Manchester United (Red Devils) | Special Thread

usifikirie tu juu ya replacement ya Ronaldo, kama yeye Ronaldo anavyotishia kuondoka kama timu haitosajiri waweza kuta wachezaji wanaokuwa approached wanasitasita kusign sababu ya presence ya Ronaldo pia.
Are you sure?

Man Utd inahitaji proven players, players who can fight for positions.

Angalia Man City, namba 1 ina wachezaji wawili majembe.

Hatuhitaji ku-baby sit wachezaji wazembe kama kina Rashford na Martial.
 
Chagua moja.
1. Man u yenye Ronaldo anayefunga magoli 30 na timu kwa ujumla inafunga magoli 60.
2. Man u isiyo na ronaldo na mchezaji mwenye magoli mengi afunge magoli 16 na timu kwa ujumla imefunga magoli 80.
Timu haikufunga magoli mengi kwasababu midfield ilipotea almost kila match.

Kufa kwa midfield ili-expose hata defence.

Ronaldo unaemchukia alikuwa anafanya nini huko Madrid?

Huyo Ronaldo angeenda Man City au Liverpool unategemea angekuwa wapi? Timu yetu ilikufa, mbele, kati na nyuma.

Personal effort ya Ronaldo ilitupitisha kwenye key matches.
 
Uwepo wa Ronaldo ni kama utatuzuia kusajili Striker au yawezekana Manchester bado wanaangalia ukuaji wa Alejandro Garnacho na hali ya Mason Greenwood.
Ronaldo kaomba kuondoka, je akiondoka tutasajili striker kweli?
 
Hii agenda ya "Ronaldo is the problem" ni ya kipuuzi tu iliyoanzishwa na wapuuzi hasa huko Twitter na ukiwaambia wakuelezee kwanini wana-support hii agenda hakuna hata mmoja atakueleza kitu cha maana.

Internet ni moja ya chanzo kikuu cha kusambaza habari na agenda za uongo.
 
Barca wanataka wachezaji wengi ila bajeti yao inawafunga, De Jong ingekuwa kile kipindi Woodward anamwaga pesa mpaka sasa angekuwa training, sema sasa barca wanam value pesa kubwa ambayo man u wanaona hana thamani hiyo kwa sasa ambapo bid ilikataliwa ikabidi tuweke ads on zile ili itimie pesa wanayotaka barca, ni kaprocess kidogo maana kuna issue za wakala, atacheza match ngapi, makombe ili ifikie hizo ads on ila possibility week ijayo haiishi De Jong anatua
 
Ni kweli ndugu yangu ,ila tambua Barca Kuna pesa ameanza kuipata , so Mambo yanabadilika muda wowote , waulize Chelsea kuhusu Raphina , wamebaki WANATOA macho
Ishu ya Raphina mkuu haihusiani na klabu hizo ni mchezaji binafsi, ndoto zake ni Barca, ila Chelsea washakubaliana kila kitu na leeds imebaki player side kuamua la sivyo deal ingeshaisha muda tu
 
Msimu tunamaliza nafasi ya pili EPL timu nyingi zilicheza chini ya kiwango, msimu uliopita Chelsea walianza vizuri sana ilikuwa lazima wamalize ndani ya top 4, Spurs baada ya ujio wa Conte wakaanza kufanya vizuri sana kipindi hicho sisi tunadondosha points kipuuzi.

Halafu leo hii mtu anasema Ronaldo ndiyo sababu hatujamaliza top 4 na mtu huyohuyo msimu mzima alikuwa anaimba taarabu za Maguire asicheze, McFred siyo combo nzuri, tutafute DM, tununue CB, RB Dalot na AWB hawafai ila leo hii anakuambia RONALDO ndiyo sababu.


Kama mlikubali kuna mapungufu karibia kikosi kizima kwanini hamtaki kuamini ndiyo chanzo cha matokeo mabaya na siyo sababu ya ujio wa Ronaldo.

Ninatamani Ronaldo abaki, y'all need a humbling.
 
Its shame kwa club,Kitendo cha kutaka kuondoka inaonesha Cr7 yupo ambitious kuliko man utd.
Nafikiri hata akiondoka hakuna wa kumlaumu amejitoa sana last season.
 
