Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapa sijaelewa kwahyo Pogba alitaka man u wamwongezee salary bila ongezeko ndio akagoma?

Wakati huko kaenda kushusha hata ile salary alikuwa anachukua man u kabla ya ongezeko.
Poga ni li jinga sana yani hafu linasema litaonesha ni jinsi gani tumefanya makosa kutolipa mkataba mpya liende tu miaka6 yote iyo tumeona nini cha ajabu.
 
Poga ni li jinga sana yani hafu linasema litaonesha ni jinsi gani tumefanya makosa kutolipa mkataba mpya liende tu miaka6 yote iyo tumeona nini cha ajabu.View attachment 2262975
Ndio tunaelewa saa hii kwamba pogba amechangia kudhoofisha Manchester kwa maneno kama haya huyu ni kirusi alikuwa anaambukiza wenzie anaongea sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikutegemea tuta-lag behind this much kuhusu usajili.
Mkuu kivyovyote mpaka Juni 30 tushajua Mbivu na mbichi,

Jinsi inavyokaribia june 30 ndio jinsi Barcelona wanapata presha na ndio Jinsi tutamsajili de Jong kwa bei rahisi. Hicho ndio kinachoendelea sasa. Unless kutokee changes kubwa Sana De jong anakuja UTD na ni top priority.
 
Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba Barcelona wanaleta ugomvi wa mawe wakati wanaishi kwenye nyumba ya kioo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…