Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

True..

Hii hela tungeitumia kwenye maeneo mengine..mfano hata RB na LB ambako kote tupo hovyo..Telles and Shaw are not good enough.

Fred anaweza kucheza juu na tukakamata dimba vizuri tu..hapa tusajili kwanza DM.
Hamna mtu hapo hana creativity kiungo gan weakness yake ni kupiga pass... Fred n wakutumika mechi zenye uhitaji wake tu lakn sio wa kuanza kila mechi...kwel tunaweka malengo ya kubeba epl na kiungo ni Fred izi n ndoto za abunuas...japo inategemea na kocha atakavyo mtumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna mtu hapo hana creativity kiungo gan weakness yake ni kupiga pass... Fred n wakutumika mechi zenye uhitaji wake tu lakn sio wa kuanza kila mechi...kwel tunaweka malengo ya kubeba epl na kiungo ni Fred izi n ndoto za abunuas...japo inategemea na kocha atakavyo mtumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Fred kupata namba msimu ujao labda EtH asisajili DM. Sijui kwanini watu wanaamini ni mchezaji anayefaa kuanza kikosi cha kwanza, pia kwa nafasi wanayotaka apangwe haiwezekani endapo de Jong atakuja.
 
Hamna mtu hapo hana creativity kiungo gan weakness yake ni kupiga pass... Fred n wakutumika mechi zenye uhitaji wake tu lakn sio wa kuanza kila mechi...kwel tunaweka malengo ya kubeba epl na kiungo ni Fred izi n ndoto za abunuas...japo inategemea na kocha atakavyo mtumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Say what you can say lakini Fred ni kiungo bora when it comes to quick transition passes..akisogea juu anakuwa mkali sana na hili tunalithibitisha kwa kuangalia mechi ambazo alisogezwa mbele.
 
Hamna mtu hapo hana creativity kiungo gan weakness yake ni kupiga pass... Fred n wakutumika mechi zenye uhitaji wake tu lakn sio wa kuanza kila mechi...kwel tunaweka malengo ya kubeba epl na kiungo ni Fred izi n ndoto za abunuas...japo inategemea na kocha atakavyo mtumia

Sent using Jamii Forums mobile app

Brazil na kujaliwa kwao vipaji vingi,Bado ina muamini Fred.
Na Brazil ana malengo ya kubeba WC kiungo mmoja wao akiwa ni FRED8
 
Say what you can say lakini Fred ni kiungo bora when it comes to quick transition passes..akisogea juu anakuwa mkali sana na hili tunalithibitisha kwa kuangalia mechi ambazo alisogezwa mbele.
Kwahy Fred ni mchezaj wa kucheza kikos cha kwanza...na unaona kabisa kwenye kutafuta makombe kama EPL tunaweza kufanikiwa tukiwa na Fred kama kiungo tegemezi?? Au naomba uniambie Fred anapata nafas Liverpool au mancity au Chelsea. Maana hawa ndio wapinzan wakubwa kweny kuchallenge EPL


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brazil na kujaliwa kwao vipaji vingi,Bado ina muamini Fred.
Na Brazil ana malengo ya kubeba WC kiungo mmoja wao akiwa ni FRED8
Brazil anapata namba kuendana na mahitaji yao na timu za taifa wanakuwa na wachezaji mbadala kwendana na mahitaji yao...kwahy ww unamuona Fred kwenye fainal ya champions League akiypiga mwingi kama modric au kroos...au kama fabinyo na tiago wa Liverpool....tuache mapenzi ya ajabu kwnye mpira tukubali madhaifu ya mchezaj hata kama n wa Manchester
Na kuna mtu atakuja kusema maguaya n bora kwa sababu anapata namba na ni captain wa England

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brazil anapata namba kuendana na mahitaji yao na timu za taifa wanakuwa na wachezaji mbadala kwendana na mahitaji yao...kwahy ww unamuona Fred kwenye fainal ya champions League akiypiga mwingi kama modric au kroos...au kama fabinyo na tiago wa Liverpool....tuache mapenzi ya ajabu kwnye mpira tukubali madhaifu ya mchezaj hata kama n wa Manchester
Na kuna mtu atakuja kusema maguaya n bora kwa sababu anapata namba na ni captain wa England

Sent using Jamii Forums mobile app
Fred huyo huyo ana mpiga benchi Fabinho Brazil.

Fred = Klaassen.
 
Kwahy Fred ni mchezaj wa kucheza kikos cha kwanza...na unaona kabisa kwenye kutafuta makombe kama EPL tunaweza kufanikiwa tukiwa na Fred kama kiungo tegemezi?? Au naomba uniambie Fred anapata nafas Liverpool au mancity au Chelsea. Maana hawa ndio wapinzan wakubwa kweny kuchallenge EPL


Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachohitajika ni balance..hayo maswala ya kuuliza kama ataanza kwenye kikosi cha Liver au City ni utoto..

Brazil yenye talent kibao Fred ni regular starter...maana anaifanya timu iwe na balance
 
Ofcourse watatu Tayari

Mata.
Matic
Pogba


Hapa niliona nafuu baada ya Pogba kuondoka, sikumpenda Sana. Behind the scenes hakuwa MTU mzuri. Mwingine ni goal keeper(DEA gea) napendelea Zaid hernderson anajibidissha, na martial sipendi waendelee kuwepo, na martial aishie hukohuko na wengine walio sikiliza mawazo ya kugomea timu, Nina wasiwasi na bissaka, Maguire ndio kabsaaa aende, Hawa watoto waliobaki mkwara wa kocha utatosha. Ronaldo abaki
kuna wachezaji ukisema waondoke bila sababu unaeleweka ila kuna wengine unaosema waondoke bila kutoa sababu ya msingi huwezi kueleweka, mfano De Gea kwanini aondoke?
 
kuna wachezaji ukisema waondoke bila sababu unaeleweka ila kuna wengine unaosema waondoke bila kutoa sababu ya msingi huwezi kueleweka, mfano De Gea kwanini aondoke?
Kuna mambo huyakumbuki. Unakumbuka de gea aligomaga?? TUANZIE hapo
 
Kwamba hafai? Ni free transfer, ana kiwango cha kuwa regular starter au squad player kulingana na mahitaji ya kocha. He's class, kwa msimu huu hakuna kiungo wetu anafikia alichokifanya Eriksen.
 
Kwamba hafai? Ni free transfer, ana kiwango cha kuwa regular starter au squad player kulingana na mahitaji ya kocha. He's class, kwa msimu huu hakuna kiungo wetu anafikia alichokifanya Eriksen.
Anyway sawa..yetu macho.
 
Back
Top Bottom