Its shame kwa club,Kitendo cha kutaka kuondoka inaonesha Cr7 yupo ambitious kuliko man utd.
Nafikiri hata akiondoka hakuna wa kumlaumu amejitoa sana last season.
Hakuna wa kumlaumu aisee, kuna muda kuna wachezaji nawaonea huruma ukitoa pesa watakazopata hakuna kitu watatoka watasema nilishinda kitu fulani nikiwa United.

Haya masuala ya DNA ni upuuzi wachezaji wanataka mafanikio ya uwanjani pesa zipo kila mahali. Wengi wanamtukana Pogba na wengine pia washaanza kumgeukia Ronaldo ila hii timu haipo serious hata kidogo. Hakuna kitu cha kueleweka kinachoendelea.
 
Hakuna mchezaji aliyenunuliwa mpaka sasa. Wakati msimu unaisha ilidhaniwa MUFC itakuwa the busiest team sokoni. Wachezaji waliopo ukiondoa CR7 na De Gea hakuna mwenye confidence tena. De Gea mwenyewe atachoka kujituma kwa team inayompa 0 Goal Difference ktk mechi 38 za EPL. Kuna tatizo kubwa mahali la kujadili siyo kumaliza MB kumjadili CR7.
 
I think yanayotokea now yanaendelea ku-expose matatizo ambayo management yetu iliyafanya huko nyuma (Woodward era).Tulikosea sana kufanya decision(technical decision) kwenye mambo mengi hatukuwa na contingent plan na pia tulikuwa tunachelewa sana kufanya decision kwenye mambo ya msingi.Kabla hujamsajili kocha/mchezaji lazima ujue weakness/strength zake na jinsi ya kuzi-utilize na nini cha kufanya ikiwa mchezaji/kocha atafeli.Recently tumeona jinsi Man City,Liverpool,Bayern Munich,Real Madrid jinsi wanavyohandle jinsi ya ku-replace wachezaji

I hope the new management wanajifunza haya makosa hayatajirudia
 
It's true,Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
 
Kuna replacement plan ya Ronaldo?

Mpaka sasa ku-sign midfield tunasua sua, replacement tutaipata msimu huu?
Ni sawa kuendelea na mshambuliaji mzee ambaye moyo wake ushahama kwenye timu yetu?.
 
Soma tena labda utanielewa, BTW im not a fan of this football club, im just trying to have opinions.
 
Blaa bla
Mchezaji kafunga goli 24 kwa timu ameharibu nini, kawaambia akina Bruno wasicheze?, kamwaga simu dressing room. Huu umbea ni wa karne kisa tu damu yako haimpendi Ronaldo. Ngoja aondoke awaachie litimu lenu. Mou alisema vizuri kuhusu Manuure kwamba hata akiondoka Man united bado haitakaa vizuri kwa sababu tatizo la msingi halishughulikiwi. Akiondoka Ronaldo bado mtaangamia kwa sababu you don't want to address the real problem within the club
 
Ni sawa kuendelea na mshambuliaji mzee ambaye moyo wake ushahama kwenye timu yetu?.
Pogba,Lingard wanted to go klabu haikuwauza baadae wakaondoka free,kama mchezaji anataka kuondoka aachwe aondoke klabu lazima iwe na contingent plan.Di Maria,Varane,Ramos ,CR7 walivyotaka kuondoka Perez hakuwazuia na ili-generate kiasi kubwa akafanya replacement na klabu bado iko stable.
 
Kwa hiyo kupungua kwa idadi ya magoli imesababishwa na Ronaldo, how?
 
Tupe na data za defence kwa kipindi hicho achana na magoli ya kufunga
 
Kuna replacement plan ya Ronaldo?

Mpaka sasa ku-sign midfield tunasua sua, replacement tutaipata msimu huu?
Post yangu uliyoquote nilimaanisha hiki kitu, nashangaa hukunielewa.

Uwepo wa Ronaldo upfront unamruhusu kocha kuimprove squad kwenye other positions. Kuondoka kwa Ronaldo either united waspend big money kubuy CF wa Kumreplace Ronaldo kitu kitachozuia kuimprove other positions (financially wise) OR waimprove other positions huku wakitafuta cheap CF kitu kinachowarudisha nyuma quality wise.

Ten hag hili suala analiangalia kiufundi zaidi wakati management wanaliangalia kiufundi & kiuchumi.
 
FACT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…