Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

20220621_012206.jpg
 
Sky sport,sancho kulia,tony kushoto,vipi kuhusu elanga,martial,rashford???itajulikana tu
Screenshot_20220621-110714_Twitter.jpg
 
Sky sport,sancho kulia,tony kushoto,vipi kuhusu elanga,martial,rashford???itajulikana tuView attachment 2267378
Antony preferred foot ni left, akikaa RW ndiyo itafaa zaidi, kwa winger anayetokea kulia ukiacha kumwaga maji kama anaingia ndani ya box mguu wa kushoto ndiyo unahitajika kuwa na nguvu zaidi. Ila kocha ndiyo anajua zaidi atamtumia vipi cha muhimu wachezaji wapangwe kulingana na uwezo. Squad depth ni muhimu, Rashford na Elanga wabaki, Martial auzwe akikosa timu atolewe kwa mkopo + buy option. Amad atolewe kwa mkopo Championship + United walipe full salary, Pellistri abaki.
 
Kuna taarifa kuwa hataki kuj Man UView attachment 2267421
Ukisikiliza Realiable source mkuu inapunguza sana stress. Hao Goal hawana issue kabisa.

Jana reporter mbalimbali wali report Spurs hawamo kwenye mbio za kumsajili Eriksen, hata inter Conte na Eriksen hazikuenda sana, sana sana Alichezeshwa tu Pembeni.

Leo Simon Stone amereport Man U wapo kwenye mbio, kuna Possibility kubwa Akaja kwetu.

 
Ukisikiliza Realiable source mkuu inapunguza sana stress. Hao Goal hawana issue kabisa.

Jana reporter mbalimbali wali report Spurs hawamo kwenye mbio za kumsajili Eriksen, hata inter Conte na Eriksen hazikuenda sana, sana sana Alichezeshwa tu Pembeni.

Leo Simon Stone amereport Man U wapo kwenye mbio, kuna Possibility kubwa Akaja kwetu.

Eric na FDJ ni uhakika 100%
 
Back
Top Bottom