiwa na hii timu asiwaamini sana wachezaji aliowakuta aanze project mpya kwa kuingiza wachezaji wengi wa kwenye academy ambako kuna talents nyingi tu.
Wale wahuni wakipunguziwa game time watabadilika na wengine wataanza kujitoa wenyewe. Kama ulivyoona yule mhuni mkuu kakimbilia Juventus.
kuwapunguzia game time wachezaji ni kuwaua kabisa, na swala la kujenga team, inabidi tuwe wavumilivu wa muda. ujengaji wa timu wa namna hii unaousema inahitaji at least 3 years.Mkuu hii hali ya timu kucheza vizuri kwa vipindi imeanza kwa Ole.
Msimu wa kwanza wa Ole timu ilikuwa tia maji tia maji mpaka alipomsajili Bruno.
Msimu wa pili wa Ole timu ilicheza vizuri mechi 18 za mwanzo baada ya hapo tukapoteana january na february nzima mpaka Man City akatupita.
Chini ya Ralf timu ilicheza vizuri mechi moja tu baada ya hapo ikarudi kwenye default setting yake.
Unazungumzia wakati wa Van Gaal by the way mpaka sasa ni wachezaji watatu kikosini walioachwa na Van Gaal ukiondoa Phil Jones ambaye mimi simweki kwenye kundi la wachezaji wa timu.
Hii timu yetu imekuwa kama mgonjwa wa Erection Dysfunction akipata viagara inasimama baada ya hapo inalala tena mpaka upate dose tena.
Erik ten Hag akitaka kufanikiwa na hii timu asiwaamini sana wachezaji aliowakuta aanze project mpya kwa kuingiza wachezaji wengi wa kwenye academy ambako kuna talents nyingi tu.
Wale wahuni wakipunguziwa game time watabadilika na wengine wataanza kujitoa wenyewe. Kama ulivyoona yule mhuni mkuu kakimbilia Juventus.
Bundesliga ana goli 26 kama sijakosea.Huyu jamaa ni Gamble sana nae, amecheza misimu mitatu Uefa bila Goli kama Striker. Hata Europa Record yake si nzuri.
Bundesliga ana goli 26 kama sijakosea.Huyu jamaa ni Gamble sana nae, amecheza misimu mitatu Uefa bila Goli kama Striker. Hata Europa Record yake si nzuri.
😂😂😂 safi sanaVijana wanatamani kufariki huku 😂😂View attachment 2294737View attachment 2294736
Michezo ya kutiana vidole tena!!huyu Dejong kama kuna mchezo man u wanafanya nae ili akisign mkataba auze jezi nyingi na kusaidia club kupiga hela atakuja kutuletea shida.
wachezaji na benchi lote la ufundi wasihusishwe na mambo ya biashara. hii kitu ndio ilimpa pogba kiburi akatutia vidole
Duh waendelee hivyo hivyo si wanavuta mkwanja wa maanaVijana wanatamani kufariki huku 😂😂View attachment 2294737View attachment 2294736
Hapo wenyewe wamesaidiwa graph inaanzia 0, ingekuwa lina Negative wangewapita hadi inter kwenye negative
Wiki lile alilosajiriwa Franck Kessie waliuza 10% ya haki za matangazo ya TV kwa kampuni ya kimarekani (six street) - euro 207.5M. Hapa ndipo walipopata pesa ya usajili na mshahara wa Ralphina.Barca lazima wamwachie FDJ hata iweje.
Hawawezi register Raphina na Lewandowski mpaka wahakikishe wana balance vitabu vyao.
Duh hata barca walofilisika wanatengeneza timu lewandowski tayari wanamaliza na bernado silver hebu linganisha uwezo wa mchezaji mmojammoja wa liver,man city,madrid bayern na ht barca
Hahahahaa sikiliza Jombaa sisi na timu zote ulizozitaja hapo juu tupo ktk mipango tofauti kabisa.ngoja ligi ikianza tutaona hapa mliosema huu usajili unatosha
Hivi inarushwaga DStvHaya masaa ya Australia nayo yakiboya..game kesho saa saba mchana