Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yupo vizuri baada ya kuwafunga timu B pre season? Mbona socha Van gal nao walifanya ivo ivo
tulia muombe sana ETH awavushe salama
Second half timu ipi ilechezesha team B? Ile mechi ilikuwa vice-versa kipindi cha kwanza United walianza seniors Liverpool wakaanza team B wakapigwa 3 cha pili United wakaingia team B Liverpool wakaingia seniors wakagongwa kimoja cha nguruwe.
 
Yupo vizuri baada ya kuwafunga timu B pre season? Mbona socha Van gal nao walifanya ivo ivo
tulia muombe sana ETH awavushe salama
Achana na sisi wewe,tuache tufurahi japo kwa kidogo tulichonacho,yaani tufungwe tunune,tushinde tunune pia????kwendraaaaaaaa,

Kwanza tungefungwa hizo goli mngetuacha nyie???

Halaf acha kumfananisha ETH na vitu wa ajabu ajabu
 
Dah nae sosha ndo halizingua hata kakombe kama aka kashindwa kubeba
View attachment 2288540
Kwangu mimi ikitokea hadi hii project ya EtH nayo imefeli,basi nitakuwa tayari kukubali kuwa mpira ni zama na ya kwetu itakuwa imepita kama ilivyopita ya Nottingham forest,arsenal,n.k

Kombe la kwanza la msimu tayari kibindoni.
 
Kwangu mimi ikitokea hadi hii project ya EtH nayo imefeli,basi nitakuwa tayari kukubali kuwa mpira ni zama na ya kwetu itakuwa imepita kama ilivyopita ya Nottingham forest,arsenal,n.k

Kombe la kwanza la msimu tayari kibindoni.
Hahah! Hii project haiwezi feli japokuwa tunaweza kuwa vizuri ila kushinda kombe la PL au UEFA ni suala lingine tofauti na ubora wa timu.
 
Achana na sisi wewe,tuache tufurahi japo kwa kidogo tulichonacho,yaani tufungwe tunune,tushinde tunune pia????kwendraaaaaaaa,

Kwanza tungefungwa hizo goli mngetuacha nyie???

Halaf acha kumfananisha ETH na vitu wa ajabu ajabu
Wanatakaje sijui?,
Tukishinda tabu, tukifungwa ndio kabisaa, hata usingizi hatupati ni mwendo wa kujambishwa tu.

Watuache jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…