Kuna kombe la dunia november,naiman kutakua na wachezaji wengi wa kuwaangalia,so hope january pia huenda tukawa bizeEtH aingie sokoni kutafuta mshambuliaji..
Akiwaamini sana hawa wachezaji atafanyiwa mapuuza soon.
Hakuna CF wa maana sokon , niliwahi kusema huenda man u, Chelsea zikaanza Ligi bila CF wa kuelewekaEtH aingie sokoni kutafuta mshambuliaji..
Akiwaamini sana hawa wachezaji atafanyiwa mapuuza soon.
EtH aingie sokoni kutafuta mshambuliaji..
Akiwaamini sana hawa wachezaji atafanyiwa mapuuza soon.
Patrick SchickHakuna CF wa maana sokon , niliwahi kusema huenda man u, Chelsea zikaanza Ligi bila CF wa kueleweka
Ukimtaka Osmhen uwe na β¬100m
Ukimtaka Scamaca andaa β¬50m
Nimeona mnahusishwa na ivan toney kwa mbali
CF wanazid kuisha , Arsenal tuliwahi mapema kwa Jesus, yule greenwood asingekuwa na kes anafaa kubadilishwa awe CF
Kina Nunez one season wonder unauziwa β¬100m
Kwasasa inahitajika scouting ya hali ya juu kumpata CF anayefit
Man u mkianza Ligi na CF ya martial mtalia ,the same Chelsea mwishon CF ya Kai ilikuwa sio ya kukupa matokeo .
Mkibak na cr7 as CF atawasaidia
Angalia vizuri source zako mkuuMkuu hii hali ya timu kucheza vizuri kwa vipindi imeanza kwa Ole.
Msimu wa kwanza wa Ole timu ilikuwa tia maji tia maji mpaka alipomsajili Bruno.
Msimu wa pili wa Ole timu ilicheza vizuri mechi 18 za mwanzo baada ya hapo tukapoteana january na february nzima mpaka Man City akatupita.
Chini ya Ralf timu ilicheza vizuri mechi moja tu baada ya hapo ikarudi kwenye default setting yake.
Unazungumzia wakati wa Van Gaal by the way mpaka sasa ni wachezaji watatu kikosini walioachwa na Van Gaal ukiondoa Phil Jones ambaye mimi simweki kwenye kundi la wachezaji wa timu.
Hii timu yetu imekuwa kama mgonjwa wa Erection Dysfunction akipata viagara inasimama baada ya hapo inalala tena mpaka upate dose tena.
Erik ten Hag akitaka kufanikiwa na hii timu asiwaamini sana wachezaji aliowakuta aanze project mpya kwa kuingiza wachezaji wengi wa kwenye academy ambako kuna talents nyingi tu.
Wale wahuni wakipunguziwa game time watabadilika na wengine wataanza kujitoa wenyewe. Kama ulivyoona yule mhuni mkuu kakimbilia Juventus.
Huyu jamaa ni Gamble sana nae, amecheza misimu mitatu Uefa bila Goli kama Striker. Hata Europa Record yake si nzuri.Patrick Schick
We jamaa asiyekuelewa atakuwa na matatizo ya akiliMkuu hii hali ya timu kucheza vizuri kwa vipindi imeanza kwa Ole.
Msimu wa kwanza wa Ole timu ilikuwa tia maji tia maji mpaka alipomsajili Bruno.
Msimu wa pili wa Ole timu ilicheza vizuri mechi 18 za mwanzo baada ya hapo tukapoteana january na february nzima mpaka Man City akatupita.
Chini ya Ralf timu ilicheza vizuri mechi moja tu baada ya hapo ikarudi kwenye default setting yake.
Unazungumzia wakati wa Van Gaal by the way mpaka sasa ni wachezaji watatu kikosini walioachwa na Van Gaal ukiondoa Phil Jones ambaye mimi simweki kwenye kundi la wachezaji wa timu.
Hii timu yetu imekuwa kama mgonjwa wa Erection Dysfunction akipata viagara inasimama baada ya hapo inalala tena mpaka upate dose tena.
Erik ten Hag akitaka kufanikiwa na hii timu asiwaamini sana wachezaji aliowakuta aanze project mpya kwa kuingiza wachezaji wengi wa kwenye academy ambako kuna talents nyingi tu.
Wale wahuni wakipunguziwa game time watabadilika na wengine wataanza kujitoa wenyewe. Kama ulivyoona yule mhuni mkuu kakimbilia Juventus.
kuwapunguzia game time wachezaji ni kuwaua kabisa, na swala la kujenga team, inabidi tuwe wavumilivu wa muda. ujengaji wa timu wa namna hii unaousema inahitaji at least 3 years.Mkuu hii hali ya timu kucheza vizuri kwa vipindi imeanza kwa Ole.
Msimu wa kwanza wa Ole timu ilikuwa tia maji tia maji mpaka alipomsajili Bruno.
Msimu wa pili wa Ole timu ilicheza vizuri mechi 18 za mwanzo baada ya hapo tukapoteana january na february nzima mpaka Man City akatupita.
Chini ya Ralf timu ilicheza vizuri mechi moja tu baada ya hapo ikarudi kwenye default setting yake.
Unazungumzia wakati wa Van Gaal by the way mpaka sasa ni wachezaji watatu kikosini walioachwa na Van Gaal ukiondoa Phil Jones ambaye mimi simweki kwenye kundi la wachezaji wa timu.
Hii timu yetu imekuwa kama mgonjwa wa Erection Dysfunction akipata viagara inasimama baada ya hapo inalala tena mpaka upate dose tena.
Erik ten Hag akitaka kufanikiwa na hii timu asiwaamini sana wachezaji aliowakuta aanze project mpya kwa kuingiza wachezaji wengi wa kwenye academy ambako kuna talents nyingi tu.
Wale wahuni wakipunguziwa game time watabadilika na wengine wataanza kujitoa wenyewe. Kama ulivyoona yule mhuni mkuu kakimbilia Juventus.
Bundesliga ana goli 26 kama sijakosea.Huyu jamaa ni Gamble sana nae, amecheza misimu mitatu Uefa bila Goli kama Striker. Hata Europa Record yake si nzuri.
Bundesliga ana goli 26 kama sijakosea.Huyu jamaa ni Gamble sana nae, amecheza misimu mitatu Uefa bila Goli kama Striker. Hata Europa Record yake si nzuri.
πππ safi sanaVijana wanatamani kufariki huku ππView attachment 2294737View attachment 2294736
Michezo ya kutiana vidole tena!!huyu Dejong kama kuna mchezo man u wanafanya nae ili akisign mkataba auze jezi nyingi na kusaidia club kupiga hela atakuja kutuletea shida.
wachezaji na benchi lote la ufundi wasihusishwe na mambo ya biashara. hii kitu ndio ilimpa pogba kiburi akatutia vidole
Duh waendelee hivyo hivyo si wanavuta mkwanja wa maanaVijana wanatamani kufariki huku ππView attachment 2294737View attachment 2294736