Walete 35 tuwape Baily panchaNapoli are in contacts for #MUFC's Eric Bailly - he is among the options they're considering to replace Kalidou Koulibaly.
#AlfredoPedulla
#GGMU
manutd View attachment 2289192
Mkuu Erick huwa anakichafua kabisa kule nyuma huwa nashangaa watu wanamdharau,hukuona Jana alivyo waongoza wale watoto akiwa kama Nahodha pia kuanzisha shambulizi mpaka kuwa Goli!!Walete 35 tuwape Baily pancha
Nikuulize kitu mkuu ikiwa tuna shida ya DMF Kwa nini tunasua sua kulipa Kwa FDJ.Halaf inshu ya FDJ kama imeshakufa as kwa habari za leo hii
Ni mingi sanaNgoja nisubiri kama misimu miwili mitatu hivi.
Magazit mengi yanaongea Sana na sinuhalisiaHalaf inshu ya FDJ kama imeshakufa as kwa habari za leo hii
Pamoja na yoote tukubali tu pamoja na mabadiliko yoote bado tuna shida kwenye bargaining,tunabagain saana,halaf mwisho tunatoa hela ile ile.Nikuulize kitu mkuu ikiwa tuna shida ya DMF Kwa nini tunasua sua kulipa Kwa FDJ.
Katika kumbukumbu zang tangu Roy Keane aondoke hatujawahi kuwaona kiundo mzuiaji na box to box middle. Baadae tuliwatumia tumia waliopo viungo Kwa kuibia chemistry ya wakina schole na wenzake ikasaidia. Shida ni kununua tulipambana tumnunue alcantara, mudric yaani tunakwama kote. Leo FDJ anasumbua yeye anataka abaki Barca, kocha hamtaki, tajiri Hana shida, sis tuna unyaunya. Yaani sielewi.
Aliyekuwa anaweza kukaa DMF ni matic ameondoka tunalizimisha mactomney, Fred, ambapo Hadi sasa labda mactonomy.
Hatuna box to box. Schole aliibia
Mbon aliwatesa Sana ChelseaLisandro Martinez.
Hii dili ipo complicated maana fdj anawadai barc pesa ndefu ndio maana anagoma kuondoka hafi apewe chakePamoja na yoote tukubali tu pamoja na mabadiliko yoote bado tuna shida kwenye bargaining,tunabagain saana,halaf mwisho tunatoa hela ile ile.
Inshu ya FDJ mwanzon ilikua rahisi sana ila kwa sasa inaonekana na mchezaji anaanza kugoma.
Kuhusu DMF,amini huyu Martinez ndo atacheza box to box,na Man u washajua ile ya De jong ni ngumu ndo maana nguvu yote wameelekezea kwa martizen.
Bado tunashida kwenye usajili,na sio sababu ya Europa league pekeake,na nnazani matajiri wa man u wanachangia kwa kiasi kikubwa kudelay
Mbwa wewe!Kwa hii man u legelege Kama utumbo wa konokono mkuifunga Liverpool mniete mbwa Niko pale nimekaa
Mbwa KokoKwa hii man u legelege Kama utumbo wa konokono mkuifunga Liverpool mniete mbwa Niko pale nimekaa
Here we go..Lisandro Martinez 95%
Eriksen sio official ila imekuwa reported wameshakubaliana kwa mdomo, bado tu kupima afya na kusaini mkataba.Ni yule dogo na martinez ndo tumesajili tangia dirisha lifunguliwe?!
ETH ana list ipi ya wachezaji ambao anataka kuwasajili?
FDJ atakuja kweli?.Eriksen sio official ila imekuwa reported wameshakubaliana kwa mdomo, bado tu kupima afya na kusaini mkataba.