Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halaf inshu ya FDJ kama imeshakufa as kwa habari za leo hii
Nikuulize kitu mkuu ikiwa tuna shida ya DMF Kwa nini tunasua sua kulipa Kwa FDJ.


Katika kumbukumbu zang tangu Roy Keane aondoke hatujawahi kuwaona kiundo mzuiaji na box to box middle. Baadae tuliwatumia tumia waliopo viungo Kwa kuibia chemistry ya wakina schole na wenzake ikasaidia. Shida ni kununua tulipambana tumnunue alcantara, mudric yaani tunakwama kote. Leo FDJ anasumbua yeye anataka abaki Barca, kocha hamtaki, tajiri Hana shida, sis tuna unyaunya. Yaani sielewi.

Aliyekuwa anaweza kukaa DMF ni matic ameondoka tunalizimisha mactomney, Fred, ambapo Hadi sasa labda mactonomy.

Hatuna box to box. Schole aliibia
 
Pamoja na yoote tukubali tu pamoja na mabadiliko yoote bado tuna shida kwenye bargaining,tunabagain saana,halaf mwisho tunatoa hela ile ile.

Inshu ya FDJ mwanzon ilikua rahisi sana ila kwa sasa inaonekana na mchezaji anaanza kugoma.

Kuhusu DMF,amini huyu Martinez ndo atacheza box to box,na Man u washajua ile ya De jong ni ngumu ndo maana nguvu yote wameelekezea kwa martizen.

Bado tunashida kwenye usajili,na sio sababu ya Europa league pekeake,na nnazani matajiri wa man u wanachangia kwa kiasi kikubwa kudelay
 
Hii dili ipo complicated maana fdj anawadai barc pesa ndefu ndio maana anagoma kuondoka hafi apewe chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni yule dogo na martinez ndo tumesajili tangia dirisha lifunguliwe?!

ETH ana list ipi ya wachezaji ambao anataka kuwasajili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…